Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kwa wale waliopitia Chuku kikuu cha Dar es Salaam, wakati Dr. M. Bilal akiwa katibu Mkuu wizara ya sayansi na technologia nina uhakika kuwa wanakumbuka kuwa huyu Bwana kwanza ni mwongea hovyo na hafai hafai kabisa.
Huyu jamaa nasikia kila siku alikuwa anasimama pale katikati ya barabara na kutoa majibu ambayo hata mtoto mdogo angemzomea tu.
Huyu jamaa alikuwa anazungumza tuuuu anazungumza tuu mpaka apandishwe kwenye sturi katikati ya barabara ndipo watu wapate mikopo yao.
Kwa experience hiyo na ubishi wake pamoja na kwamba jambo analolizungumzia siyo sahii nafikiri ndio maana hata wana CCM pamoja na kuwa huwa sipendelei kuwazungumzia ndio maana huwa wanamkandamiaza.
Kitila nafikiri unauzoefu na yule Ex VC (Mathayo Luhanga) aliyekuwa UDSM nasikia hata SIDA-SWEDen na mashirika mbalimbali, huwa wanamtumia katika maswala ya research. Kama anaweza kupewa kufanya transformation ya COSTECH hata mwaka mmoja anaweza kuifanya kwa ufanisi mkubwa sana.
Hebu nitajie mtu mmoja kati ya viongozi wetu anayefaa...from both CCM na Opposition