Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Imetokea wapi? Muda gani? Nini Madhara ya ajali hiyo? Je mkurugenzi alikuwepo kwenye gari? Tusitiane presha bana..

Hii ajari imetokea Upanga, makutano ya Ali Hassan Mwinyi na hii barabara ya kutokea baharini Agha Khan kama sikosei.

Inasemekana kulikuwa na watu 4 ila mimi nimekuta wamekwisha pelekwa Hospitalini.
 
Mkuu asante kwa taarifa kutufanya jf to be the first to know, ila pia taarifa kama hizi za kuunga unga pia ndizo zinazoishushia jf credibility, unasema gari imegongwa kwa nyuma, wakati nyuma gai inaonekana wazi iko intact!, eneo ni kweli ni Aga Khan kwa sababu naona bango la ofisi ya SUMATRA kwa nyuma!. Unapoleta taarifa kama hizi, lazima uwe makini kutoa taaifa za kweli na za kina!. Kiwango cha uharibifu wa hilo gari sio gari lililogongwa tuu na kupinduka bali lilipogongwa, lilipaa juu, likashuka chini kwa impact ndio maana limebondeka sana!.

Get well soon Mama Kijo Bi Simba (Dr)

Pasco

Hapana tizama hiyo wheel cover imesambaratika, ila huku kugongwa ubavuni nako kuna nipa shaka sana, halafu ilikoangukia mbona mbali sana kutoka kwenye mataa, inamaana liligongwa na kuburuzwa hadi huko? lile gari lilogonga liko wapi au ndo lilisepa litakuwa gari lisilokuwa la kawaida.

Ugongwe kwa nyuma matairi yapasuke engine oil imwagike libonyee ubavuni.
 
Jamani kuna watu hatari hapa duniani,huyu mama naye siyo mtetezi wa kweli wa haki za binadamu,na yeye ni anatafuta maslahi yake tu,angalia mama anasukuma V8.

ulitaka asukume ma.ta.ko ya mamako ndo uridhike? Wacha ujinga wewe!
 
Hapana tizama hiyo wheel cover imesambaratika, ila huku kugongwa ubavuni nako kuna nipa shaka sana, halafu ilikoangukia mbona mbali sana kutoka kwenye mataa, inamaana liligongwa na kuburuzwa hadi huko? lile gari lilogonga liko wapi au ndo lilisepa litakuwa gari lisilokuwa la kawaida.

Ugongwe kwa nyuma matairi yapasuke engine oil imwagike libonyee ubavuni.

Namna ya ajali inaleta mashaka maana kwa mjini kupata ajali kama hyo, hapo labda alikua katika mwendokasi au gari ingne imeibamiza kwa ubavu ndo itapinduka namna hyo
 
Kwani na hilo nalo linalipiwa kwa kutumia kodi ya wananchi?

Ukiwa mjinga halafu unaropoka ni tabu sana!

silinatumia mafuta oil na bima, kuna maceo wanatumia magari ya kawaida tena wazungu na wengine ni watoto wa hao donors. mbona waziri mkuu wa Holland anatumia baiskeli, waziri mkuu wa korea ya kusini anatumia usafiri wa umma, mtoto wa samsang anapanda economy class.
 
We naye, ulishawahi kuona wapi hususani ktk Afrika, mtetezi hasa wa haki za binadamu akawa rafiki wa serikali?!! Ambazo nyingi zimejaa dhuruma tu, na ndio maana ktk nchi za afrika kuwa mtetezi wa haki za binadamu ni kama kujitoa mhanga kwani serikali nyingi za kiafrika hazitaki maovu yao kujulikana. Jela nyingi za kiafrika zimejaa watetezi wa haki za binadamu na wanaharakati.
She need to understand that this is Tanzania. Hao waliotengeneza hizo haki za binadam wanataka kumuua Edward snowden. Hao hao wanataka kumuua julius asanje. Hao hao wanachochea mauaji syria bila kufuata utaratibu wa demokrasia. Sema watanzania wengi hamjui. Haki za binadamu wengi nchi kama tz wanatumika na wamagharibi ili kutekeleza matakwa yao. Thank God tz tupo fiti ktk usalama. Hivyo huyo bibie achunge sana ufanyaji kazi wake.
 
Asante... Hadi machozi yamenitoka, kumbe huyu mama ni mafia hivi? Naikumbuka ile siku Ulimboka kaokotwa anapelekwa Muhimbili, nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwa kweli niliumia kwa hali aliyokuwa nayo.

Kumbe huyu mwanamama ndo alikuwa behind the scene?

Mola amsamehe....

Usihukumu fanya kwanza uchunguzi... This is JF
 
Huyu ndie alieshauri na kumtafuta Dr.Ulimboka aingoze Mgomo wa kudai Maslahi ya madaktari wa Serikalini wakati Ulimboka hakuwa Mtumishi Serikalini alikuwa Mtumishi kweny NGO ya nje ya nchi lengo ni kuhakikisha mgomo ule udumu mpaka Wananchi wakose Uvumilivu iliposhindikana wakapanga hujuma dhidi ya Ulimboka ionekane Serikal imemdhuru Madakatari wazidi kuichukia Serikal lakini Baada ya Ulimboka kupona na kujua ukweli wote alijitoa kabisa kwny hizo harakati na hata mahusiano na Maelewano na Waliomchochea yalikufa kabisa hataki hata kuwaona. We mtu atupwe mabweoande halafu mtu wa kwanza kufika kumuokoa awe Hellen kijokisimba akiwa na mlolongo wa Vyombo vya habari na kamera kuanzia kulekule porini!!! Pole ndugu kupoteza Mzazi
Mtindo huu wa haki za binadamu wanautumia sana wafaransa na U.S, ila kwa tz huyu mama anakazi maana ving'amuzi vyetu vipo active.
 
kwa mwendo wa jijini na uwepo wa Air bag na mikanda nahisi madhara kwa kibinadamu ni kidogo. ubavuni haijabamizwa wala abiria hajachomoka kupia dirishana. God save!
 
She need to understand that this is Tanzania. Hao waliotengeneza hizo haki za binadam wanataka kumuua Edward snowden. Hao hao wanataka kumuua julius asanje. Hao hao wanachochea mauaji syria bila kufuata utaratibu wa demokrasia. Sema watanzania wengi hamjui. Haki za binadamu wengi nchi kama tz wanatumika na wamagharibi ili kutekeleza matakwa yao. Thank God tz tupo fiti ktk usalama. Hivyo huyo bibie achunge sana ufanyaji kazi wake.

walimchomoa dr.mvungi sasa wanamfuata na yeye, hiyo ofisi watakuwa wanarogana tu.
 
Wanapotezea hali ya kisiasa ya Zanzibar.
Pole Sana mama Kijo Bisimba na majeruhi wote, Mungu awape nafuu ya haraka.
 
Eneo la ajali ni pale kwenye mataa yaliyo kwenye makutano ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Nkomo st na pia ile barabara inayokwenda hospitali ya Aga Khan. Jirani kuna ofisi za SUMATRA, jengo jipya la makao makuu ya NHC, Insumba Lounge (Jolly's Club) na pia Las Vegas Casino. Kikweli hilo eneo ni moja ya maeneo hatari sana kwa waendesha magari na pia waenda kwa miguu hasa wanaolazimika kukatisha barabara kutoka upande mmoja kwenda mwingine (Ali Hassan Mwinyi rd). Binafsi katika kufuatilia maswala yangu katika moja ya ofisi nilizotaja hapo juu nimesha shuhudia zaidi ya ajali saba tena zote kubwa maeneo hayo. Kuna siku nikiwa barabarani nilishuhudia gari iliyokuwa mwendo kasi ikigonga, kubomoa na kuingia ndani kabisa ya ukuta wa ofisi za SUMATRA. Anaetaka kuthibitisha wingi wa ajali kwenye eneo hilo ajaribu tu kuwadodosa taxi drivers wanaopaki pale nje ya Las Vegas Casino na pia traffic wa pale Salender bridge. Hayo mengine ya Dr Kijo kuhusishwa na kumshawishi Dr Ulimboka na pia utekwaji wake, watu kuwa nyuma ya hiyo ajali yake, yeye kama mtu binafsi kutumia pesa yake binafsi aliyopata kwa jasho lake kununua gari la thamani n.k. sina cha kuongea kwani sina ushahidi nayo. Pengine ni wakati muafaka tu kwa sasa watanzania wote wapenda haki na amani kumwombea huyu mama apone haraka na kurejea katika afya yake ya kawaida na hivyo kuendelea na majukumu yake ya kifamilia na kitaifa.
 
Mkuu asante kwa taarifa kutufanya jf to be the first to know, ila pia taarifa kama hizi za kuunga unga pia ndizo zinazoishushia jf credibility, unasema gari imegongwa kwa nyuma, wakati nyuma gai inaonekana wazi iko intact!, eneo ni kweli ni Aga Khan kwa sababu naona bango la ofisi ya SUMATRA kwa nyuma!. Unapoleta taarifa kama hizi, lazima uwe makini kutoa taaifa za kweli na za kina!. Kiwango cha uharibifu wa hilo gari sio gari lililogongwa tuu na kupinduka bali lilipogongwa, lilipaa juu, likashuka chini kwa impact ndio maana limebondeka sana!.

Get well soon Mama Kijo Bi Simba (Dr)

Pasco
Mkuu Pasco, ni kwamba gari la mama Helen lilikuwa limesimama kwenye Taa za junction ya Agha Khan na Ali Hassan Mwinyi likiwa linaelekea Posta.

Taa ziliporuhusu gari za Ali Hassan Mwinyi road kuondoka ndipo gari ya Dr. Helen ilianza kuondoka, wakati huo kulikuwa na gari inatokea baharini imekuja speed kuwahi ipite kabla taa hazijazuia ndipo ikaigonga gari ya Dr. katikati ya junction.
 
Last edited by a moderator:
Ile Sehemu Mbona Kama Haiko hatarishi Kihivyo? Wagongaji na Gari Yao Wamekamatwa Ama wamekimbia? Watu wameshaanza Kuleta Sarakasi...
 
Kuna mijitu mijinga humu. Mtu amepata ajali unaweka upumbavu wako wa siasa

Kuna ajali ngapi leo zimetokea Nchi nzima hazijaripotiwa au kuanzishiwa Thread? Ingekuwa nimeandika Kumsifia ungetokwa na Povu?? Hujui kuwa kuna Watu leo hii ni Mayatima, Wajane na wakiwa kwa sababu yake? Kama nyie mna haki ya kumuabudu acha wenye haki ya kumkosoa popote tufanye hivyo!
 
Huyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.

Matumizi ya mashangingi kwa serikali? Au binadamu wote? Aibu yako eddy
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom