Kichuguu, ndio maana mimi nauliza tunachohitaji COSTECH kuweza kuibadili na kuwa a world class research and development institute ni mtu ambaye an accomplished scientist, a management guru, na mtu ambaye anaweza kuwa kama Dr. NO. Hatuwezi kuendelea hadi wanasayansi wetu waweze kuwa na uwezo wa kuthubutu kufanya vile visivyo vya kawaida.
The current paradigm that we are using in our science and technological research is no longer viable. We have to think outside the box.
Naamini mambo mawili yanawezekana kwa upande wa wanasayansi wenyewe:
a. We have to build a modern high security research Lab somewhere porini (Los Alamos ya kwetu) ambako wanasayansi wetu watajifungua huku na kucheza na mabeaker na burners! (It reminds me tulivyotaka kujiunguza kwenye darasa la Kemia.. )
b. Serikali itoe ofa ya wazi kwa Wanasayansi wa Kitanzania pote duniani kukusanya uwezo wao wa kiakili na utafiti kurudi nyumbani. Ofa hiyo it has to be a monetary suprise! An offer that they CAN NOT refuse!.. Nyumba, gari, posho, n.k to entice them to leave whatever they are currently doing. Na tuweke mkazo kwa wataalamu wa Electronics, Nuclear Physics, Computing Technology, etc etc.
c. Chuo Kikuu cha Mbeya na kile cha Arusha or a new one in Kigoma (I can't see that happening) ndiyo viwe vyuo vya majaribio na applications ya yale yanayofanywa na National R&D Lab. Hivyo wanaoingia kwenye vyuo hivyo have to be only and only Division 1 holders from High School! period. Na wanasoma bure!
d. Guarantee independence of this new research from politicians; na iwe kama taasisi inayojiongoza yenyewe and the government supervision should be minimal and mostly on the areas of Administration, Regulation and Finance.
Tatizo
Tatizo, tukiwa na kitu kama hicho, nani ataweza kuongoza? So far Prof. Neuro Surgeon has been a failure, na sasa Dr. Bilal inaonekana ni "hao hao". Should we ask our friends from China or Japan to help us out?