Mtetezi ana gari Kali ivyo sikujua ilo.
Ila pole mama and get well soon
Mtetezi ana gari Kali ivyo sikujua ilo.
Ila pole mama and get well soon
Kuna ajali imetokea mbaya sana baada ya gari la mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC.Dr.hellen kijobisimba Kupinduka
Hii ndio Bongo!! Unakumbuka Nyumba ya Deo Filikunjombe! ? H
Namba ya gari siyo STKHuyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.
Huyu Mama ndie Mfadhili, mratibu na Muwezeshaji wa Mgomo wa Madaktari uliogharimu maisha ya watu wengi sana wasio na hatia. Alijaribu kukusanya watu kuandamana kama ile Arab spring kwa kigezo cha kupinga Mgomo wa Madakatari aliokuwa akiuratibu chinichini ili wamng'oe Jk kuanzia pale Palm beach lakini kutokana na Upevu wa kiakili wa wa tz mkusanyiko uliokutwa pale haukujaa walau defender mbili za Polisi.Mungu ampe afueni na ahudumiwe vyema na Madakatari akiona Serikal ya awamu ya 5 ccm ikichapa kazi ila ajue hii serikal sio ya jk iliyokuwa na uvumilivu wa kiwango cha juu sana cha uvumilivu kuwahi kutokea Africa nzima
Huyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.
Kama ni kweli Mungu amsamehe, Nilimpoteza baba yangu kipindi cha Mgomo, Tulipompeleka hospitali tulikuta madaktari wapo kwenye kikao cha mgomo, Mzee hakuchukua muda akafariki.
We naye, ulishawahi kuona wapi hususani ktk Afrika, mtetezi hasa wa haki za binadamu akawa rafiki wa serikali?!! Ambazo nyingi zimejaa dhuruma tu, na ndio maana ktk nchi za afrika kuwa mtetezi wa haki za binadamu ni kama kujitoa mhanga kwani serikali nyingi za kiafrika hazitaki maovu yao kujulikana. Jela nyingi za kiafrika zimejaa watetezi wa haki za binadamu na wanaharakati.Pole zake. Ila aache kushabikia siasa. Haki za binaadamu hazihusu matapeli wa chadema tu. Walekeze nguvu zao kuishauri serikali ianzishe mpango maalumu wa kuwakarimu watu wasio na makazi mitaani kwani ni aibu watu kulala nje au chini ya madaraja. Hiyo ndiyo haki ya binadamu na siyo kuwatetea chadema na genge lao la wezi.
Chanzo hakina maana hapa labda sehemu nyinngine. Madhara ndiyo muhimu hapaNini madhara au chanzo? Mungu amuafu Dr Bisimba kwa madhara yeyote aliyopata