Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Kumbe naye anatembelea V8? haya bwana lakini Mungu hadhiakiwi. Poleni familia yake
 
Kweli naona kuna watu wanafikiria kwa ubongo wa panzi. Eti gari Kali. Hivi unajua Kituo chake kina support kubwa sana kutoka kwa wapenda haki? Hivi unajua mama ni msomi na mwanasheria siku nyingi? Hivi unajua kuwa anafanya pia consultancies nyingi sana zenye hela ndefu. Ni tajiri kwa ubora wake. Pia aendeshe V8 ni halali yake. Analipa kodi na mafuta hivyo ni part ya Revenue ya serikali tofauti na mashangingi ya serikali tax free na mafuta kutokana na kodi yako. Shame on you. Ndiyo maana ilani ya Ukawa ilisisitiza Elimu Elimu Elimu. Mijitu mnakurupuka kwa poor analysis. Rudini shule ngumbaro mkasome upya. Mungu wa majeshi akuponye mama Helen Kijo Bisimba. Angalizo ndugu jamaa na Marafiki hakikisheni anahudumiwa na personal Doctor na ulinzi wanandugu msifanye kosa. Anawindwa na Mishale hatari.
 
Afe tu..... hatutaki wanafiki

Hapana mkuu, tumwombe tu Mungu ili hawa wanaotumia unafiki kufitini nchi yetu wapate fundisho ambalo hawatalisahau katika maisha yao ila kufa si kuzuri sana.
 
mtikila alipa ajali saa 11 asubuhi gari ilikutwa matairi juu, huyu kapata ajali asubuhi matairi yako juu, dar kutakuwa na vibwengo, halafu magufuli anataka tuwahi kazini ili ufike kazini saa moja kimara tutoke saa ngapi, mie simo.

Hii mada umekoment throughout.

But komenti zako zote zakipuuzi na hazilingani na mada hii.

Kashifa, uzushi nk please you can do better than this.

Sometimes tujiheshimu hasa nyajati za huzuni.

Kwenye matatizo tujaribu kuwa na hekima na tutumie vema busara zetu.
 
Hii NGO si ndo askari waliikamatia computer zake,sasa utashangaa hata hawapigi kelele,kwasababu wanajua walichokuwa wanakifanya hakikuwa sawa
 
Watetezi wa haki za binadamu ni adui kwa serikali yoyote ya madikteta. Na kwa Mateso wayapatayo watanzania mpaka mauti kama kina Mwangosi, Ulimboka na Kibanda mtetea haki hawezi kunyamaza. Mungu MPE mkono wa uponyaji arudi salama na viuongo vyake vyote.
 
Kweli naona kuna watu wanafikiria kwa ubongo wa panzi. Eti gari Kali. Hivi unajua Kituo chake kina support kubwa sana kutoka kwa wapenda haki? Hivi unajua mama ni msomi na mwanasheria siku nyingi? Hivi unajua kuwa anafanya pia consultancies nyingi sana zenye hela ndefu. Ni tajiri kwa ubora wake. Pia aendeshe V8 ni halali yake. Analipa kodi na mafuta hivyo ni part ya Revenue ya serikali tofauti na mashangingi ya serikali tax free na mafuta kutokana na kodi yako. Shame on you. Ndiyo maana ilani ya Ukawa ilisisitiza Elimu Elimu Elimu. Mijitu mnakurupuka kwa poor analysis. Rudini shule ngumbaro mkasome upya. Mungu wa majeshi akuponye mama Helen Kijo Bisimba. Angalizo ndugu jamaa na Marafiki hakikisheni anahudumiwa na personal Doctor na ulinzi wanandugu msifanye kosa. Anawindwa na Mishale hatari.

Wewe mwenyewe ni pwoyoyo unayetakiwa kurudi shule. Nani kakwambia anampinga huyo mnafiki wenu kuwa tajiri? tunachokiongea hapa ni juu ya jinsi watu wanavyo mpasivu mtu ambaye hujiita mtetezi wa wanyonge, mtu anaishi maisha ya kibepari alafu ndo useme anakutetea wewe kabwela? how? na ndo maana tunawaita wanafiki kwasababu wan?hubiri kingine huku wao wakiishi kivingine na ndo maana kapata ajari akiwa kwenye ilo boksi lake, atambue hatutaki uzandiki
 
Hivi mwanasheria mzoefu kama huyu mama atashindwa kuwa na V8 kweli au watu mnajitoa ufahamu tu ili msijadili ajali husika. Pole mama Mungu akupe uponyaji wa haraka.
 
Kagongwa na gari kwa nyuma mpaka ikawa hivyo?! Hii sio bahati mbaya bali ni deliberate. Anyways! Mungu amponye.
 
Kuna ajali imetokea mbaya sana baada ya gari la mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Dr. Hellen Kijo Bisimba Kupinduka.

Ni karibu na mataa ya Aga Khan, Dar es Salaam.

Walikuwa kwenye mataa, wamegongwa na gari kwa nyuma gari lao lika-overturn.

Amepelekwa hospitali.
attachment.php

attachment.php

attachment.php

Mission Still On Progress!
 
Hekima na busara zitumike pale/pahala ambapo matatizo yametokea kama haya yaliyomtokea Dr Hellen.
 
mungu ndio mjuzi wa yote.naomba kuwe na mgomo wa madaktari hiki kipindi huyu mama anapoumwa ili aonje joto la kuwatetea madaktari kugoma
 
Mkuu asante kwa taarifa kutufanya jf to be the first to know, ila pia taarifa kama hizi za kuunga unga pia ndizo zinazoishushia jf credibility, unasema gari imegongwa kwa nyuma, wakati nyuma gai inaonekana wazi iko intact!, eneo ni kweli ni Aga Khan kwa sababu naona bango la ofisi ya SUMATRA kwa nyuma!. Unapoleta taarifa kama hizi, lazima uwe makini kutoa taaifa za kweli na za kina!. Kiwango cha uharibifu wa hilo gari sio gari lililogongwa tuu na kupinduka bali lilipogongwa, lilipaa juu, likashuka chini kwa impact ndio maana limebondeka sana!.

Get well soon Mama Kijo Bi Simba (Dr)

Pasco

Siyo Wote Lakini Wamesomea Journalism Kama Wewe Mkuu Hivyo Sometimes Tuvumiliane Tu.
 
Duuu inaweza kuwa Mungu anamuonyesha yale maovu waliokuwa wanafanya pale na vijana wake sio mazuri. Mungu kambip arudi kwenye msitari wa haki. Huwezi kuwa mtetezi wa haki halafu ukajiegemeza upande fulani. Mungu kamuonya ajue maana ya haki
 
Kweli naona kuna watu wanafikiria kwa ubongo wa panzi. Eti gari Kali. Hivi unajua Kituo chake kina support kubwa sana kutoka kwa wapenda haki? Hivi unajua mama ni msomi na mwanasheria siku nyingi? Hivi unajua kuwa anafanya pia consultancies nyingi sana zenye hela ndefu. Ni tajiri kwa ubora wake. Pia aendeshe V8 ni halali yake. Analipa kodi na mafuta hivyo ni part ya Revenue ya serikali tofauti na mashangingi ya serikali tax free na mafuta kutokana na kodi yako. Shame on you. Ndiyo maana ilani ya Ukawa ilisisitiza Elimu Elimu Elimu. Mijitu mnakurupuka kwa poor analysis. Rudini shule ngumbaro mkasome upya. Mungu wa majeshi akuponye mama Helen Kijo Bisimba. Angalizo ndugu jamaa na Marafiki hakikisheni anahudumiwa na personal Doctor na ulinzi wanandugu msifanye kosa. Anawindwa na Mishale hatari.

Tuondolee pumba ya Ukawa kusisitiza elimu. Elimu ina faida gani kwako kama unadanganywa kama mtoto mdogo?
 
Back
Top Bottom