Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

OME123

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,497
Reaction score
606
Kuna ajali imetokea mbaya sana baada ya gari la mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Dr. Hellen Kijo Bisimba Kupinduka.

Ni karibu na mataa ya Aga Khan, Dar es Salaam.

Walikuwa kwenye mataa, wamegongwa na gari kwa nyuma gari lao lika-overturn.

Amepelekwa hospitali.


12187646_856894261097306_3195698131161374537_n.jpg
Bisimba.jpg
kijo.jpg

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 
Kuja ajali imetokea mbaya sana baada ya gari lake kupinduka.huyu ni mkurugenzi wa kituo cha haki na sheria za binadamu.Lhrc
OMG! it was bad,mungu awaepushie madhara makubwa.
 
Imetokea wapi na hali ya abiria ikoje
 
Duuh....MUNGU amuokoe na mauti, isije kuwa figisufigisu ya kuiba computer LHRC haikutosha imebidi waibe na roho yake.
 
Kuja ajali imetokea mbaya sana baada ya gari lake kupinduka.huyu ni mkurugenzi wa kituo cha haki na sheria za binadamu.Lhrc

Mkuu, hilo eneo la ajali mbna siliewi? Unaweza kulielezea kidogo
 
Mtetezi ana gari Kali ivyo sikujua ilo.
Ila pole mama and get well soon
 
Kuna ajali imetokea mbaya sana baada ya gari lake kupinduka.huyu ni mkurugenzi wa kituo cha haki na sheria za binadamu.LHRC
Imetokea wapi? Muda gani? Nini Madhara ya ajali hiyo? Je mkurugenzi alikuwepo kwenye gari? Tusitiane presha bana..
 
Duuh....MUNGU amuokoe na mauti, isije kuwa figisufigisu ya kuiba computer LHRC haikutosha imebidi waibe na roho yake.

Ujue huyo mama kapanga kupeleka malalamiko yake UN sasa isije ikawa ni fitna hizo.
 
Imetokea wapi? Muda gani? Nini Madhara ya ajali hiyo? Je mkurugenzi alikuwepo kwenye gari? Tusitiane presha bana..

Nini madhara au chanzo? Mungu amuafu Dr Bisimba kwa madhara yeyote aliyopata
 
Back
Top Bottom