Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Mtoto wa bhakresa anaendesha lombardine, mengi ana benz bullet proof hatuhoji tunajua ni mapato ya kazi zao, huyu anaishi kwa misaada ya wahisani anakula jasho la wajane na watoto wa mitaani, yaani anaishi kwa migongo ya masikini haya maisha ya kifahari namna hiyo hapana kabisa.

Tunajua watu kama nyie mko kikazi huki jf, kuondoa watu kwenye ukweli
 
Watu wamekosa utu kiasi hiki kweli?! Tunaelekea wapi kwahali hii! mtu badala ya kuona uhai wa mwingine ni muhimu yeye anachukulia tatizo la mwingine kama ndiyo pahala pa yeye kulipiza kisasi chake. Mungu aturehemu. Ila tukumbuke kuwa upandacho ndicho utakachovuna. Uonapo unaanza kuandamwa na mabaya urudi shamba la moyo wako ukague ulipanda nini! Tusidhani kila unachoongea kitapita tu. Kina madhanra ndani ya moyo, roho na nafsi either positively or negatively. Hivyo ni vizuri kupima kwanza kabla yakusema au kuandika
 
Huyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.

Umechanganyikiwa kitu gani hiyo unayoingiza kwenye ubongo wako? Huu mtetezi wa Haki za binadamu hajawahi kuzungumzia habari ya mashangingi wala vespa, get your facts right or shut up
 
...kuna mtu anaota ndoto kama mimi ? eti nimeota ajali ya kutengeneza anawindwa mtu, hizi ndoto bhanaaa aaagghhhrrr...!!!
 
Asante... Hadi machozi yamenitoka, kumbe huyu mama ni mafia hivi? Naikumbuka ile siku Ulimboka kaokotwa anapelekwa Muhimbili, nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwa kweli niliumia kwa hali aliyokuwa nayo.

Kumbe huyu mwanamama ndo alikuwa behind the scene?

Mola amsamehe....

Watz bana, propaganda nyepesi hiyo ishakutoa kwenye mstari. Pole yako ila next time changanya na zako
 
Una m@v ww pamoja na Laana ya bibi yako roho mbaya kama sumu ungekua karibu na mimi ningekupoteza kabisa na husijulikane umeenda wapi
Khaa! Tuliza mzuka bana. Hata hamjapata habari ya kueleweka mnaanza kutoa pole. Huo ndiyo unafki. Kama hakuwepo kwenye gari? sasa nani mwenye m@v mimi au wewe?
 
kama hamjui dereva wa huyo mama ni mchezaji wa zaman wa yanga sekilojo john chambua
 
Huyu Mama ndie Mfadhili, mratibu na Muwezeshaji wa Mgomo wa Madaktari uliogharimu maisha ya watu wengi sana wasio na hatia. Alijaribu kukusanya watu kuandamana kama ile Arab spring kwa kigezo cha kupinga Mgomo wa Madakatari aliokuwa akiuratibu chinichini ili wamng'oe Jk kuanzia pale Palm beach lakini kutokana na Upevu wa kiakili wa wa tz mkusanyiko uliokutwa pale haukujaa walau defender mbili za Polisi.Mungu ampe afueni na ahudumiwe vyema na Madakatari akiona Serikal ya awamu ya 5 ccm ikichapa kazi ila ajue hii serikal sio ya jk iliyokuwa na uvumilivu wa kiwango cha juu sana cha uvumilivu kuwahi kutokea Africa nzima
Sema pia hii ndiyo serikali iliyoongozwa na rais aliyetumia muda na hela nyingi za walipa kodi kuzurura nije ya nchi, pia iliyoongoza kwa scandal za ufisadi imeingia kwa pesa za ufisadi EPA, ikapiga madili ya ufisadi RICHMOND &DOWANS, escrow, UDA, meremeta n.k. Serikali mbovu kuwahi kutokea katika historian ya Tanzania, DHAIFU
 
Mkitaka apone HARAKA mpelekeni Kwa MFALME WA MISUKULE aka MLA MALIMAU atapigwa neno na atapata UFUFUO!!!
 
Kuna MAMBWA huku yanajifanya hayaelewi kazi nzuri za huyu mama.

Narudia, wote mnaomuunganisha na mateso ya Ulimboka, nyie ni MBWA kabisa. Mnatumika tu na mabwana zenu huko Lumumba.

Mama Bisimba upone na urejee kwenye harakati. Wakati mwingine mwambie dereva aende kwa kujihami. Hata kama una haki njiani, huwezi jua kuna liMBWA haliko timamu huenda ikawa balaa.

Pona mama na rudi tuendelee kupambania waTanzania.

Haya maPIMBI yanajifanya kusahaulisha watu ajali ulopata kwa kuunganisha gari ulilopatia ajali na ufisadi wa mashangingi ya serikali watabaki kuwa MAPIMBI maisha yao yote.
 
We we we ..... Unasemaje??? Eti mtetezi kabakia nani??
Huyo naye si haba... niliwahi kumshuhudia Mimi mwenyewe ilikuwa mwaka juzi 2013 pale mlimani city alikuja akiwa ndani ya mercedes moja kali kabisa na inaonekana lilikuwa lake binafsi kwani lilikuwa na namba za kawaida.....

Huyu mama akimulikwa vyema kuna madudu mengi watayakuta na NGO yake ambayo ni kama SACCOS.
Lakini haiondoi umuhimu wa kumtakia kheri na apone haraka. Ajali ni ajali tu!
 
Huyu ndie alieshauri na kumtafuta Dr.Ulimboka aingoze Mgomo wa kudai Maslahi ya madaktari wa Serikalini wakati Ulimboka hakuwa Mtumishi Serikalini alikuwa Mtumishi kweny NGO ya nje ya nchi lengo ni kuhakikisha mgomo ule udumu mpaka Wananchi wakose Uvumilivu iliposhindikana wakapanga hujuma dhidi ya Ulimboka ionekane Serikal imemdhuru Madakatari wazidi kuichukia Serikal lakini Baada ya Ulimboka kupona na kujua ukweli wote alijitoa kabisa kwny hizo harakati na hata mahusiano na Maelewano na Waliomchochea yalikufa kabisa hataki hata kuwaona. We mtu atupwe mabweoande halafu mtu wa kwanza kufika kumuokoa awe Hellen kijokisimba akiwa na mlolongo wa Vyombo vya habari na kamera kuanzia kulekule porini!!! Pole ndugu kupoteza Mzazi

Sasa ikawaje Mwanahalisi likafungiwa,kasome kifungu namba 16 cha sheria ya makosa ya Mitandao
 
Naona watu mnaropoka tu vitu msivyojua hiyo gari ni Mali ya LHRC ni matumizi ya director yoyote atakayekuwepo na ilikuwa inaendeshwa na dereva wake bwana sekilojo cchambua naye aliumia kwenye ajali
 
Naona watu mnaropoka tu vitu msivyojua hiyo gari ni Mali ya LHRC ni matumizi ya director yoyote atakayekuwepo na ilikuwa inaendeshwa na dereva wake bwana sekilojo cchambua naye aliumia kwenye ajali
mbona halina namba za DFP? ndo hayohayo tunayo yalalamikia,
 
Huyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.
Kwani kalinunua kwa kodi za wananchi wa nchi gani na analifanyia service wapi ?
 
Back
Top Bottom