Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

nikuchanganyikiwa tu na maisha, vijana wadogo na wamama wanasukuma mikoko ya nguvu, sie wanuka jasho wala hatujui tuelekee wapi!

Jilaumu mwenyewe kwa kuendelea kuwa mpumbavu na kuikumbatia CCM. Utaendelea kuisoma namba.
 
Duuu inaweza kuwa Mungu anamuonyesha yale maovu waliokuwa wanafanya pale na vijana wake sio mazuri. Mungu kambip arudi kwenye msitari wa haki. Huwezi kuwa mtetezi wa haki halafu ukajiegemeza upande fulani. Mungu kamuonya ajue maana ya haki

Tangu lini Mungu akawa upande wa Dhuluma na Kuiacha Haki? Huwezi kutetea Haki hapohapo ukiwa upande wa Dhuluma,jitafakari!
 
mungu ndio mjuzi wa yote.naomba kuwe na mgomo wa madaktari hiki kipindi huyu mama anapoumwa ili aonje joto la kuwatetea madaktari kugoma

Kwa upumbavu wako unadhani ni lazima atibiwe hapa nchini! Madaktari waligoma kutetea mazingira bora ya Kazi zao ili babu na bibi yako wapate huduma za Afya huku watoa huduma wakiwa comfortable, au ungependa wapasuliwe vichwa badala ya Magoti? Msijifanye vipofu, Madaktari ni Binadamu,wana Haki zao, na wana njia ya kueleza madai yao km wengine ambavyo wangefanya
 
Kwa mtindo huu tunakoelekea ni kubaya ila Mungu atkuja sikun moja kuwajulisha waovu hawa kuwa hata hitla, idi amini etc sasa ni marehemu
 
Huyu ndie alieshauri na kumtafuta Dr.Ulimboka aingoze Mgomo wa kudai Maslahi ya madaktari wa Serikalini wakati Ulimboka hakuwa Mtumishi Serikalini alikuwa Mtumishi kweny NGO ya nje ya nchi lengo ni kuhakikisha mgomo ule udumu mpaka Wananchi wakose Uvumilivu iliposhindikana wakapanga hujuma dhidi ya Ulimboka ionekane Serikal imemdhuru Madakatari wazidi kuichukia Serikal lakini Baada ya Ulimboka kupona na kujua ukweli wote alijitoa kabisa kwny hizo harakati na hata mahusiano na Maelewano na Waliomchochea yalikufa kabisa hataki hata kuwaona. We mtu atupwe mabweoande halafu mtu wa kwanza kufika kumuokoa awe Hellen kijokisimba akiwa na mlolongo wa Vyombo vya habari na kamera kuanzia kulekule porini!!! Pole ndugu kupoteza Mzazi

Wewe ni MWONGO.
 
Ni kweli mkuu OME123 Pia hatuamini kama mtu anaweza aka struggle na kununua gari kama hilo pasipo ufisadi wakati kwa umri wa huyo mama na level yake ya elimu plus exposure sehemu mbalimbali nje ya nchi, hilo gari ni kitu kidogo sana cha kujadili
Gari ni lake au la ofisi mbona tunahukumu bila kujiridhisha?
 
Last edited by a moderator:
Yaarabi mponye mama yetu apate nguvu..arudi katika hali yake ya kawaida!!pole sana mama Helen nakuombea shujaa wangu..😢😢usiwaze..usihuzunike wala usikate tamaa😢😢utapona na kuwa na nguvu zaidi ya mwanzo..tuko pamoja mama yangu mpenzi🙏🙏
 
hii nchi tuache tu kuhubiri ufisadi, sikutegemea huyu mama angekuwa na gari kali namna hii, sasa naamini kuwa nchi hii masikini ni wachache mno wengine wanajifanyisha tu. Mleta story hebu tueleze alikuwa anaendesha mwenyewe kama nape? basi asijekuwa kajitoa muhanga zile computer zilizochukuliwa na kova zilikuwa na mambo mazito sana.
Acha unafiki. Kalinunua kwa kodi zenu?
 
Huyu mama nimemuona akiombewa na magufuli lakini roho yake haiamini kinachotokea hadi magufuli akarudia marambilimbili akisema "sasa tuombe" wakati akiombewa jicho lote liko kwa magufuli haamini kinachotokea. Kweli magufuli katumwa na Mungu kutukomboa wanyonge.

Wachagga wenzie akina Nkya Mbowe na Mengi wala hawajakanyaga kumjulia hali.
 
Ni kweli mkuu OME123 Pia hatuamini kama mtu anaweza aka struggle na kununua gari kama hilo pasipo ufisadi wakati kwa umri wa huyo mama na level yake ya elimu plus exposure sehemu mbalimbali nje ya nchi, hilo gari ni kitu kidogo sana cha kujadili

Hata mimi nimewashangaa baadhi ya watu.....kwanza kwa organisation kama ile yawezekana ile ni gari ya kazini kwani siyo lazima iwe na no za DFP...Ila hata kama n yake me sion ajabu V8 hata 100m unapata kwa sasa. Kweli yule mama ashindwe kuimiki V8 akipenda? Ikumbukwe pia ye hutetea matumizi mabaya ya fedha za uma na uonevu wa serikali kwa jamii.
 
Last edited by a moderator:
hii nchi tuache tu kuhubiri ufisadi, sikutegemea huyu mama angekuwa na gari kali namna hii, sasa naamini kuwa nchi hii masikini ni wachache mno wengine wanajifanyisha tu. Mleta story hebu tueleze alikuwa anaendesha mwenyewe kama nape? basi asijekuwa kajitoa muhanga zile computer zilizochukuliwa na kova zilikuwa na mambo mazito sana.

Kazi yake c ya kitoto mpaka ashindwe kumiliki hilo Gari unataka aishi kimasikini kama we we ...jadilini vitu vya msingi bhana!!
 
Kazi yake c ya kitoto mpaka ashindwe kumiliki hilo Gari unataka aishi kimasikini kama we we ...jadilini vitu vya msingi bhana!!

wacha kumpandisha kivile, angekuwa na mkwanja angekuwa hapo kwenye clinic ya wahindi?
 
Asante... Hadi machozi yamenitoka, kumbe huyu mama ni mafia hivi? Naikumbuka ile siku Ulimboka kaokotwa anapelekwa Muhimbili, nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwa kweli niliumia kwa hali aliyokuwa nayo.

Kumbe huyu mwanamama ndo alikuwa behind the scene?

Mola amsamehe....

Za kuambiwa changanya Na zako usihukumu ovyo!!
 
Hivi ukiwa Lumumba lazima ujitoe akili, yule ni mtetezi wa haki za binadamu na wewe ni mtetezi wa chama, too far and shame on you.

POLISI SIYO BINADAMU? acha ujinga siyo kila asiyeridhishwa na huduma ya taasisi fulani basi ni mwana CCM toka nje ya ujinga wako utaelewa nasema nini tofauti na hivyo utabaki na mazingaombwe yako kwa ufupi huyo mama siyo mtetezi wa haki za binadamu bali yuko pale kiuchumi zaidi wakulima na wafugaji wameuwana Morogoro ulishasikia katoa tamko lolote huyo kikongwe wako? Hao nao siyo binadamu tatizo lenu mnasoma cover la kitabu na hapo hapo mnaamini mmesoma kitabu kizima.
 
Mtetezi ana gari Kali ivyo sikujua ilo.
Ila pole mama and get well soon

Hata mm huwa inanishangaza sana, pia kuna mbunge fulani alipata ajali ya ndege
karibuni, watu wanamwita jembe na mzalendo ana jumba la kifahari kama la peponi
 
Umechanganyikiwa kitu gani hiyo unayoingiza kwenye ubongo wako? Huu mtetezi wa Haki za binadamu hajawahi kuzungumzia habari ya mashangingi wala vespa, get your facts right or shut up

Hivi hata kama una matope kama yako kichwani Kijo bisimba anatetea binadamu gani? Huyu ni mfanya biashara ya binadamu amejificha kuwa ni mtetezi kumbe hata shetani ana nafuu unaweza kutoa mifano hai kuwa ni kundi gani la binadamu alilolitetea katika nchi hii mpaka akafanikiwa katika na kundi hilo likanufaika na msaada wake?

Usione label imeandika hizi ni karanga na wewe bila kuchunguza ukaamini kuwa ni karanga au usisome kichwa cha habari tu bali soma habari nzima ndiyo utajua Kijo bisimba si mtetezi wa binadamu yeyote ukiwemo wewe bali ni mtetezi wa ushetani tu kama huamini fuatailia utakuja kuniambia.
 
Back
Top Bottom