Nani kakuambia CHADEMA ni mali ya Watanzania wote??? CHADEMA ni mali ya Mtei ambaye na yeye ameshamuuzia Fisadi Lowassa. Sasa hivi CHADEMA ni mali ya Lowassa na marafiki zake. CHADEMA ishauzwa tayari. Wewe endelea kujidanganya eti CHADEMA ni mali ya Watanzania. Kalaga baho!
Wewe ndiye unajidanganya na Umekariri Fitna za za Akina Nape na ccm Yao kudanganya watu waamuni eti cdm imeuzwa ? Nani ataamini Uzushi huu ? Tambua kuwa Watanzani wa sasa wanajielewa si wajinga si wepesi wa kuamini wala kukariri uongo wa Akina Nape na wenzao, watanzania wa sasa wameamka wanajua kuwa hii story ya kutungwa tu ili kumchonganisha Lowasa na wanachama wa chadema.