Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

sasa nikificha ujinga nitajuaje kwanini halikuwa na namba za DFP wakati linamilikiwa na NGO, au hilo shirika linatengeneza faida?

Unafaham vigezo vya kua na no za DFP? Kua na namba za kiraia haiondoi dhana ya gar kumilikiwa na NGO.
 
Kiukweli nyingi ya hizi NGOs ya hazina tofauti na makampuni binafsi.

We...mtu anaenda nje ya nchi kwa zaidi ya miaka mitatu na ofisi yake anakaimisha mtu kwa kipindi chote hicho afu mwisho wa siku anachomoza kwenye TV anafundisha utawala bora!!
 
Unafaham vigezo vya kua na no za DFP? Kua na namba za kiraia haiondoi dhana ya gar kumilikiwa na NGO.

umeshasema mie mjinga ntavijuaje? si unieleweshe nachojua magari yote ya misaada yanatumia namba za DFP sasa yeye iweje halina hiyo namba.
 
Si kila gari la NGO,lazima liwe na namba za DFP

wakati gani wanapaswa kutumia DFP na wakati gani hawatumii? mfano magari ya polisi ya cid yanabandikwa namba za kiraia wakati Fulani lakini ile namba ya polisi inakuwepo pia, au Rais akija mikoani akatumia gari la RC basi hubanduliwa ile namba ya stk na kuwekwa ya rais akiondoka inarudishwa, sasa hawa donor benefited people wao inakuwaje?
 
mleta uzi ulichoandika ni hisia au uhalisia? maana umesema kagongwa kwa nyuma, maswali kadhaa bado sijapata majibu. kwanza hilo gari lililomgonga liko wapi, au lilitoweka baada ya tukio? pili kama gari la Dr Bisimba liligongwa kwa nyuma mbona spea tairi na bampa la nyumba halijaumia? :crazy:
 
Kuna ajali imetokea mbaya sana baada ya gari la mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Dr. Hellen Kijo Bisimba Kupinduka.

Ni karibu na mataa ya Aga Khan, Dar es Salaam.

Walikuwa kwenye mataa, wamegongwa na gari kwa nyuma gari lao lika-overturn.

Amepelekwa hospitali.
attachment.php

attachment.php

attachment.php

Wamegongwa kwa nyuma?

Anyway wekeni update jamaa mtetesi wa haki za watu wengine-pole yake tena! Kwenye Mkono wa Mungu hakuna kitakacho haribika.Ila gari hilo linaonekana kugongwa ubavuni au lilipotea njia likabinuka lenyewe na hakuna dalili ya kugongwa kwa nyuma maana tairi na taa za nyuma zote ziko safi.

 
Wamegongwa kwa nyuma?

Anyway wekeni update jamaa mtetesi wa haki za watu wengine-pole yake tena! Kwenye Mkono wa Mungu hakuna kitakacho haribika.Ila gari hilo linaonekana kugongwa ubavuni au lilipotea njia likabinuka lenyewe na hakuna dalili ya kugongwa kwa nyuma maana tairi na taa za nyuma zote ziko safi.


tizama wheel cover ilivyo vunjikavunjika, kumbuka hiyo ni sports rim hivyo hakuna ubishi kuna kitu kiligonga nyuma, ila ukitizama ubavuni kuna kitu kiliparuza gari kutokea mlango wa nyuma hadi mbele kidogo ya mlango wa mbele ndio maana bati limefumuka kuelekea mbele, ingejiburuza lisingebanduka kuelekea mbele. Tizama picha ya pili na tatu inaonekana limegongwa kulia na kushoto kwa maana nyingine yalihusika magari matatu au zaidi, lile lililogonga nyuma, kulia na kushoto.

Tatizo jingine hiyo tairi ya nyuma kushoto inapancha liligongwaje hadi tairi likapasuko nao ni mtihani.
 
Watz wenzangu hebu tuache fikra potofu za kuubariki umasikini. Mlitaka Deo alale kwenye tembe? Hivi ungekua mbunge kabla ya hapo ni mfanyabiashara ungeshindwa nn kujenga nyumba kama ile?

Wacha wewe!! wafanyabiashara wa siku ngu nyingi na wabunge pia hawana uwezo wa kujenga nyumba kama ile!! Hivi uliiona ? umejaribu kuulizia samani ya mle ndani ilikuwa?? Wenye akili lazima tujiulize alipataje mipesa hiyo yote?
 
wakati gani wanapaswa kutumia DFP na wakati gani hawatumii? mfano magari ya polisi ya cid yanabandikwa namba za kiraia wakati Fulani lakini ile namba ya polisi inakuwepo pia, au Rais akija mikoani akatumia gari la RC basi hubanduliwa ile namba ya stk na kuwekwa ya rais akiondoka inarudishwa, sasa hawa donor benefited people wao inakuwaje?

Ni hivi kama hilo gari walilinunua kwa ajili ya mradi na pesa ikatoka kwa mfadhili baso DFP inahusika hapo,
 
Hapa tunaongelea uhai wa mpigania haki za binadamu. Katika hali ya kawaida jambo km hili linapompata mtu km huyu tungetegemea kuona maoni yenye kuashiria majonzi, huzuni na simanzi kwa mhusika mkuu wa tukio hili.

Michango inayotolewa hapa haitoi taswira hiyo na badala yake imeelekezwa kwenye thamani ya gari iliyohusika na mazingira ya upatikanaji wa ajali yenyewe huku wengi wakishangaa kuona mtetezi wao ambae siku zote amekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi mabovu ya pesa za umma akipata mkasa km huo siku ya mapumziko na ikuhusisha gari ya gharama kubwa hivyo.

Kwangu hii si taswira njema hata kidogo kwa mhusika mwenyewe na kwa taasisi yake. Naamini kama taasisi wanapaswa kulichukua hili km changamoto ya kujitazama upya ili waone wapi wamejikwaa wajirekebeshe.
 
Duh,,mkuu naona umepanik sasa!!

Ila CDM hawachelewi kusema ccm imehusika hapo kwenye ajali!
 
tizama wheel cover ilivyo vunjikavunjika, kumbuka hiyo ni sports rim hivyo hakuna ubishi kuna kitu kiligonga nyuma, ila ukitizama ubavuni kuna kitu kiliparuza gari kutokea mlango wa nyuma hadi mbele kidogo ya mlango wa mbele ndio maana bati limefumuka kuelekea mbele, ingejiburuza lisingebanduka kuelekea mbele. Tizama picha ya pili na tatu inaonekana limegongwa kulia na kushoto kwa maana nyingine yalihusika magari matatu au zaidi, lile lililogonga nyuma, kulia na kushoto.

Tatizo jingine hiyo tairi ya nyuma kushoto inapancha liligongwaje hadi tairi likapasuko nao ni mtihani.


You must be joking!
Ajali ya kiasi hicho kama inavyoonekana kwenye damage ya gari unataka kunishawishi imegongwa kwa nyuma pamoja na ugumu wa Sport rim kioo cha nyuma kisivunjike/kisipasuke?

Au unataka kuendeleza sinema ya Kibongo !


 
You must be joking!
Ajali ya kiasi hicho kama inavyoonekana kwenye damage ya gari unataka kunishawishi imegongwa kwa nyuma pamoja na ugumu wa Sport rim kioo cha nyuma kisivunjike/kisipasuke?

Au unataka kuendeleza sinema ya Kibongo !



Bado sinema ya kibongo ipo, taarifa za LHRC zilizotolewa na bwana Ezekiel Masanja zinasema gari aliyopata nayo ajali ni gari ndogo namba T159ATY, kwa taarifa ni kuwa ile gari iliyomgonga ilikuwa inaendeshwa na mtoto huyu chambua anatokea wapi tena?

hili gari T336CTT lipo pia. kwa hiyo hapa tayari kuna magari mawili T159ATY na T336CTT kati ya haya ni lipi la mama kijo? Hii story usijekuta inakuzwa tu na waandishi wa shigongo. Kwa maelezo ya Ezekiel Masanja hili gari T336CTT si mali ya LHRC na si la mama kijo. Ipo haja ya LHRC watolee ufafanuzi hii taarifa isijeharibu reputation ya huyu mama.
 
Bado sinema ya kibongo ipo, taarifa za LHRC zilizotolewa na bwana Ezekiel Masanja zinasema gari aliyopata nayo ajali ni gari ndogo namba T159ATY na alipatia jail eneo la salender bridge, kwa taarifa ni kuwa ile gari iliyomgonga ilikuwa inaendeshwa na mtoto huyu chambua anatokea wapi tena?

hili gari T336CTT lipo mitaa ya aghakhan hospital nimaeneo mawili tofauti kabisa. kwa hiyo hapa tayari kuna magari mawili T159ATY na T336CTT kati ya haya ni lipi la mama kijo? Hii story usijekuta inakuzwa tu na waandishi wa shigongo.


Unaona sasa kwa hiyo hata wewe usiseme imegongwa kwa nyuma maana macho na akili vinaweza kufanya kazi na kung'amua jambo!
Haiwezekani damage ya kiasi hicho kwa kugongwa kwa nyuma hata kioo kisipasuke!

 
Mtetezi ana gari Kali ivyo sikujua ilo.
Ila pole mama and get well soon

Hhah!
Nakuhakikishia kama sio hilo Gari, hakika angekuwa mfu saa hizi, sijuhi Rav 4, Sijuhi saloon Car ?
we acha tu, kama unahela yako VX ndio mpango mzima safe kabisa unatoka.

Kumbka ile ya nape pia, unafikiri zingekuwa gari za kipuuzi wangesalimika?
 
Unaona sasa kwa hiyo hata wewe usiseme imegongwa kwa nyuma maana macho na akili vinaweza kufanya kazi na kung'amua jambo!
Haiwezekani damage ya kiasi hicho kwa kugongwa kwa nyuma hata kioo kisipasuke!



Kwenye picha hiyo ngoma imepigwa ubavuni, tena palepale kwa Abiria.
 
Back
Top Bottom