Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
Jamani kuna watu hatari hapa duniani,huyu mama naye siyo mtetezi wa kweli wa haki za binadamu,na yeye ni anatafuta maslahi yake tu,angalia mama anasukuma V8.
....roho mbaya sura mbaya !!!
Jamani kuna watu hatari hapa duniani,huyu mama naye siyo mtetezi wa kweli wa haki za binadamu,na yeye ni anatafuta maslahi yake tu,angalia mama anasukuma V8.
Usione ajabu! Katika nchi zote duniani za watu wenye IQ mbovu tanzania ni ya TISA!
Hii ndio Tz mkuu, ukifulia unasakamwa na ukiwa na mali unaambiwa mwizi, hatuamini kwenye kufanikiwa kwani siku zote tunaamini kwenye kufeli hivyo jaiwezekani mtu kuchomokaNaona watu wana uelewa tofauti sana,yaani kumiliki v8 ni tatizo nchi hii,kila anayemiliki gari kali ni mwizi?hahahahahahahahaha.Kumbe hakuna haja ya kutafuta pesa maana ukizikamata unaitwa mwiz
Ni kweli mkuu OME123 Pia hatuamini kama mtu anaweza aka struggle na kununua gari kama hilo pasipo ufisadi wakati kwa umri wa huyo mama na level yake ya elimu plus exposure sehemu mbalimbali nje ya nchi, hilo gari ni kitu kidogo sana cha kujadili
Ni kweli mkuu OME123 Pia hatuamini kama mtu anaweza aka struggle na kununua gari kama hilo pasipo ufisadi wakati kwa umri wa huyo mama na level yake ya elimu plus exposure sehemu mbalimbali nje ya nchi, hilo gari ni kitu kidogo sana cha kujadili
Tizama gari ya nape, nyumba ya deo, sasa gari la dr! hapana hii nchi mtetezi kabaki magufuli tu, nae akitutosa basi tena.
Jamani kuna watu hatari hapa duniani,huyu mama naye siyo mtetezi wa kweli wa haki za binadamu,na yeye ni anatafuta maslahi yake tu,angalia mama anasukuma V8.
We punda kweli... Magufuli unamuona mwenzako? Unaijua ile hotel pale bamaga?
Unazijua nyumba anazomiliki,?
Umaskini ni wewe na ndugu zako.
Kuhusu deo yule ni mfanya biashara toka kitambo.
Naona watu wana uelewa tofauti sana,yaani kumiliki v8 ni tatizo nchi hii,kila anayemiliki gari kali ni mwizi?hahahahahahahahaha.Kumbe hakuna haja ya kutafuta pesa maana ukizikamata unaitwa mwiz
huyo bibi wa kitusi ni jasusi la kagame,sema always jk alikuwa akiwaoutsmart kila walipopanga njama za kumwangushaHuyu ndie alieshauri na kumtafuta Dr.Ulimboka aingoze Mgomo wa kudai Maslahi ya madaktari wa Serikalini wakati Ulimboka hakuwa Mtumishi Serikalini alikuwa Mtumishi kweny NGO ya nje ya nchi lengo ni kuhakikisha mgomo ule udumu mpaka Wananchi wakose Uvumilivu iliposhindikana wakapanga hujuma dhidi ya Ulimboka ionekane Serikal imemdhuru Madakatari wazidi kuichukia Serikal lakini Baada ya Ulimboka kupona na kujua ukweli wote alijitoa kabisa kwny hizo harakati na hata mahusiano na Maelewano na Waliomchochea yalikufa kabisa hataki hata kuwaona. We mtu atupwe mabweoande halafu mtu wa kwanza kufika kumuokoa awe Hellen kijokisimba akiwa na mlolongo wa Vyombo vya habari na kamera kuanzia kulekule porini!!! Pole ndugu kupoteza Mzazi
....
....very sad !!!
![]()
Mtetezi ana gari Kali ivyo sikujua ilo.
Ila pole mama and get well soon
Hivi huyo mama si ndiyo kituo chake cha haki za binadamu kilivamiwa na vijana wa afande Kova na watumishi wake pamojs na vitendea kazi vyao kama computers nk. kusombwa na wakafunguliwa mashitaka ya 'kosa' la kujumlisha kura za uchagizi uliopita, ilihali wao wakiwa waangalizi wa uchagizi huo waliruhusiwa na NEC kufanya shughuli hiyo?Ujue huyo mama kapanga kupeleka malalamiko yake UN sasa isije ikawa ni fitna hizo.
Barabara za dar sioni mahali pa speed mpaka kupata ajali kama hii