Salaam, Shalom!!
Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.
ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.
1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.
Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.
2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.
Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.
3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.
Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.
4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.
Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.
Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.
5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.
Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.
ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni. 🙏
Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.
ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.
1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.
Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.
2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.
Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.
3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.
Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.
4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.
Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.
Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.
5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.
Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.
ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni. 🙏