mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 734
- 958
Hapo aya ya mwisho ndo umeua kabisa eti kutransfer expert we toka lini Tanzania ikawa na maexpert ..au unazungumzia hawa wazembe na wala rushwa wazee wa ten percentKwa nini DP WORLD wasiajiri Wafanyakazi wanaowahitaji kwa kuweka matangazo na vigezo
Kuliko kuwa rubuni wa watumishi wa TPA. Maana waarabu Wana historia mbaya sana ya kunyanyasa Wafanyakazi hasa Waafrika, muda wowote unafukuzwa kazi bila kufuata mashart.
Au TPA na DP WORLD wakubaliane ku-transfer some expert kwa muda wakati huo huo wakiendelea na maslahi yao TPA kuliko huu ulaghai wa kikoloni.