Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Askofu pengo ameamua kuwa askofu wa chama cha mapinduzi.kama ameaua hivyo basi avue joho avae gamba ili watanzania tujue kuliko kujificha.asofu pengo hukuwa hivyo nakushangaa.
 
Tumeanza kujua janja yenu ya kututoa katika mijadala mikuu yenye maslahi kwa taifa kama Katiba na Chaguzi za mwaka huu !
 
mtume kazidiwa anaumwa Sana Presha ipo juu baada ya kuhojiwa na polisi mtume ameogopa sana hili suala.

Mtume gani tena!!!!!Angalia usitukane dini za watu ukaleta Magaidi Tanzania.Hawa Jamaa ni wakali sana unapogusa imani yao.Jifunze kwa Mtoto aliyekojolea Kitabu.
 
Unamsumbua askofu mwenza kwa jambo ambalo mlikuwa mmekubaliana tena kwa maandishi,hii ni aibu kwa kanisa. Waamini tunakushangaa.
 
Mkuu hata kama unamchukia Gwajima kwa maneno makali dhidi ya Pengo kitu ambacho sikubaliani naye pia, lakini kwenye hili la afya ni vema kumjulia hali kwani uhai kwanza mambo mengine baadae. Slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana.
Mbona shida kaugua mpaka kafariki hatukumuona slaa.shida alikua mjumbe cc chadema
 
Dr.Slaa alimtembelea hata Shekh Ponda baada ya kupigwa Risasi ya Bega.Huyu Jamaa ni Mkombozi na Kipenzi cha watanzania wanaonyanyasika.

Dr slaa ni tumaini la wanyonge! Nakwambia nilikuwa maeneo yale shughuli zilisimama kila mtu anataka kumshika Dr slaa mkono, kwa kuwa makachero wanaomlinda Gwajima na Makachero wa Dr Slaa walikutana kona moja ikawa ngumu lakini nimeamini Dr slaa anapendwa.
 
Wakuu ! Mnaikumba clip ya ask.Gwajima yenye kichwa "MIMI SIYO KAMA WALE" ?

Subiri muziki wake muda si mrefu tangu leo !
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Back
Top Bottom