Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Wana JF.
Kesho vikao vya Kamati Kuu ya Chadema vinaendelea ili kupanga mikakati ya kuhakikisha Ukawa inapata ushindi wa kishindo October .
Ili mikakati ya ushindi kwenye uchaguzi mkuu october iende vizuri, wajumbe wote wanatakiwa wawepo akiwemo Katibu Mkuu wa Chama Dr. Wilbroad Slaa ambae mpaka sasa hivi hajulikani alipo, endapo Dr. Slaa hatahudhuria kikao kesho naomba Kamati ya Maadili imchukulie hatua kali za kinidhamu ili kulinda kanuni na maadili ya chama.
Chadema sio mali ya mtu binafsi ,ni mali ya watanzania wote, na hakuna mtu mkubwa kupita Chama.
Asietaka ukombozi wa nchi October atupishe.
Heshimu mawazo ya watu kijana. Unajifanya una uchungu sana kuliko Dr Slaa mwenyewe aliyekisotea chama tangu misingi ya uanzishwaji wake?
Mzee kama kaamua kukaa kimya all this time muacheni bhana. Akitaka kuhudhuria hivyo vikao atahudhuria pia. Kwa nini mnamsimanga tu kila siku? Hebu kuweni na adabu kidogo. Mzee ni zaidi ya dingi yako. Ebooooooooooooooooooo
 
Dr slaaa anaonekana mbinafsi kwa sababu kwenye mchakato was kumkaribisha Edo alikuwepo sasa kwanini anazingua watu kama ehamua kujitoa achape mwendo na kama bado yuu upande wetu basi ahuzurie vikao vya chama cdm sio Mali take ni chama cha wananchi
 
Wana JF,

Kesho vikao vya Kamati Kuu ya CHADEMA vinaendelea ili kupanga mikakati ya kuhakikisha Ukawa inapata ushindi wa kishindo October .

Ili mikakati ya ushindi kwenye uchaguzi mkuu october iende vizuri, wajumbe wote wanatakiwa wawepo akiwemo Katibu Mkuu wa Chama Dr. Wilbroad Slaa ambae mpaka sasa hivi hajulikani alipo, endapo Dr. Slaa hatahudhuria kikao kesho naomba Kamati ya Maadili imchukulie hatua kali za kinidhamu ili kulinda kanuni na maadili ya chama.

CHADEMA sio mali ya mtu binafsi ,ni mali ya watanzania wote, na hakuna mtu mkubwa kupita Chama.

Asietaka ukombozi wa nchi October atupishe.

Sina huakika kama unashauri kwa nia njema.lakini Daahh kama ni kweli laki si pesa umejiunga kwenye safari ya uhakika .basi 100% ccm out 2015 .
 
Habari wana JF. Mimi siyo shabiki wa chama chochote cha siasa. Nasikitishwa sana na badhi ya wahariri wa magazeti hapa nchini kwa kushindwa kufanya kazi ya kuelimisha wananchi hususani wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuuu jinsi gani wananchi wanatakiwa kujiandaa kupiga kura, badala yake wamehamishia habari kuu kuwa ni Dr, DR. Huu ni uandishi hasi usiozingatia maadili halisi ya uandishi. Kibaya zaidi mwelekeo umekuwa wa upande mmdha Dr. Slaa ama Lowasa. Je, upande wa pili kulikoni? Tusianze kuwapotosha wananchi. Yafaa kujikita zaidi kwenye uraia wa kujiandikisha na kasha kupiga kura. Tuache ushabiki wa kisiasa. Nawasilisha.
 
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?

Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini nimelazimika kuliweka kama angalizo.

muungwana hupimwa kwa matendo, kula matapishi kunahitaji zaidi ya uroho kama wa wenzake, pole dr, ukishindwa kununulika staafu siasa utabaki na heshima yako. history will judge u corectly.
 
Hawa Tim Lowasa Wamekuja Vibaya Tumewakarisha Ndani Wanataka Waingie Had Chumbani, Niwakumbushe Kwamba Huku Hatuna Tim, Tim Yetu Cc Ni Ukawa Inayokwenda Kupambana Na Ccm, Sasa Huo Mfumo Mliotoka Nao Huko Ccm Ebu Uacheni Hukohuko Huku Mje Mkiwa Mmeokoka Na Muendelee Kuukulia Wokovu, Huku Tungekuwa Na Tim Tusingekubali Kumsimamisha Lowasa, Lakini Kwa Kuwa Zaid Masrahi Ya Chama Ndipo Tukamkubali Hivyo Msituone Wajina Cb Alafu Nyinyi Mkajiona Waelewa Ujinga Wetu Ndio Uliowaleta Chadema Hivyo Take Care.
 
asante , lakini je una kijiushahidi hata cha uzushi kuthibitisha tuhuma zako ?

ushahidi wa nini ata kipofu anaona yaani mtu mulikesha kuwaaminisha watanzania ni fisadi PAPA amechukua two days kuwa mtume kwenye lichama lenu kanjaja CHADOMO ..wewe gonga keybord tu hapa , ila wajanja tunaelewa kuwa money talk
 
Mh! Sana Rais Mtalajiwa Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Heshima Yako, Bila Shaka Wewe Ni Mtu Mwenye Nguvu Na Mwenye Ushawishi Mkubwa Katika Anga Za Siasa Hapa Nchini, Na Unakubalika Sana Na Watanzania, Kukubalika Huko Ndiko Kumekupeleka Kutafuta Mabadiliko Sehem Nyingine Baada Ya Kufanyiwa Hujuma Na Chama Chako Cha Zamani Na Kupigwa Bao La Mkono, Ulipokaa Na Kutafakali Ukaona Kuna Chama Kingine Kikibwa Na Chenye Ushawishi Na Chenye Mlengo Wa Kweli Kutafukta Ukombozi Wa Nchihii Ndipo Ukaona Ujiunge Na Chama Hicho Ili Usizime Ndoto Yako Ya Kuwasaidia Watanzania, Ndani Ya Chama Hiki Kuna Viongozi Umewakuta Ambao Bila Shaka Wala Ubishi, Ni Wana Nguvu Na Ushawishi Mkubwa Sana Kwa Mamilioni Ya Watanzania, Nimelazimika Kuongea Haya Baada Ya Kuona Kuna Baadhi Ya Watu Uliotoka Nao Huko Wamekuwa Si Wastaarabu, Wamekuwa Wakiwatus Viongozi Waliowakuta, Wamekuwa Wakiwazarau, Pia Kutokuheshim Mchango Wao, Nikuombe Mh, Ujitokeze Kuwakemea Kwa Nguvu Zote Watu Hawa Kwasababu Watakwamisha Safari Yetu Ya Uhakika
 
Ni ngumu kwa wakati uliopo. Usisahau mmeambiwa lowasa kaja na mamilioni ya wanachama, mamilioni hao wanachojua ni lowasa. Ndiyo maana wote kama makondoo sasa mnaimbishwa tuna imani na lowasa.

Mtaufahamu umuhimu wa Dr baada ya fisadi lenu kuangukia pua Novemba.

hatuombei hayo yatokee , mshikamano ni ushindi .
 
Kamanda wetu anateswa sana na waasi pamoja na wasaliti.
Dr Slaa amevamiwa,anatukanwa,anasimangwa! Yeye na mwezi wake,wote wametekwa na kudhalilishwa na wapinzani.
Baadhi ya wapiganaji wake,wanaojiita BAVICHA wanashiriki kumtusi na kumdhalilisha.Tena wengine ni wakuu wa vikosi!
Baadhi ya BAVICHA nao wamebaki wamezubaa tu huku wakishudia udhalilishaji wa kamanda wao kutoka kwa Magamba!
Baadhi ya wanafiki kutoka CCM wameamua kumpamba Kamanda Dr Slaa kwa kumsifu na kumpongeza baada ya kuona vijana wake wamekenua tu na hawafanyi lolote!
Hivi BAVICHA leo mmekuwaje? Yaani Dr Slaa anatukanwa na Wahamiaji kutoka CCM na kupambwa na wanaCCM huku nyie mpompo tu?
Nani amewaloga?
Yaani mmemwacha Dr Slaa mikononi mwa CCM wakataji wakimsifu huku wale wakatwaji wakimtukana!
Amkeni sasa,sifa anazopewa na CCM ni za kweli ila zinatolewa kinafiki na kipropaganda na matusi makubwa anayotukanwa ni ya kihisia na woga tu wa wahamiaji!
Kamanda wenu hastahili kutendwa kwa jinsi hii.Tafadhalini sana.
 
Hao ccm wamewezaje kumtusi na kumsifu kwa wakati mmoja mkuu emu fafanua?
 
Back
Top Bottom