Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Naweza kubali kwa sababu watu wanabwajabwaja bila facts.mfano ukimuuliza suala la mgomo wa madaktari mama alihusika vip anakosa jibu.tuwe na utu jamani Watanzania

Tz wamejaa vilaza..chochote akimezeshwa anaamin
 
Ugua pole mama na mungu akujalie upone haraka.
 
Ni jumapili asbh. km unaielewa dar bac utajuwa muda huo ally hassan mwinyi eneo la jirani na red cross huwa likoje.

Kuna siku kdgo nifumuliwe pale kwenye taa bila dada yngu kunistua gari hiloo...km kawaida mida ya sita saba usiku wabongo kuangalia taa mwiko na kusimama...ile nataka vuka red light ilitokea alteza huko aghakhan inawahi taa ya kijani hiyo speed yake achaaaaaa ilikua inaelekea upanga..si unajua wahindi endesha yao usiku km wako mashindanoni....moyo ulisimama ghafla cz ilikua ni tufe pale pale.....
 
Sasa sijui tutumie usafiri gani. Magari ndo hivyo tena,ndege ndo kabisa bora usafiri na ugo kwa miguu vumbi utalioga.
 
Mzee wako angekufa tuu hata kama angewaona hao madaktari maana wao walikuwa wanadai wawezeshwe vifaa tiba na madawa kwa ajili ya kumtibu baba yako na wengine maana wakubwa wao wanakwenda nje.
Mnakubali propaganda za kijinga huku ndugu zenu wanaisha kwa kukosekana vitu hivyo. Kumuona daktari asiye na dawa wala vifaa ni sawa na kucheza Mziki usio na ala. Madaktari wetu wanatuhudumia katika mazingira magumu kama tuko vitani

Mkumbushe kuwa mgomo baridi upo...kifaa hamna..dk haangaiki na wewe....atakuzuga zuga uone yuko around but ndio hivyo...na utaendelea kuwepo mana watz ni wabishi hawajui ilikua ni kwa faida yao
 
Namna ya ajali inaleta mashaka maana kwa mjini kupata ajali kama hyo, hapo labda alikua katika mwendokasi au gari ingne imeibamiza kwa ubavu ndo itapinduka namna hyo

Ubaya wa hizi taa saa zingine haziwaki tena km pale watu tunajipitiaga tu..na ni njia flan sio nzuri...magari hukimbis km leo jpili ndio kbsa
 
hii nchi tuache tu kuhubiri ufisadi, sikutegemea huyu mama angekuwa na gari kali namna hii, sasa naamini kuwa nchi hii masikini ni wachache mno wengine wanajifanyisha tu. Mleta story hebu tueleze alikuwa anaendesha mwenyewe kama nape? basi asijekuwa kajitoa muhanga zile computer zilizochukuliwa na kova zilikuwa na mambo mazito sana.

acha ujinga huyu mama ni mkurugenzi unatarajia angeendeshwa na gari gani?
 
Asante... Hadi machozi yamenitoka, kumbe huyu mama ni mafia hivi? Naikumbuka ile siku Ulimboka kaokotwa anapelekwa Muhimbili, nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwa kweli niliumia kwa hali aliyokuwa nayo.

Kumbe huyu mwanamama ndo alikuwa behind the scene?

Mola amsamehe....

huyo jamaa muongo mbna mpka leo mtuhumiwa no 1 ni rama ni ilisemwa kila mahali.......issue y ulimboka 100%ilikua chini y mtoto wa mkulima
 
kwani na wewe umenyimwa kua na gari? acha mawazo yako ya kimaskini na ya kitoto
ha ha ja,si mnasema hali mbaya jk ameharibu uchumi,sasa atapaya kweli hela ya kununua hata kibabywalker kweli?


Kwake kila mwenye gari ni fisadi tu
 
Naweza kubali kwa sababu watu wanabwajabwaja bila facts.mfano ukimuuliza suala la mgomo wa madaktari mama alihusika vip anakosa jibu.tuwe na utu jamani Watanzania

wa2 wanaropoka tu ilimradi achangie mgomo wa madaktari ulihusu maslahi yao.......n mtoto wa mkulima ndio alitoa maagizo y ulimboka mwenyewe alisema waliomteka n kumtesa ni wa2 wa usalama na aliwataja majina
 
Back
Top Bottom