Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Waulize kina Kitenge Mwaipaya na wenzao watakuambia yule mzee ni mtu wa aina gani.. wewe ukiishia kutazama upara wake kwenye TV tu hutamuelewa mnyonyaji yule na mwizi yule aliyeichoma moto benki kuu enzi zake

Hao akina Mwaipaya na Kitenge wana lipi la kusema? Aliwalazimisha wafanye kazi kwake? Kawafunga? Ni ujinga kwa mtu kulalamika kuwa unapunjwa kimaslahi ktk uchumi huu wa soko huria, àmbapo mtu unaweza ukajiongeza na kupata makubwa zaid kuliko kukaa hapo unamlalamikia bosi.

Pili hilo la kuunguza BoT sijiu lipoje kwa kweli ,lakin nadhan kama uthibitisho Upo angekamatwa ,hivyo huu pia ni uongo kama uongo mwingine tu wa watu wa aina ya Prof Muhongo.

By the way nasubiria party ya TPSF ya kujipongeza maana huyu Le Profeseri alitukwaza wajasiriamali, wafanyabiashara na wawekezaji wazawa wengi sana.
 
kwa kweli muhongo amejitahidi amesambaza sana umeme vijijini
_lakini jana zzk kasema wizara yake ndio ina hati mbaya kwa madeni alafu nikaja kumdharau alivyofanikisha kuituibia mabilioni alafu wakina ashunta mshana wanampigia makofi
Umeme vijijini unafanywa kama mradi binafsi wa Waziri! Tunalipia pesa hizo kwenye bill zetu za umeme, na ni pesa ya Marekani Millennium goal na hizi zote si yeye aliyezitfuta...amekuta mradi unatekelezwa.
 
Mpambano mzuri yaelekea Mengi atashinda,lakini ushindi wa mengi unapewa nguvu na Nimrod Mkono na Lowasa ambao Ni wezi wakubwa,ambao wanaufanya ushindi wa swaiba wao uwe na doa...

Muhomakilo Jr Exactly it is dirty game between Nimrod Mkono kubanwa wizi wakuiibia TANESCO na MENGI kunyimwa DEAL YA VITALU VYA GESI.Edward alikuwa anataka kupunguza competition kwa MTOTO WA MKULIMA kuonja Yake ya 2008 ingawa kaponea chupchup licha ya wengi kujenga hoja kupitia kwa marafiki zake Raigwani
 
kwa kweli muhongo amejitahidi amesambaza sana umeme vijijini
_lakini jana zzk kasema wizara yake ndio ina hati mbaya kwa madeni alafu nikaja kumdharau alivyofanikisha kuituibia mabilioni alafu wakina ashunta mshana wanampigia makofi

Huo umeme vijijini umesambazwa na REA ambao kiukweli walianza kabla hata yeye hajaja isipokuwa Bahati aliyoipata ni kuwa miradi imekamilika yeye akiwepo. Ni sawa na huu mradi wa BRT ambao umeanza chin ya JK lakin unaonekana kabisa kuwa matunda yake yataonekana 2016/17 huko ambapo tutakuwa na new presdaa ,utakuwa ni upotoshaji kupeleka credit za BRT kwa rais mpya
 
Muhomakilo Jr Exactly it is dirty game between Nimrod Mkono kubanwa wizi wakuiibia TANESCO na MENGI kunyimwa DEAL YA VITALU VYA GESI.Edward alikuwa anataka kupunguza competition kwa MTOTO WA MKULIMA kuonja Yake ya 2008 ingawa kaponea chupchup licha ya wengi kujenga hoja kupitia kwa marafiki zake Raigwani

Mpambano mzuri yaelekea Mengi atashinda,lakini ushindi wa mengi unapewa nguvu na Nimrod Mkono na Lowasa ambao Ni wezi wakubwa,ambao wanaufanya ushindi wa swaiba wao uwe na doa...

sijashawishika kuona ushiriki wa edward katika hili
 
Profesa Muhongo sasa ameshakuwa historia!
Reginald zmengi alipiga kelele san juu ya hili, kutukanwa sana ila wachache walimwelewa.
Wengine tulimwelewa!
Wakati Mengi analisha vilema na masikini, tazama waliofaidika na miamala ya fedha za Escrow account.

Hivyo basi kwa kupiga jaramba mapema juu ya ukosefu wa uzalendo wa Muhongo, sasa umethibitika.
Hongera Reginald Mengi.
Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.
  1. Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote viwili vimekufa!.
  2. Akatishiwa kifo, kawataja wamiliki wa DTV, Shabbir na Murtaza Dewji wakatiwa ndani!.
  3. Alitibuana na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel, kwa kuamrisha wahindi hao waachiwe, Adel alimwaga unga wake!.
  4. Akatibuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabenki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
  5. Akatibuana na mmiliki wa Channel Ten, Muitaliano, Franco Tramontana, Franco alitimuliwa nchini!.
  6. Akatibuana na Lowasa, Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
  7. Alipishana kauli na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, Shamim aling'olewa!.
  8. Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
  9. Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
  10. Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
  11. Alipishana kauli na Adam Malima, malima amemwagwa!.
  12. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
  13. Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji yamemkuta ya kumkuta na soon anafilisiwa!.
  14. Akapishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, Masha, Masha kang'olewa!.
  15. Akatibuana Rostam Aziz, kwenye fisadi papa, Rostam sasa ameikimbia nchi!,
  16. Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
  17. Mwandishi Eric Kabendera, alitoa ushahidi kule UK, jinsi Mengi anaingilia editorial ya media yake, Eric Kabendera alipata misukosuko ya kuhojiwa uraia wake
  18. Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa!
  19. Alitibuana na Ze Comedy, kipindi kimekufa!
  20. Ndipo sasa amekuja Prof. Mhongo!, tusubirie tuone Muhongo atadumu kwa muda gani kabla ya kumkuta, hayajamkuta!.

Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.

Vinginevyo!.

Paskali
 
Ukawa wakiongozwa na Mbowe wamehongwa na Serikali ndio maana wamekubali kufanya maridhiano ya KIJUHA.

naweza kukuunga mkono! Lakini kwanini usifiri labda wameamua kufanya hivyo ili kuficha na kulinda heshima ya rais? Na usikimbilie kusema wamehongwa? Na kama wamehongwa ni shilingi ngapi ngapi? Hatutaki upayukaji hapa kama wa muhongo, lakini pia kwa nini usiseme walihongwa wale walio kuwa wanamtetea muhongo kwa pongezi za kinafiki lakini bado anang'oka,kibajaji anajua hili zaidi, lakini lengo lilikuwa wezi watolewe na wametoka ,1 muhongo,mwaswi,na werema, wengine wamevuliwa nyadhifa, chenge,tibaijuka majaji wawili nk?? Lakini pia mitambo iataifishwa inarudi serikalini. Nafikiri 86% ya matakwa ya ukawa yame fikiwa labda kama una lingine,
 
naweza kukuunga mkono! Lakini kwanini usifiri labda wameamua kufanya hivyo ili kuficha na kulinda heshima ya rais? Na usikimbilie kusema wamehongwa? Na kama wamehongwa ni shilingi ngapi ngapi? Hatutaki upayukaji hapa kama wa muhongo, lakini pia kwa nini usiseme walihongwa wale walio kuwa wanamtetea muhongo kwa pongezi za kinafiki lakini bado anang'oka,kibajaji anajua hili zaidi, lakini lengo lilikuwa wezi watolewe na wametoka ,1 muhongo,mwaswi,na werema, wengine wamevuliwa nyadhifa, chenge,tibaijuka majaji wawili nk?? Lakini pia mitambo iataifishwa inarudi serikalini. Nafikiri 86% ya matakwa ya ukawa yame fikiwa labda kama una lingine,

Credit nzuri kama MTOTO WA Mkulima angelitembea na kulidondosha baraza hapo sawa ingeli sound 2015 lakini sasa serkali ikitekeleza hata kinafiki watakuwa na kazi sana kupata hoja hot kama hii
 
Mtoa mada inaelekea unamfuatilia sana Mengi, lakini kwa jinsi Muhongo alivyowaudhi wananchi wengi, hakuna anayemhurumia katika sakata hili.

Sijawahi ona binadamu mwenye dharau na mdomo mchafu km huyu jamaa....... Natamani nikutane nae nimchape kisu
 
Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.

Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote vimekufa.
Akatubuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabeki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
Akatibuana na Lowasa Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!
Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji anafilisiwa!.
Akapishana kauli na Masha, Masha kang'olewa!.
Akaja Rostam Aziz, sasa ameikimbia nchi!,
Ndipo amekuja Mhongo!.

Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.

Vinginevyo!.

Pasco.

Kwenye hii orodha umemsahau Laurence Masha naye aliomba radhi akamsamehe na akampa ushindi kwenye bahati nasibu zake.

Je vipi na wewe uko tayari kutubu? Maana umetuita Ignorant akiwemo Mengi
 
Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.

Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote vimekufa.
Akatubuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabeki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
Akatibuana na Lowasa Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!
Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji anafilisiwa!.
Akapishana kauli na Masha, Masha kang'olewa!.
Akaja Rostam Aziz, sasa ameikimbia nchi!,
Ndipo amekuja Mhongo!.

Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.

Vinginevyo!.

Pasco.

Watu wa 'Mungu' Kiranga nakuomba hapa. Au Pasco unazungumza kinabii?
 
Last edited by a moderator:
"...Sijawahi kuona profesa muongo Duniani kama Profesa Muhongo.." that's my favourite quote katika kadhia ile ya escrow.
 
Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.

Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote vimekufa.
Akatubuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabeki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
Akatibuana na Lowasa Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!
Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji anafilisiwa!.
Akapishana kauli na Masha, Masha kang'olewa!.
Akaja Rostam Aziz, sasa ameikimbia nchi!,
Ndipo amekuja Mhongo!.

Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.

Vinginevyo!.

Pasco.
Mkuu kweli una orodha ndefu ya jamaa waliopishana na Mengi.
Lakini cha kusisitiza kwa Mengi ni kwamba ana down to earth touch.
Huyu anaombewa sana na wale albino na vilema na watu msikini.

Na si kwamba ni mtakatifu, la hasha.
Hata akiongea juu ya wajasiriamali wa kitanzania kuwezeshwa , wengi ya walio serikalini hawamuelewi kabisa.
Huyu Muhongo ndo akapitiliza, na kudharau watanzania wajasiriamali wote kuwa ni wenye upeo wa kutengeneza juisi tu.
Wengi hatukumsamehe Muhongo kwa matusi hayo.
 
Mkuu usijejidanganya kuwa kusambaza umeme ni kazi ya Muhongo.
Mpango huo ni wa Millenium Challenge unaofadhiliwa na serikali ya Marekani, na sasa umesitishwa kutokana na wizi huo wa Escrow account, na muhusika mkuu ni Muhongo.

Huo mradi wa Millenium Challenge ulianza hata kabla Muhongo hajapewa kibarua pale wizarani.

duh,kumbe bora kutokuwa msomi
 
Waulize kina Kitenge Mwaipaya na wenzao watakuambia yule mzee ni mtu wa aina gani.. wewe ukiishia kutazama upara wake kwenye TV tu hutamuelewa mnyonyaji yule na mwizi yule aliyeichoma moto benki kuu enzi zake

Mengi si mstaafi wala mtu Mwema kama wengi wanavyodhani, ni mtu mwenye michongo ya Hatari na Ukimkwamisha popote lazima amwage Pesa kwa wingi ni Mtu mpenda ligi sana, hata 1995 ndiye alimfitini Lowasa kwa Nyerere baada ya kuwa wamegombana,Pia Masilingi akionja Visasi vya Mengi,aliwahi kumpiga mkwara chacha wangwe baada ya kuwatetea ZE comedy Wakati wanahamia TBC , aliwahi kukopa NBC akaanzisha viwanda vya sabuni nk, hakulipa Deni matokeo yake Bank iliungua na kupoteza ushahidi wote, amejaa maovu kibao kinyume na watu wanavyomfahamu, mfano kwa sasa anamtumia Sendeka kupenyeza chuki zake kwa mhongo baada ya kumnyima Vitalu vya Gesi. Kuwalisha walemavu na kuwanywesha ni mbinu yake ya kuficha Uovu wake.
 
Kwenye hii orodha umemsahau Laurence Masha naye aliomba radhi akamsamehe na akampa ushindi kwenye bahati nasibu zake.

Je vipi na wewe uko tayari kutubu? Maana umetuita Ignorant akiwemo Mengi
Masha Yupo!, mimi I belong to kundi la wale masikini jeuri!, maisha ni kama ya "kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!", hata kama jirani anatupa chakula jalalani, kuliko kuomba bora kulala njaa!.

Pasco.
 
Mi aliniacha hoi alipoenda kujitetea na makaratasi kibao. Halafu akatoa vielelezo viwili halafu vyote feki.
 
Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.


  1. Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote vimekufa.
  2. Alitibuana na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel, Adel alimwaga unga wake!.
  3. Akatubuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabeki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
  4. Akatibuana na Lowasa Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
  5. Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!
  6. Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
  7. Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
  8. Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
  9. Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
  10. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
  11. Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji anafilisiwa!.
  12. Akapishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, Masha, Masha kang'olewa!.
  13. Akaja Rostam Aziz, sasa ameikimbia nchi!,
  14. Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
  15. Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa!
  16. Ndipo sasa amekuja Prof. Mhongo!.

Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.

Vinginevyo!.

Pasco.

naMBA 15 IMENIVUTIA ZAIDI .
 
Back
Top Bottom