Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Kuna ajali imetokea mbaya sana baada ya gari la mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Dr. Hellen Kijo Bisimba Kupinduka.

Ni karibu na mataa ya Aga Khan, Dar es Salaam.

Walikuwa kwenye mataa, wamegongwa na gari kwa nyuma gari lao lika-overturn.

Amepelekwa hospitali.
attachment.php

attachment.php

attachment.php

mbona hiyo gari haionyeshi kama imegongwa nyuma, au wao ndio wameigonga gari nyingine nyuma, kwa case yeyote hapo bado inaonekana gari ilikuwa kwenye mwendo mkubwa
 
Huyu Mama ndie Mfadhili, mratibu na Muwezeshaji wa Mgomo wa Madaktari uliogharimu maisha ya watu wengi sana wasio na hatia. Alijaribu kukusanya watu kuandamana kama ile Arab spring kwa kigezo cha kupinga Mgomo wa Madakatari aliokuwa akiuratibu chinichini ili wamng'oe Jk kuanzia pale Palm beach lakini kutokana na Upevu wa kiakili wa wa tz mkusanyiko uliokutwa pale haukujaa walau defender mbili za Polisi.Mungu ampe afueni na ahudumiwe vyema na Madakatari akiona Serikal ya awamu ya 5 ccm ikichapa kazi ila ajue hii serikal sio ya jk iliyokuwa na uvumilivu wa kiwango cha juu sana cha uvumilivu kuwahi kutokea Africa nzima

Weka pumba zako kichwani au anzisha thread yako,hatuna haja ya kuyajua hayo.
 
Huyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.
Umeambiwa hilo shangingi limenunuliwa au linaendeshwa kwa kodi zetu? Shangingi hata wewe kama unalitaka nunua kwa hela yako usikie kama kuna atakayekupigia kelele.
 
Mlitaka apate ajari kwenye corolla ya kukodi kama Mtikila ndiyo mseme ni mtetezi wa kweli?? Umaskini umekuwa sifa kwa Watanzania kumbe

😂😂😂😂😂 nimecheka sana
 
Hii ndio Bongo!! Unakumbuka Nyumba ya Deo Filikunjombe! ? H

Watz wenzangu hebu tuache fikra potofu za kuubariki umasikini. Mlitaka Deo alale kwenye tembe? Hivi ungekua mbunge kabla ya hapo ni mfanyabiashara ungeshindwa nn kujenga nyumba kama ile?
 
kwani na wewe umenyimwa kua na gari? acha mawazo yako ya kimaskini na ya kitoto

Yani hawa ndo wale wale waliokua wanasema "Jitu lina mipesa kibao bado mnataka kulipa urais" akili za wapi hizi cjui. Kuna watu wanaupenda sana umaskini.!
 
Yani hawa ndo wale wale waliokua wanasema "Jitu lina mipesa kibao bado mnataka kulipa urais" akili za wapi hizi cjui. Kuna watu wanaupenda sana umaskini.!

kabisa ndugu na watanzania wengi wana janga hilo kichwani la kuendekeza na kuutukuza umaskin
 
kabisa ndugu na watanzania wengi wana janga hilo kichwani la kuendekeza na kuutukuza umaskin

Mimi ile siku ya kupiga kura kuna mdada nilimuuliza vp ushapiga kura akanijibu "sijapiga ila nitaenda kumpigia wa kijijini mwenzangu wa mjini siwawezi!" akimaanisha atampigia JP, El hamuwezi! Watz tuna hazina kubwa sana ya ujinga!
 
Tizama gari ya nape, nyumba ya deo, sasa gari la dr! hapana hii nchi mtetezi kabaki magufuli tu, nae akitutosa basi tena.

We we we ..... Unasemaje??? Eti mtetezi kabakia nani??
Huyo naye si haba... niliwahi kumshuhudia Mimi mwenyewe ilikuwa mwaka juzi 2013 pale mlimani city alikuja akiwa ndani ya mercedes moja kali kabisa na inaonekana lilikuwa lake binafsi kwani lilikuwa na namba za kawaida.....
 
Kwenye mwananchi ya jana tar 07/11/2015 kuna page anaonekana akiwa na wenzake wawili wakitoka kuwaangalia vijana 191 waliokamatwa kwa kosa la kuhesabu kura.Leo tar 08/11/2015 kapata ajali, hakika hizi coincidence nyingine zaweza kuwa ngumu kumesa ila ndo hivyo.Ukijidai mtaalamu wa kuunganisha doti na kusema yale usio na uthibitisho nayo basi jua fika kuwa akaunti lazima iwe na idle fund 5M ya dhamana maana TCRA hawana mchezo kabisa.
 
awaambie madaktari waendelee kugoma na leo.
 
Kwenye mwananchi ya jana tar 07/11/2015 kuna page anaonekana akiwa na wenzake wawili wakitoka kuwaangalia vijana 191 waliokamatwa kwa kosa la kuhesabu kura.Leo tar 08/11/2015 kapata ajali, hakika hizi coincidence nyingine zaweza kuwa ngumu kumesa ila ndo hivyo.Ukijidai mtaalamu wa kuunganisha doti na kusema yale usio na uthibitisho nayo basi jua fika kuwa akaunti lazima iwe na idle fund 5M ya dhamana maana TCRA hawana mchezo kabisa.

Tuache uzushi waliokuwepo wanasema gari liliparamia bajaj, sasa wewe unaleta story za kuunga unga
 
Back
Top Bottom