OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 606
Kuna ajali imetokea mbaya sana baada ya gari la mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Dr. Hellen Kijo Bisimba Kupinduka.
Ni karibu na mataa ya Aga Khan, Dar es Salaam.
Walikuwa kwenye mataa, wamegongwa na gari kwa nyuma gari lao lika-overturn.
Amepelekwa hospitali.
Ni karibu na mataa ya Aga Khan, Dar es Salaam.
Walikuwa kwenye mataa, wamegongwa na gari kwa nyuma gari lao lika-overturn.
Amepelekwa hospitali.