Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,613
I think gwajima hakuwa fair kwa pengo, Alichokisema pengo ni sahihi, uwamuzi wa kupiga kula ni wa mtu binafsi, where is the problem?
unajua maazimio ya maaskofu yalienda mbali, mosi, katiba mpya kwa nini na ya nini in the fist place? ilidaiwa na wananchi kwa nini na ya nini? je walioiandika na kuipigia kura waliganya kwa haki? huku kuna madai marehemu walipiga kura, wasiokuwepo walipiga kuta et all, wewe ungekuwa kiongozi wa kiroho ungesema aa basi waliiba haki kwa manufaa yao yameisha! au ungesemaje na ukweli woote unaujua???