Siku xote huyu mkuu anaangalia ugali wa wengi!Naona siku hizi macho yako hayaangalii ugali tu.
Siku xote huyu mkuu anaangalia ugali wa wengi!
Hahaha hahaha hahahaAawapi huyu gamba!!? Sema siku hizi naona magamba mengi yamebadilika tangu ishu ya escrow yamekua na akili.
Hebu tuambie ju ya gamba anependa kuibiwa mchana kweupe.Aawapi huyu gamba!!? Sema siku hizi naona magamba mengi yamebadilika tangu ishu ya escrow yamekua na akili.
ni ngumu sana kuwapata watu kama wakina mengi lakin ni rahisi kuwapata watu dizain ya prof muhongo katika nchi zetu za afrika
kwa kweli muhongo amejitahidi amesambaza sana umeme vijijini
_lakini jana zzk kasema wizara yake ndio ina hati mbaya kwa madeni alafu nikaja kumdharau alivyofanikisha kuituibia mabilioni alafu wakina ashunta mshana wanampigia makofi
Mkuu usijejidanganya kuwa kusambaza umeme ni kazi ya Muhongo.kwa kweli muhongo amejitahidi amesambaza sana umeme vijijini
_lakini jana zzk kasema wizara yake ndio ina hati mbaya kwa madeni alafu nikaja kumdharau alivyofanikisha kuituibia mabilioni alafu wakina ashunta mshana wanampigia makofi
Profesa Muhongo sasa ameshakuwa historia!
Aliingia na gia ya kuwadharau wazalendo na kujiweka mbele kuwakumbatia "wawekezaji" wengine ndio hao kina Sing Seth wa PAP, matapeli ya kimataifa.
Sasa kina Seth wamemuingiza chaka, linalotishia kumpeleka Segerea!
Reginald zmengi alipiga kelele san juu ya hili, kutukanwa sana ila wachache walimwelewa.
Wengine tulimwelewa!
Wakati Mengi analisha vilema na masikini, tazama waliofaidika na miamala ya fedha za Escrow account.
Hivyo basi kwa kupiga jaramba mapema juu ya ukosefu wa uzalendo wa Muhongo, sasa umethibitika.
Hongera Reginald Mengi.
Wassira kasema Bungeni kuwa CCM haina mpango na wezi, watatoswa tu!
Usilinganishe chama tawala na zile saccos zenu.Mbona wenye chama Nnauye na Kinana kwa nyakati tofauti washasema na hakuna lolote liliotokea...
Ona magamba yanazidi kuwaota na hamjivui tena bali yanazidi kuwa sugu na muda si mrefu mtakua kama kobe...
Ukiwa msafi utoangea kweli daima.. suala hili lioneshwa Kwa umakini sana na vyombo vya IPP media.. hata hivyo muhongo arudi kwenye miamba alikozoea huku duniani alikuwa ugenini tu.Profesa Muhongo sasa ameshakuwa historia!
Aliingia na gia ya kuwadharau wazalendo na kujiweka mbele kuwakumbatia "wawekezaji" wengineu ndio hao kina Sing Seth wa PAP, matapeli ya kimataifa.
Sasa kina Seth wamemuingiza chaka, linalotishia kumpeleka Segerea!
Reginald zmengi alipiga kelele san juu ya hili, kutukanwa sana ila wachache walimwelewa.
Wengine tulimwelewa!
Wakati Mengi analisha vilema na masikini, tazama waliofaidika na miamala ya fedha za Escrow account.
Hivyo basi kwa kupiga jaramba mapema juu ya ukosefu wa uzalendo wa Muhongo, sasa umethibitika.
Hongera Reginald Mengi.