Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Umesema vema na very accurately...very clear...!!! U hit the point...!!!

TATIZO HAPA NI JINSI GWAJIMA ALIVYOWAKILISHA....UNAWEZA KUWA NA POINTS NZURI AU UKAWA NA HAKI KABISA..LAKINI ukakosa haki yako kwa kutenda kosa kwa kudai haki yako... badala ya Gwajima kuiwakilisha kama mchungaji...na angetumia maneno ya kiuchungaji mazito...na ujumbe mzito ungefika...na wote tunajua PENGO KACHEMKA HAPA....!!!

Ila Gwajima katenda kosa kwa kusema matusi mazito mazito ya nguoni...kufikisha ujumbe..hiyo haifai...lazima ashikishwe adabu...!!!

Pengo kafanya kosa la USALITI...yes...coz mahakama ya kadhi haitakiwi iingie ktk katiba...hilo halina swali...!!

TATIZO GWAJIMA KATUKANA SANA SANA...so acha ashugulikiwe ipasavyo..!!



Wakristo tunafundishwa kwamba Wazinzi na Makahaba watawatangulia kwenda Peponi. Gwajima amejitahidi kumkumbusha Pengo kwamba Uamuzi wa Baraza la Maaskofu ndio wa Mwisho katika Nchi husika kwa kanisa la Roman Catholic.Maaskofu wa Kikatoliki wakishirikiana na wenzao wa Kikristo wameikataa MAHAKAMA YA KADHI yeye hana mamlaka ya kuwapinga.Kikanisa TEC inauwezo wa kumwandikia PAPA barua ya kutokuwa na Imani na Kardinal Pengo na Pengo akawa Matatani.Ndio maana hakuna Askofu hata mmoja aliyemuunga mkono Pengo wala kumkemea Gwajima kwa Matamshi yake dhidi ya Pengo.Serikali sasa ndio imeshikamana na Pengo lakini sio Maaskofu.Hii ni ajabu na Enzi za Yesu hili halikuwezekana kamwe maana Serikali ni sawa na Kaisari.
 
Asalaam aleykum !
Dr slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana alipomtembelea mtumishi wa bwana askofu Gwajima, hali ilikuwa shwari utulivu wa hali ya juu na ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu.

Nimejaribu kudadisi afya ya Gwajima inaonekana inaendelea vema na baadae tutajulishwa zaidi akipata nafuu na kuruhusiwa. Makachero wanamlinda Gwajima ila kivutio ulikuwa ujio wa Dr Slaa shughuli zilisimama na wagonjwa wakapata nafuu nakusema yuko wapi Rais wa mioyo ya watu tumshike mkono!
inabidi kuwa waangalifu sana , yale mambo ya ' VITU VYENYE NCHA KALI ' bado yapo .
 
Huu ni ukweli usiotiliwa shaka hata kidogo mkuu. Hali ndivyo ilivyo amini usiamini ndivyo ilivyoandikwa.

Sasa nitaaminije maandishi.... Weka basi Picha Ya Slaa na Gwajima... Maana Ya Gwjjima alipozimia ilirushwa mapema tu
 
Gwajima si alisema aogopi polisi kuhojiwa tu presha imepanda na kuzimia.
 
Naam naam!! Wakati anaingia Dr slaa wagonjwa wa clinic walipata matumaini huku wakiwa na shauku ya kumshika mkono. Dr slaa kiboko


Bila shaka wewe utakuwa ni daktari wa hiyo hospitali aliyolazwa mtumishi.
 
Wakristo tunafundishwa kwamba Wazinzi na Makahaba watawatangulia kwenda Peponi. Gwajima amejitahidi kumkumbusha Pengo kwamba Uamuzi wa Baraza la Maaskofu ndio wa Mwisho katika Nchi husika kwa kanisa la Roman Catholic.Maaskofu wa Kikatoliki wakishirikiana na wenzao wa Kikristo wameikataa MAHAKAMA YA KADHI yeye hana mamlaka ya kuwapinga.Kikanisa TEC inauwezo wa kumwandikia PAPA barua ya kutokuwa na Imani na Kardinal Pengo na Pengo akawa Matatani.Ndio maana hakuna Askofu hata mmoja aliyemuunga mkono Pengo wala kumkemea Gwajima kwa Matamshi yake dhidi ya Pengo.Serikali sasa ndio imeshikamana na Pengo lakini sio Maaskofu.Hii ni ajabu na Enzi za Yesu hili halikuwezekana kamwe maana Serikali ni sawa na Kaisari.
Hivi hakuna namna yoyote ya haraka ya kumvua madaraka Pengo , zaidi ya hii ya kuwasiliana na papa ?
 
Dr slaa muungwana sana hana makuu! Lakini pia Pengo ajirekebishe! Huwezi kusaini makubaliano baadae unazungumza na vyombo vya habari kwamba mimi sikuhusika wala sikuwepo kwenye kikao cha maaskofu; huyu pengo ni tatizo hapa .
Hata kama Pengo kafanya makosa Gwajima kama kiongozi wa dini akupaswa kumtukana Pengo kiasi hicho.
 
Mafunzo ya mtu anayeitwa kaldinali ni tofauti kabisa na mafunzo ya kutoa Nigeria.Nguvu ya Kadinali kiroho ni kubwa kuliko wengi tunavyodhani.
Siku nyingine asirudie kumtusi mtu asiyemjibu,katika hili Ndg.Gwajima amejifedhehesha sana.
 
Umesema vema na very accurately...very clear...!!! U hit the point...!!!

TATIZO HAPA NI JINSI GWAJIMA ALIVYOWAKILISHA....UNAWEZA KUWA NA POINTS NZURI AU UKAWA NA HAKI KABISA..LAKINI ukakosa haki yako kwa kutenda kosa kwa kudai haki yako... badala ya Gwajima kuiwakilisha kama mchungaji...na angetumia maneno ya kiuchungaji mazito...na ujumbe mzito ungefika...na wote tunajua PENGO KACHEMKA HAPA....!!!

Ila Gwajima katenda kosa kwa kusema matusi mazito mazito ya nguoni...kufikisha ujumbe..hiyo haifai...lazima ashikishwe adabu...!!!

Pengo kafanya kosa la USALITI...yes...coz mahakama ya kadhi haitakiwi iingie ktk katiba...hilo halina swali...!!

TATIZO GWAJIMA KATUKANA SANA SANA...so acha ashugulikiwe ipasavyo..!!

Naam! Gwajima kinachomtia hatiani ni maneno makali lakini kusudio lake lilikuwa fine
 
Hiyo sio idiom hata kidogo,birds of the same feathers flock together ndio idiom and by the way mm sio wa bukoba.

Kumbe si wa Bukoba bali ulipenda tu kujiita "Bukoba boy" ili uonekane wa maana! Duh!

Ndiyo maana mjinga mjinga.

Pitia hizi link uelimike japo kiduchu, siku nyingine usibishane nami kwenye lugha ambayo hata ndoto nnaota kwa lugha hiyo:

Birds of a feather flock together - meaning and origin.

birds of a feather flock together definition, meaning - what is birds of a feather flock together in the British English Dictionary & Thesaurus - Cambridge Dictionaries Online

Birds of a feather flock together - Idioms by The Free Dictionary

Urban Dictionary: Birds of a feather flock together

birds of a feather flock together - Wiktionary

Hivi shule ulienda kusomea ujinga?
 
Hivi hakuna namna yoyote ya haraka ya kumvua madaraka Pengo , zaidi ya hii ya kuwasiliana na papa ?

Njia nyingine ni kumshtaki katika Mahakama ya Kanisa.Wataalamu wa Cannon Law watachambua makosa yake na akipatikana na hatia wanaweza kutoa hukumu ya kumtenga na Kanisa.Hapo atakuwa amevuliwa Uaskofu Moja kwa Moja.
 
Mafunzo ya mtu anayeitwa kaldinali ni tofauti kabisa na mafunzo ya kutoa Nigeria.Nguvu ya Kadinali kiroho ni kubwa kuliko wengi tunavyodhani.
Siku nyingine asirudie kumtusi mtu asiyemjibu,katika hili Ndg.Gwajima amejifedhehesha sana.

Ukisoma Historia ya Kanisa Katoliki utagundua unachoamini sio mara zote ni sahihi.
 
Back
Top Bottom