Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Huyu daktari amekuwa akitunwa kwa uadilifu na misimamo yake thabiti.Hili kundi la lowasa halithamini hata mchango wa slaa.Nawashauri wamwache slaa wao kama wanajiamini waendelee na harakati zao, heshima ni utu c pesa. But history will one day talk slaa.
Dr. wanasiasa wa kitanzania wapumbavu sana.....hamuwezi kuiondoa ccm mpaka mfanye haya 1) Muwa wamoja kama ukawa vile 2) kiugawa ccm vipande vipande.Hivyo lengo kuu ni kuiondoa ccm kwa njia yoyote ile........hivyo mwanasiasa anaye susa hajui au hana historia jinsi kanu ilivyoondolewa.......mjue hakuna wakati mzuri wa kuiondoa ccm kama wakati huu...ni umakini wenu,umoja wenu ndio silaha......
 
Umeamua kula paka kwakuwa nae anafugwa na binadamu kama kuku!.. lkn ungejiuliza kidogo zaidi ya huko kufugwa tu...kunanini kingine usingekula paka! Kwakuwa huo ndio uwezo wako wa kutofautisha....endelea kula Paka ...
Haya ndio maneno ya watanzania! Kwakweli tunahitaji kuamshwa na sio kujua kula na kushiba tu.
 
Nyie watu Wa Lumumba mbona mnaweweseka sana toka lini mlikuwa mnamzungumzia slaa mgombea wenu mmemsahau anayejifanya kufanya ziara za kikazi kisa akifanya za kichama ata zalilika kwa kuwa ccm aipendwi na watanzania Arusha mlichukua adi wanafunzi Wa chuo cha ualimu hili viti vijae haonekane anakubalika
 
Shida ya vyama visivyokuwa na itikadi inayooeleweka huwa vinakumbwa na upepo wowote wa kisiasa. Sasa hivi sera ya CHADEMA ni kwenda ikulu kwa gharama yoyote.
 
Wana JF.
Kesho vikao vya Kamati Kuu ya Chadema vinaendelea ili kupanga mikakati ya kuhakikisha Ukawa inapata ushindi wa kishindo October .
Ili mikakati ya ushindi kwenye uchaguzi mkuu october iende vizuri, wajumbe wote wanatakiwa wawepo akiwemo Katibu Mkuu wa Chama Dr. Wilbroad Slaa ambae mpaka sasa hivi hajulikani alipo, endapo Dr. Slaa hatahudhuria kikao kesho naomba Kamati ya Maadili imchukulie hatua kali za kinidhamu ili kulinda kanuni na maadili ya chama.
Chadema sio mali ya mtu binafsi ,ni mali ya watanzania wote, na hakuna mtu mkubwa kupita Chama.
Asietaka ukombozi wa nchi October atupishe.
Hii team Lowassa, ajenda yao ni kutimua wapambanaji wa kwenye Chama wote mwisho wabaki wao tu kwenye Chama.

Hawataki kupingwa wala kuhojiwa. N
 
Bahati mbaya au nzuri MKUBWA huyo (ETI) nasikia aliwahi kuwachunga kondoo wa BWANA, kama nilikweli chonde chonde zingatia maneno ya bwana wako.....ASIYE NA DHAMBI AWE WA KWANZA KUMTUPIA JIWE....mwisho wa kunukuu!
 
Shida ya vyama visivyokuwa na itikadi inayooeleweka huwa vinakumbwa na upepo wowote wa kisiasa. Sasa hivi sera ya CHADEMA ni kwenda ikulu kwa gharama yoyote.
Hiyo sera ya chadema ili wahi kuwa ipi ingine zaida ya kwenda ikulu ili kukomboa nchi.tuambia ni ipi ingine !!!???
 
LAKI si pesa umeingia na nidhamu mbovu ya UVCCM kwa CDM. BAVICHA hawana tabia ya kuwatukana wala kuwabeza wazee wao. Huko CCM mnawapa kichapo wazee(rejea makonde(a) vs warioba),bado mpigaji akazawadiwa u-DC. Jifunze taratibu,kanuni na mila za CDM kabla ya kutoa mawazo yako.
 
Last edited by a moderator:
Huyu daktari amekuwa akitunwa kwa uadilifu na misimamo yake thabiti.Hili kundi la lowasa halithamini hata mchango wa slaa.Nawashauri wamwache slaa wao kama wanajiamini waendelee na harakati zao, heshima ni utu c pesa. But history will one day talk slaa.
Nani kamtukana na ni matusi gani?
 
Chadema ni familia moja, kamwe hatutajenga chadema ya mtu mmoja mmoja, Mh. Mbowe aligombea uraisi, akashindwa, kipindi kilichofata kagombea Mh. PADRI akashindwa, kipindi hiki anataka tena agombeee yeye kwanini anakuwa mbinafsi? mbona aliachiwa nafasi na Mbowe hakujiuzulu SIASA... huu u-festi ledi bwana, utatoa watu roho:smokin:
 
Ni vigumu sana mtu kuongelea "msimamo" wa Slaa, wakati hatujui msimamo wake. Tusuburi kwanza atoe msimamo wake then ama tutampongeza au vinginevyo...
 
Chadema ni familia moja, kamwe hatutajenga chadema ya mtu mmoja mmoja, Mh. Mbowe aligombea uraisi, akashindwa, kipindi kilichofata kagombea Mh. PADRI akashindwa, kipindi hiki anataka tena agombeee yeye kwanini anakuwa mbinafsi? mbona aliachiwa nafasi na Mbowe hakujiuzulu SIASA... huu u-festi ledi bwana, utatoa watu roho:smokin:

Sawa angeshindwa...ila kwanini hamjampa nafasiyake ya kikatiba kuchukua fomu?
Pili, mbona mkwe wa Mtei amegombea uwenyekiti zaidi ya mara 8 na hajataka kumuachia ZZK?
 
Vita vikali kati ya makamanda wawili wa Chadema.

Mmawia team Mbowe na LAKI si pesa team Lowassa.

Patamu hapo ni vita vya kimaslahi.
 
Last edited by a moderator:
Dr. lazima aonyeshe kuwa yeye ni kiongozi na ndiye mtendaji wa chama.Nguvu ya LOWASSA NI KUBWA SANA NA UJIO WAKE HAKIKA IMEFUNGUA PAZIA ya mabadiliko.Hofu zimeondoka sasa.....vipi kiongozim anayesusa!.Je si vikao vilifanyika?.Lowassa ni jembe na angesimaa ccm hakika upinzani hata muungane wapi mngepigwa magoli kibao...sasa lulu iko kwenu..tumieni lulu mnufaike.....lowassa akishinda urais si utakuwa waziri,balozi,katibu mkuu jamani vyeo kibao!@

Yaani uroho wa madaraka tu eti vyeo kibao. . . . . .Wengine hawako hivyo, wako watu wana values zao and they die hard with them. . . . . . Kama huna consesus na watu wa aina hiyo jua mtagawana mbao tu. . .

Cheo sio hongo kwa kila mtu. . . . .
 
Mkuu huyu padri hajasusa tatizo lipo kwa huyo kimada wake anayeitwa Josphine mshumbushi babu anaogopa atavunjwa tena mkono na huyo mama kama alivyofanya mara ya kwanza

Muheshimuni huyu mzee. . . . . .Japo kwa utu tu kama interest za kisiasa zimegoma
 
Back
Top Bottom