Jaji Werema na Prof Muhongo wanapaswa kuwa Segerea pamoja na Harbinger Singh Sethi

Stuxnet

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
10,343
17,887
Namna ambayo Harbinger Singh alipata hisa za Mechmar kupitia Piper Links na hatimaye PAP inaonyesha ilikuwa ya udanganyifu.

1. Wakati Piper Links ikipata hisa 70% za Mechmar katika IPTL mwaka 2010 Kampuni ya Mechmar ya Malaysia ilikuwa tayari mufilisi (Under receivership).

2. Inawezekana baadhi ya wanahisa wa iliyokuwa Mechmar waliizunguka Serikali pamoja na Mahakama Kuu ya Malaysia mpaka wakauza hisa zao

3. Inasemekana kwanza Mechmar walimuuzia Piper Links (Mali ya Harbinger Singh) ambayo ni kampuni ya kufikirika ambayo ilizitunza hisa hizo kwanza kwenye visiwa vya Virgin Island.

4. Wafilisi wa Mechmar wanasema Mkurugenzi mmoja wa iliyokuwa Mechmar Fatuk Baharudwn bin Abdul Najid alikiuka amri ya Mahakama ya tarehe 03/ 10/ 2010 kwa kuidanganya Mahakama kwa kuingia Mkataba wa u
Umiliki Hisa (Share Purchase Agreement) ya USD 9.0 Million na Piper Link Investments Ltd mnamo 09/ 09/ 2010.

5. Wafilisi walifanikiwa kufungua kesi kwenye Mahakama ya BVK ya Malaysia na waliweza kushinda kesi ya kurudisha hati za hisa.

6. Swali, Je Piper Links waliwezaje kuuza hisa kwa PAP (Mali ya Harbinger Singh) wakati kulikuwa na amri ya tarehe 03/ 04/ 2011 inayowakataza Wakurugenzi wa Piper Links kufanya miamala yeyote ya hisa za Mechmar?.

7. Je ni nyaraka zipi ambazo PAP walizitumia kuwasilisha Wizara ya Nishati na Madini kuonyesha umiliki wao wa hisa 70% za IPTL?

8.Nyaraka zinaonyesha kuwa Piper Links walinunua hisa kutoka Mechmar kwa USD 9.0 Milion na kuziuza siku hiyo hiyo kwa PAP kwa USD 300,000 siku ya tarehe 05/ 12/ 2013 ambayo ni siku moja baada ya BOT kuziachia fedha za ESCROW kwa PAP.

Harbinder Singh ana kesi ya kughushi na kuiba kisha kutakatisha fedha. Kuna haja ya kuwaunganisha Jaji Fredrick Werema (Aliyekuwa AG) na Prof Sospeter Muhongo (Aliyekuwa Waziri wa Nishati) kwa kuwa wao ndiyo waliothibitisha nyaraka za PAP na kumshawishi James Rugemalira wa VIPEM kuuza hisa zake 30% kwa PAP.
 
Ubishi wa serikali kutotekeleza maazimio 8 ya kamati ya PAC kuchunguza Escrow ndiyo imeleta madhara yale yale ya hukumu ya 16th Sept 2016. Seth ni mwizi alitumia deed of assignment badala ya share certificates na BoT wakakubali kumpa hela! Vile vile zilivyoibwa hela EPA 2004/5
 
ila singa singa hatari kanunua hisa kwa usd milion 9. ili aje kuchota bot bilioni mia tatu na kitu
 
Seth naye alitumika tu Kama mbuzi wa kafara, hela hakuchukua kwa ajili yake binafsi. Bali zilipitia kwake kwa ajili ya kazi maalum, ndo maana pesa inazungumziwa Sana ililopitia Mkombozi bank pekee. Iliyopitia stanbic mbona haisemwi? Nani alinufaika nayo? WHO IS BEHIND SETH
 
Namna ambayo Harbinger Singh alipata hisa za Mechmar kupitia Piper Links na hatimaye PAP inaonyesha ilikuwa ya udanganyifu.

1. Wakati Piper Links ikipata hisa 70% za Mechmar katika IPTL mwaka 2010 Kampuni ya Mechmar ya Malaysia ilikuwa tayari mufilisi (Under receivership).

2. Inawezekana baadhi ya wanahisa wa iliyokuwa Mechmar waliizunguka Serikali pamoja na Mahakama Kuu ya Malaysia mpaka wakauza hisa zao

3. Inasemekana kwanza Mechmar walimuuzia Piper Links (Mali ya Harbinger Singh) ambayo ni kampuni ya kufikirika ambayo ilizitunza hisa hizo kwanza kwenye visiwa vya Virgin Island.

4. Wafilisi wa Mechmar wanasema Mkurugenzi mmoja wa iliyokuwa Mechmar Fatuk Baharudwn bin Abdul Najid alikiuka amri ya Mahakama ya tarehe 03/ 10/ 2010 kwa kuidanganya Mahakama kwa kuingia Mkataba wa u
Umiliki Hisa (Share Purchase Agreement) ya USD 9.0 Million na Piper Link Investments Ltd mnamo 09/ 09/ 2010.

5. Wafilisi walifanikiwa kufungua kesi kwenye Mahakama ya BVK ya Malaysia na waliweza kushinda kesi ya kurudisha hati za hisa.

6. Swali, Je Piper Links waliwezaje kuuza hisa kwa PAP (Mali ya Harbinger Singh) wakati kulikuwa na amri ya tarehe 03/ 04/ 2011 inayowakataza Wakurugenzi wa Piper Links kufanya miamala yeyote ya hisa za Mechmar?.

7. Je ni nyaraka zipi ambazo PAP walizitumia kuwasilisha Wizara ya Nishati na Madini kuonyesha umiliki wao wa hisa 70% za IPTL?

8.Nyaraka zinaonyesha kuwa Piper Links walinunua hisa kutoka Mechmar kwa USD 9.0 Milion na kuziuza siku hiyo hiyo kwa PAP kwa USD 300,000 siku ya tarehe 05/ 12/ 2013 ambayo ni siku moja baada ya BOT kuziachia fedha za ESCROW kwa PAP.

Harbinder Singh ana kesi ya kughushi na kuiba kisha kutakatisha fedha. Kuna haja ya kuwaunganisha Jaji Fredrick Werema (Aliyekuwa AG) na Prof Sospeter Muhongo (Aliyekuwa Waziri wa Nishati) kwa kuwa wao ndiyo waliothibitisha nyaraka za PAP na kumshawishi James Rugemalira wa VIPEM kuuza hisa zake 30% kwa PAP.
TANESCO YASHINDWA KESI MAREKANI NA KUTAKIWA KULIPA BILLIONI 320 BURE LIVE
T media news 15:31:00

Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.
Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes.
ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.
SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1
Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:
==========
TANESCO ordered to pay $148m over IPTL dispute
Washington-based tribunal rules in favour of Standard Chartered Bank, saying dubious payments made from the Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi do not discharge TANESCO's obligations to the bank
By Guardian Reporter
THE Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has suffered a massive blow in its protracted legal dispute with Independent Power Tanzania Limited (IPTL) after a World Bank tribunal last week ordered the state-owned power utility to pay Standard Chartered Bank-Hong Kong (SCB-HK) $148.4 million (over 320 billion shillings) plus interest in outstanding capacity charges.
The ruling comes nearly three years since the government controversially authorised payments of over $200 million (440 billion/-) from TANESCO-IPTL’s Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi’s Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP).
This was after SCB-HK purchased the IPTL loan at a discount price of $76.1 million from Malaysia’sDanaharta Bankin August 2005, following the latter’s failure to secure its outstanding loan from IPTL.
The actual face value of the debt was $101.7 million, according to available evidence. IPTL borrowed over $100 million in 1998 from a consortium of Malaysian banks in order to finance construction of its 100-megawatt Tegeta power generating plant.
Under that transaction, SCB-HK was assigned a number of contracts, including the 1997 Security Deed, the Implementation Agreement and the Guarantee Agreement concluded between IPTL and the Tanzanian government. The available details show that SCB-HK also became the Security Agent under the Share Pledge Agreement and the Shareholder Support Deed.
Part of the agreement said: “As Security Agent, SCB HK holds all of IPTL’s ‘right, title and interest in and to the Assigned Contracts, including all moneys which may at any time be or become payable to the Borrower.'" TANESCO had earlier taken its dispute with IPTL to the World Bank-affiliated International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) for arbitration after the state-owned power utility discovered that it was being overcharged in both capacity and energy charges.
Following this move, both parties agreed as stipulated in their 1996 Power Purchase Agreement (PPA) to establish an escrow account with the Bank of Tanzania (BoT), to be used to deposit all payments pending the outcome of the arbitration. But a few months before ICSID issued its ruling, the government controversially (and secretly?) paid all the escrow money to PAP after the company claimed that it had acquired full 100 per cent ownership of IPTL in September 2013.
The Washington-based ICSID ruled in favour of TANESCO in February 2014, ordering a tariff recalculation so that finally the escrow money could be paid to either IPTL or the power utility firm, only to then be informed that a third party (PAP) had already been paid everything. SCB-HK took TANESCO to the ICSID after it realised that the money in the escrow account has been paid to PAP at a time when there was still another pending case over the tariff dispute.
The bank was demanding outstanding payments to clear a loan taken by IPTL’s initial owners to set up the electricity generating turbines.
 
Back
Top Bottom