Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Hili la mchanga wa dhahabu alipaswa alielewe fika.
Hata hivyo namsamehe kwani sasa anagundua kuwa yeye yuko sawa ha hao aliokuwa anawadharau kipindi kile.
Mzungu aliyembeba kamwangusha pwaaaaa!
Mkuu Maso, yeye alipoingia hayo mambo aliyakuta!.

Paskali
 
Tumesikia mara kwa mara waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo akimlaumu IPP Chairman, Dr. Reginald Mengi kuwa anang'ang'ania vitalu vya gesi na mafuta kumilikishwa kwa wazawa kwa kuwa ni dalali.

Leo katika report ya PAC bungeni, Prof. Sospeter Muhongo ametajwa kama dalali kwa kuwa ndiye yeye aliyewakutanisha Harbinder Sigh Seth na James Rugemalira katika dili ya Tanesco. Dr. Mengi atasema nini kuhusu yaliyotokea?
images
images
 
ukisikiliza kwenye dkk kuanzia ya pili Wazir alikuwa anaongelea takwimu, takwimu gani? Hizi nadhani alikuwa anamaanisha data ambazo ni zetu na tunazo na ni za bure
 
Mpaka sasa Statoil wanakwambia washatumia over $2bn in exploration alone which is very much gambling maana unaweza kwenda na kukuta ujazo wenyewe not commercial viable. Hivi ingekuwa rahisi kama tunavyodhani Si kila nchi ingefanya yenyewe. Watanzania wanamitaji ya kuwekeza kwenye viwanda vya juice tu.

Wewe Kama umewekeza hela swala oil jua ushatepeliwa tu.
 
Nilikuwa namaanisha kwenye link hii hapa


Takwimu nadhani alimaanisha data ambazo tunazo na ni za bure. Sisi ndiyo tulitakiwa kuwauzia wengine kwa hiyo bei lakin si sisi kuuziana data kwa bei hiyo wakati ni zetu
 
Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.
  1. Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote viwili vimekufa!.
  2. Akatishiwa kifo, kawataja wamiliki wa DTV, Shabbir na Murtaza Dewji wakatiwa ndani!.
  3. Alitibuana na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel, kwa kuamrisha wahindi hao waachiwe, Adel alimwaga unga wake!.
  4. Akatibuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabenki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
  5. Akatibuana na mmiliki wa Channel Ten, Muitaliano, Franco Tramontana, Franco alitimuliwa nchini!.
  6. Akatibuana na Lowasa, Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
  7. Alipishana kauli na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, Shamim aling'olewa!.
  8. Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
  9. Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
  10. Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
  11. Alipishana kauli na Adam Malima, malima amemwagwa!.
  12. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
  13. Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji yamemkuta ya kumkuta na soon anafilisiwa!.
  14. Akapishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, Masha, Masha kang'olewa!.
  15. Akatibuana Rostam Aziz, kwenye fisadi papa, Rostam sasa ameikimbia nchi!,
  16. Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
  17. Mwandishi Eric Kabendera, alitoa ushahidi kule UK, jinsi Mengi anaingilia editorial ya media yake, Eric Kabendera alipata misukosuko ya kuhojiwa uraia wake
  18. Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa!
  19. Alitibuana na Ze Comedy, kipindi kimekufa!
  20. Ndipo sasa amekuja Prof. Mhongo!, tusubirie tuone Muhongo atadumu kwa muda gani kabla ya kumkuta, hayajamkuta!.

Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.

Vinginevyo!.

Paskali

Duh!
 
Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.
  1. Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote viwili vimekufa!.
  2. Akatishiwa kifo, kawataja wamiliki wa DTV, Shabbir na Murtaza Dewji wakatiwa ndani!.
  3. Alitibuana na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel, kwa kuamrisha wahindi hao waachiwe, Adel alimwaga unga wake!.
  4. Akatibuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabenki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
  5. Akatibuana na mmiliki wa Channel Ten, Muitaliano, Franco Tramontana, Franco alitimuliwa nchini!.
  6. Akatibuana na Lowasa, Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
  7. Alipishana kauli na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, Shamim aling'olewa!.
  8. Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
  9. Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
  10. Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
  11. Alipishana kauli na Adam Malima, malima amemwagwa!.
  12. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
  13. Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji yamemkuta ya kumkuta na soon anafilisiwa!.
  14. Akapishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, Masha, Masha kang'olewa!.
  15. Akatibuana Rostam Aziz, kwenye fisadi papa, Rostam sasa ameikimbia nchi!,
  16. Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
  17. Mwandishi Eric Kabendera, alitoa ushahidi kule UK, jinsi Mengi anaingilia editorial ya media yake, Eric Kabendera alipata misukosuko ya kuhojiwa uraia wake
  18. Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa!
  19. Alitibuana na Ze Comedy, kipindi kimekufa!
  20. Ndipo sasa amekuja Prof. Mhongo!, tusubirie tuone Muhongo atadumu kwa muda gani kabla ya kumkuta, hayajamkuta!.

Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.

Vinginevyo!.

Paskali
This was big, I have never seen it before. Ila kwa kuwa naye alifariki sasa naamini kabendera atakuwa huru.
 
Back
Top Bottom