Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Mzee Slaa apumzike sasa, kama amefikia hatua ya kufichwa na Mchumba wake, hafai huyo!
 
Teh teh teh!!

Laki si Pesa, anatoa tamko kuwa Dr.Slaa awapishe kwenye chama chao Chadema.

Siasa hizi tutasikia mengi.
 
Automatically laki si pesa amejikuta kawa msemaji wa CHADEMA.....TEH TEH TEH....
 
Tunafahamu tulipotoka, tumetoka nae wapi, C.C.M?

Again, hakuna standard hiyo CHADEMA ya kusema tunaheshimu tulipotoka na mtu. Narudia, Zitto Kabwe amefukuzwa kama paka mwizi bila kujali alipokitoa chama hiki nyakati zile kina Wilbrood Slaa wakitokea C.C.M., na hata Dr. Slaa alipokuja CHADEMA kikawa bado chama cha kikanda, wakina Zitto wakakipeleka mipakani mwisho wa nchi Kigoma huko. Lakini akaja kufukuzwa kundini utadhani kaiba sadaka kanisani, kisa, kutaka kufanya mageuzi ya uongozi kwenye chama kilichohodhiwa na koo chache.

Kwa hiyo, tumtetee Dr. Slaa kwa yote lakini si kwa kusema amekitoa chama mbali. CHADEMA hatupendi mtu kwa kuangalia mchango wake kwa chama, hatuna standard hiyo.
nisome tena mkuu .
 
Ataheshimika tu, naye ajue heshima yake inatokana na kusimamia nguvu ya umma na umma ndio sisi!
ni kweli lakini je kama dr slaa akijitokeza ndani ya kamati kuu , wengine wataficha wapi nyuso zao ?
 
Hakika wanaomtukana DR.#Slaa wataalaniwa na #Mungu kwani ni mjinga na mpuuzi pekee yake ambaye hawezi kuona mchango mkubwa na kazi kubwa aliyoifanya Dr.Slaa kwa faida ya chama pamoja na taifa kwa ujumla.
Lengo letu ni kuiondoa ccm madarakani bila mchango wa Dr.#Slaa hatofanikiwa kabisa .Dr.#Slaa watu wengi tuna imani kubwa na wewe tunakusubiri tumeambiwa kwenye utashiriki kwenye vikao vya kamati kuu ya chama tunakusubiri kwa hamu kwa hamu kubwa tunakuombea kwa #Mungu afya njema ,ulinzi wa #Mungu siku zote tunakuhijitaji sana tuna imani kubwa na wewe .dada Tetty umepitia huku?
 
Hakika wanaomtukana DR.#Slaa wataalaniwa na #Mungu kwani ni mjinga na mpuuzi pekee yake ambaye hawezi kuona mchango mkubwa na kazi kubwa aliyoifanya Dr.Slaa kwa faida ya chama pamoja na taifa kwa ujumla.
Lengo letu ni kuiondoa ccm madarakani bila mchango wa Dr.#Slaa hatofanikiwa kabisa .Dr.#Slaa watu wengi tuna imani kubwa na wewe tunakusubiri tumeambiwa kwenye utashiriki kwenye vikao vya kamati kuu ya chama tunakusubiri kwa hamu kwa hamu kubwa tunakuombea kwa #Mungu afya njema ,ulinzi wa #Mungu siku zote tunakuhijitaji sana tuna imani kubwa na wewe .dada Tetty umepitia huku?
mkuu mimi sina cha kukulipa bali ninaamini Mungu ameona andiko lako na atakulipa .
 
Jamani mjue kuwa yule ni Padre do kaweka mfungo na kajifungia. Kuna ule mfungo wenyewe wakatoliki huwa ukifungu huruhusiwi kuongea na mtu
 
Back
Top Bottom