Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Hivi hata kama una matope kama yako kichwani Kijo bisimba anatetea binadamu gani? Huyu ni mfanya biashara ya binadamu amejificha kuwa ni mtetezi kumbe hata shetani ana nafuu unaweza kutoa mifano hai kuwa ni kundi gani la binadamu alilolitetea katika nchi hii mpaka akafanikiwa katika na kundi hilo likanufaika na msaada wake?

Usione label imeandika hizi ni karanga na wewe bila kuchunguza ukaamini kuwa ni karanga au usisome kichwa cha habari tu bali soma habari nzima ndiyo utajua Kijo bisimba si mtetezi wa binadamu yeyote ukiwemo wewe bali ni mtetezi wa ushetani tu kama huamini fuatailia utakuja kuniambia.

Hebu toa upumbavu wako uliokubuhu,peleka makamasi yako uliyojaza kichwani juha mkubwa, moja ya sehemu Kubwa ambayo anahusika ni dhidi ya wale walioshika dola na wanaitumia vibaya dhidi ya wananchi.

Chuki zako za kishetani ambazo unaweza kuzipata Lumumba tu na mahayawani wake zinadhihirika kwako,hupendi kuona akiisimamia serikali yako ya wezi, wabadhirifu, mafisadi, wauaji( rejea Mwangosi, kumbuka dk Ulimboka, kiongozi wa waliomaliza mafunzo ya JKT).

Angalia kinachoendelea Zanzibar ni ubakaji mkubwa wa demokrasia, amiri jeshi mkuu huko magogoni anabaka na kukataa maamuzi ya wazanzibari, kama vile NEC walivyompitisha wakisaidiwa na polisi CCM .akitokea mtu kukemea kwa ufinyu wa mawazo yako na ukada uliokujaa unatuletea porojo hapa.

Yako wapi maoni ya wananchi waliyoyatoa kwenye tume ya Warioba? Leo unatuambia hajatoa tamko la mapigano ya wakulima na wafugaji nani hapo mwenye dola? Kaa kimya kama huna la kusema
 
Gari ni lake au la ofisi mbona tunahukumu bila kujiridhisha?
Linaweza kuwa lake au la ofisi, quote yangu kwa OME123 ilikuwa inatokana na tania inayojitokeza kila mtu anapokuwa na kitu exceptional wanam-link na ufisadi (nilikuwa nna respond kwa wale waliohukumu kama gari lake though gari kama hilo mlinaweza kuwa ni la ofisi kutokana na wahisani wao hutoa gari ili ufanye kazi effectively
 
Last edited by a moderator:
Mtoto wa bhakresa anaendesha lombardine, mengi ana benz bullet proof hatuhoji tunajua ni mapato ya kazi zao, huyu anaishi kwa misaada ya wahisani anakula jasho la wajane na watoto wa mitaani, yaani anaishi kwa migongo ya masikini haya maisha ya kifahari namna hiyo hapana kabisa.
Mkuu usikate tamaa kilichotokea ni hiki pale yeye amekwenda kuitumia taaluma yake kufanya kazi kama malengo ya hiyo organization inavyotaka na kwa mujibu wa sheria ya nchi kama hicho kituo kilivyosajiriwa. Mie naona ni heri wale wanaojionyesha kuishi maisha ya kifahari kuliko wale wanaojificha huku ela wanatafuna na kuwaona waadilifu, huyo mama ni above 50 na kwa vyovyote salary anavuta ndefu maana kama kuna madogo tu wana miaka 3 kazini kuna ambao wanalipwa mpaka 3million sasa huyo mama itakuaje?Unajua tunapoambiwa tunafanye kazi kwa bidii na maarifa ni pamoja na kuitumia vizuri network yetu na connection mbalimbali na watu mbalimbali pamoja na taasisi za fedha. Tusim-judge mtu maisha anayoishi pasipo kuangalia amepita wapi mpaka hapo alipofika (kikubwa ni kuangalia positively kama ni lake ameitia njia gani ili na sie tufike huko though uwezekano mkubwa hilo gari likawa la ofisi pia)
 
Hebu toa upumbavu wako uliokubuhu,peleka makamasi yako uliyojaza kichwani juha mkubwa, moja ya sehemu Kubwa ambayo anahusika ni dhidi ya wale walioshika dola na wanaitumia vibaya dhidi ya wananchi.

Chuki zako za kishetani ambazo unaweza kuzipata Lumumba tu na mahayawani wake zinadhihirika kwako,hupendi kuona akiisimamia serikali yako ya wezi, wabadhirifu, mafisadi, wauaji( rejea Mwangosi, kumbuka dk Ulimboka, kiongozi wa waliomaliza mafunzo ya JKT).

Angalia kinachoendelea Zanzibar ni ubakaji mkubwa wa demokrasia, amiri jeshi mkuu huko magogoni anabaka na kukataa maamuzi ya wazanzibari, kama vile NEC walivyompitisha wakisaidiwa na polisi CCM .akitokea mtu kukemea kwa ufinyu wa mawazo yako na ukada uliokujaa unatuletea porojo hapa.

Yako wapi maoni ya wananchi waliyoyatoa kwenye tume ya Warioba? Leo unatuambia hajatoa tamko la mapigano ya wakulima na wafugaji nani hapo mwenye dola? Kaa kimya kama huna la kusema

Nasisitiza Kijo bisimba siyo mtetezi wa haki za BINADAMU kwa kuwa sijaona alpomtetea binadamu yoyote Tanzania iwe kwa kwenda mahakamani au kwa lolote kwangu mimi kijo bisimba ni Mfanyabiashara kupitia lebo ya utetezi wa binadamu kama wewe unahangaika na siasa na matokeo ya kushindwa kwa vyma vyenu mimi sijui ila Kijo si MTETEZI WA BINADAMU.
 
Hebu toa upumbavu wako uliokubuhu,peleka makamasi yako uliyojaza kichwani juha mkubwa, moja ya sehemu Kubwa ambayo anahusika ni dhidi ya wale walioshika dola na wanaitumia vibaya dhidi ya wananchi.

Chuki zako za kishetani ambazo unaweza kuzipata Lumumba tu na mahayawani wake zinadhihirika kwako,hupendi kuona akiisimamia serikali yako ya wezi, wabadhirifu, mafisadi, wauaji( rejea Mwangosi, kumbuka dk Ulimboka, kiongozi wa waliomaliza mafunzo ya JKT).

Angalia kinachoendelea Zanzibar ni ubakaji mkubwa wa demokrasia, amiri jeshi mkuu huko magogoni anabaka na kukataa maamuzi ya wazanzibari, kama vile NEC walivyompitisha wakisaidiwa na polisi CCM .akitokea mtu kukemea kwa ufinyu wa mawazo yako na ukada uliokujaa unatuletea porojo hapa.

Yako wapi maoni ya wananchi waliyoyatoa kwenye tume ya Warioba? Leo unatuambia hajatoa tamko la mapigano ya wakulima na wafugaji nani hapo mwenye dola? Kaa kimya kama huna la kusema

Tatizo lako ndugu yangu bhangi zinakusumbua nimekuambia unieleze au unionyeshe ni kundi gani alilolitetea Kijo Bisimba akiwa ni mtetezi wa haki za binadamu Tanzania kama anavyoinadi, badala ya kunijibu unaniambia habari za Marehemu Mwangosi na wengineo je, hao ndiyo aliowatetea na walinufaika vipi na utetezi wake? we mjinga usiyejua kupanga hoja na badala yake ni fundi wa matusi? Habari ya vyama vyenu kushindwa usinimalizie hasira mimi ila baki kwenye hoja ya msingi Kijo Bisimba amemtetea nani nchi hii hiyo ndiyo hoja yangu ya msingi na siyo mashairi na ngonjera zako zisizoeleweka. Wakati unajibu kumbuka kisha uelewe maana na tafsiri sahihi ya neno "MTETEZI" Ndipo ushuke na ngonjera zako za eti Lumumba uelewa wako ni mdogo sana hapa hatuongelei CCM na shetani aitwaye UKAWA TUNAONGELEA JE, DR BISIMBA NI MTETEZI KWELI WA HAKI ZA BINADAMU?
 
Tatizo lako ndugu yangu bhangi zinakusumbua nimekuambia unieleze au unionyeshe ni kundi gani alilolitetea Kijo Bisimba akiwa ni mtetezi wa haki za binadamu Tanzania kama anavyoinadi, badala ya kunijibu unaniambia habari za Marehemu Mwangosi na wengineo je, hao ndiyo aliowatetea na walinufaika vipi na utetezi wake? we mjinga usiyejua kupanga hoja na badala yake ni fundi wa matusi? Habari ya vyama vyenu kushindwa usinimalizie hasira mimi ila baki kwenye hoja ya msingi Kijo Bisimba amemtetea nani nchi hii hiyo ndiyo hoja yangu ya msingi na siyo mashairi na ngonjera zako zisizoeleweka. Wakati unajibu kumbuka kisha uelewe maana na tafsiri sahihi ya neno "MTETEZI" Ndipo ushuke na ngonjera zako za eti Lumumba uelewa wako ni mdogo sana hapa hatuongelei CCM na shetani aitwaye UKAWA TUNAONGELEA JE, DR BISIMBA NI MTETEZI KWELI WA HAKI ZA BINADAMU?
Mpuuzi Wew unataka aende mahakamani kwani umesikia yeye ni wakili ? Ile ni taasisi ya kimataifa hebu nipe mfano unataka atetee vipi,umetoa mfano wa wakulima na wafugaji kama siyo akili mbovu ni nini ni nani hapo Mwenye dola akatetee nini pale zaidi ya kuiwajibisha serikali itimize wajibu wake, peleka upuuzinwako Kijo Bisimba ni mtetezi hutaki kale malimau
 
Back
Top Bottom