Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Asalaam aleykum !
Dr slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana alipomtembelea mtumishi wa bwana askofu Gwajima, hali ilikuwa shwari utulivu wa hali ya juu na ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu.

Nimejaribu kudadisi afya ya Gwajima inaonekana inaendelea vema na baadae tutajulishwa zaidi akipata nafuu na kuruhusiwa. Makachero wanamlinda Gwajima ila kivutio ulikuwa ujio wa Dr Slaa shughuli zilisimama na wagonjwa wakapata nafuu nakusema yuko wapi Rais wa mioyo ya watu tumshike mkono!


Huyu mpendwa wa watu,hasubiri taarifa mbaya maana anajua ni heri kukinga kuliko kuponya.Naona akiwa Rais akipigana kuhakikisha akina mama,waroto, vijana na wazee wakipata matumaini mapya he is optimistic leader
 
Polisi watatueleza vzr walimfanya nn jembe letu.

Kaulizwa kuhusu majumba,magari na mabilioni amepataje mzee kaanza kutoa povu kaanguka.kajiingiza kwenye anga za watu.alikuwa anatafutiwa sababu tu.akipata nafuu wanaendelea nae.wote mlionyang'anywa mali zenu kaeni tayari kuitwa polisi kutoa ushahidi
 
We mbulula umevamia mada kwa hasira ingawa inaonyesha hujui chochote,hata huyo Gwajima mwenyewe humjui, uliwahi kusikia wapi Gwajima kajiita nabii?acha kuzua zua mambo hovyo kama mwanamke, Gwajima alimkemea pengo kwa kitendo cha pengo kuonyesha kuipigia debe mahakama ya kadhi ambayo walikubaliana kuipinga, yeye akasaliti, sasa wewe mbulula unatapika tu au unajisaidia? Malizia kujisaidia mkuu halafu uje tena

Mbona una matusi km askofu bandia wako?,gwajima hakumkemea pengo,bali alimtukana na kumfedhehesha kisha akamtishia kwa kuwaagiza malaika wamdhuru pengo,nadhani wakatoliki km tabia yao ya kutofanya mambo kwa kupayuka na sifa km ninyi,waliingia vyumbani na kufanya novena+kwaresma,ili kumuomba mungu amlinde kiongozi wao na matokeo yke ndo haya,aliye na mamlaka ya kuagiza malaika wamdhuru mtu kasalimishwa hospitali?,yapo mambo ya kujiuliza hapa,km jamaa ana uwezo wa kuamlisha malaika atakavyo yy,imeshindikanaje malaika hao kumlinda dhidi ya shambulizi la moyo,jamaa ni kanjanja tu hamna kitu,inabidi akipona waumini wake wamuulize,kwa nn wao wakipatwa shida yy hujidai kuwaombea na kuponya ila yy akizidiwa hukimbizwa hospitali
La kufanya,waumini wake nadhani wanaomba na kukemea saahizi,ili maombi yao mungu ayajibu wanatakiwa kutubu na kuomba msamaha kwa niaba ya huyo tapeli wao wa kiimani,ndipo sala zao zitakuwa na nguvu zaidi,poleni sana wana ufufuo kwa kuuguliwa na askofu feki wenu,maana miaka hii kila mtu anaweza jiita askofu nk,lkn tumuombee sote ili apone maana baada ya kupona akiyakumvuka maneno yake ya vitisho na kiburi nadhani atajifunza jambo hapo na ataondoa kiburi,wanadamu tuache kiburi na majivuno,mungu ndo hakimu wa kweli,tujinyenyekeze na mungu atatutetea kwa watesi wetu,
 
Wakati wa nyerere kwenda kwenu hadi likizo na ukiteleza likizo inaishia njiani.kikwete kakuletea maendeleo leo babako ana uwezo wa kukutaarifu kakutumia mahindi saa 12 asubuhi saa 9 mchana umeyapata

Wewe acha kupotosha huzo ni kodizetu na mengineyo kwa msaada wa marekani.
 
Kikwete na Nyerere yupi nchi imemshinda?

Enzi watu wamakula ugali wa njano ulishazaliwa?.ukikamatwa na colgate utajuta kuzaliwa.gari yako jumapili marufuku kutembea.umezaliwa kizazi cha dot com hujui lolote
 
Dr.Slaa alimtembelea hata Shekh Ponda baada ya kupigwa Risasi ya Bega.Huyu Jamaa ni Mkombozi na Kipenzi cha watanzania wanaonyanyasika.


Duh...cjui ni uelewa mdogo....sasa mtu kama Gwajima unaweza kusema ananyanyasika kweli?

hapa tunatofauti ya uelewa, .....Huyu Gwajima na upuuzi wote unasema ananyanyasika? Sema anajinyanyasa na akili ndogo.
 
Ulikuwepo wakati wa Nyerere?

Jibu swali usiulize swali juu ya swali.....


Unaniuliza kuwepo wakati Wa Nyerere kwa mzani UPI? Kama hoja ya kujua yaliyokuwako wakati Wa Nyerere lazima uwepo basi haitakuwa na Tija kwawewe kusimulia au kutetea mambo ya mtume Mohammed wakati zama zake hukuwepo.
 
Tmj tena. Anakimbia kifo. Kifo hakiitambui hata PhD .
Dr. Slaa atakuwa ameenda kumkumbusha mwenzie asome sana biblia.
 
ukiangalia haraka haraka utauona upendo, lakini kwa kina kuna kachokochoko ka udini na kwa wazi kuwa Slaa ana bif na Pengo ambaye amewahi kuwa bosi wake wa kiroho.
 
Gwajima aliongozana makao makuu ya polisi,ili kuhojiwa akiambatana na John Mallya wakili wa chadema,hii inachanganya kidogo.
 
Back
Top Bottom