Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Huyu ni Team Lowasa...Mwenzako yupo kibaruani.
Ajiangalie sana maana cdm hakuna watu wa kuvunjia heshima viongozi wao kama huko waliko zoea ccm
Huyu ni Team Lowasa...Mwenzako yupo kibaruani.
Du!! kahama lini tenaLaki si pesa kashahama kwa magamba. Kaja na safari ya matumaini...
wana jf.
Kesho vikao vya kamati kuu ya chadema vinaendelea ili kupanga mikakati ya kuhakikisha ukawa inapata ushindi wa kishindo october .
Ili mikakati ya ushindi kwenye uchaguzi mkuu october iende vizuri, wajumbe wote wanatakiwa wawepo akiwemo katibu mkuu wa chama dr. Wilbroad slaa ambae mpaka sasa hivi hajulikani alipo, endapo dr. Slaa hatahudhuria kikao kesho naomba kamati ya maadili imchukulie hatua kali za kinidhamu ili kulinda kanuni na maadili ya chama.
Chadema sio mali ya mtu binafsi ,ni mali ya watanzania wote, na hakuna mtu mkubwa kupita chama.
Asietaka ukombozi wa nchi october atupishe.
Hata mimi nashangaa Huyu Laki si Pesa tangu lini akaitakia mema Chadema?Vijana wa lumumba wanaacha kumnadi mzee ....wao makufuli.....mzee wa asiye na miambili aogelee wanapambana na ...chadema
Baki MCC, ya UKAWA hayakuhusu!!!
Hata mimi nashangaa Huyu Laki si Pesa tangu lini akaitakia mema Chadema?
Kwani umesahau kuwa mmeshawauzia chama kwa bil10? Sasahivi cdm ni mali halali ya Pasco, laki si pesa., MUSSA ALLAN 4UMovement na magamba yote yaliyovuliwa kimkakati
siasa ni biashara kwa akina mbowe et al sio dr slaa. ikulu ni patakatifu sio kupeleka watu kugeuza ikulu pango la walanguzi.Wana JF.
Kesho vikao vya Kamati Kuu ya Chadema vinaendelea ili kupanga mikakati ya kuhakikisha Ukawa inapata ushindi wa kishindo October .
Ili mikakati ya ushindi kwenye uchaguzi mkuu october iende vizuri, wajumbe wote wanatakiwa wawepo akiwemo Katibu Mkuu wa Chama Dr. Wilbroad Slaa ambae mpaka sasa hivi hajulikani alipo, endapo Dr. Slaa hatahudhuria kikao kesho naomba Kamati ya Maadili imchukulie hatua kali za kinidhamu ili kulinda kanuni na maadili ya chama.
Chadema sio mali ya mtu binafsi ,ni mali ya watanzania wote, na hakuna mtu mkubwa kupita Chama.
Asietaka ukombozi wa nchi October atupishe.
Ahahahaha!umetoka kumsifia sasa hivi.Angalieni huo upuuzi wenu,vinginevyo tutawatimua maana cdm bado mmeandikwa kwa chaki tu
Wana JF.
Kesho vikao vya Kamati Kuu ya Chadema vinaendelea ili kupanga mikakati ya kuhakikisha Ukawa inapata ushindi wa kishindo October .
Ili mikakati ya ushindi kwenye uchaguzi mkuu october iende vizuri, wajumbe wote wanatakiwa wawepo akiwemo Katibu Mkuu wa Chama Dr. Wilbroad Slaa ambae mpaka sasa hivi hajulikani alipo, endapo Dr. Slaa hatahudhuria kikao kesho naomba Kamati ya Maadili imchukulie hatua kali za kinidhamu ili kulinda kanuni na maadili ya chama.
Chadema sio mali ya mtu binafsi ,ni mali ya watanzania wote, na hakuna mtu mkubwa kupita Chama.
Asietaka ukombozi wa nchi October atupishe.
Ahahahaha!umetoka kumsifia sasa hivi.