Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Babu Slaa kaponzwa na mambo ya madem.
Ikumbukwe huyu babu katumia sehemu kubwa ya maisha yake katika utawa ambapo ilikuwa mwiko kuwa na demu.
 
Namheshimu lkn kile kitendo chake cha kukutana na Mh Mwakyembe pale Serena Hotel ni zaidi ya Usaliti.

Na anaingia kwenye kundi la Wanafiki.
 
nyumbu.jpg
nyumbu.jpg
 
Na Prof wetu wa Uchumi LIPUMBA anahitaji heshima yake madharau hatutaki!! Acheni upendeleo
 
Slaa aheshimiwe sana ,salute mkubwa
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?

Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini nimelazimika kuliweka kama angalizo.
 
Etiiiiii kiongoziii mkubwaa aheshimiwe kwa kipiii anakunyaa cheche au dhahabu??? Acheni mihemko isiyo kuwa na maaana mapovu mengine yatunzeniii yawasaidie kupigia mswakiiiii
 
Mkuu Erythrocyte..
Kauli yako ndio imeniingia akilini leo..
Huyu mzee_dr..niwakuheshimiwa sana sana
 
Back
Top Bottom