DOWANS vs TANESCO - Why TANESCO Lost?

DOWANS vs TANESCO - Why TANESCO Lost?

Nilichoona kwenye hii document ukiacha legal jargons ni kwamba

1. Tanzania ilikubaliana na ICC for three former cases ambazo zimeamua in favour of Tanzania Kwa hiyo lazima mkubaliane na fourth one? and then wakasisitiza "NO Appeal"

2. Nafikiri waliokubali tupeleke case ICC ndio waliotuuza kama nchi

3. In this case wale wote walio support Dowans inunuliwe/itaifishwe wanaingia katika vitabu vya historia kama Wazalendo

4. Bila kumumunya maneno Zitto/Idrisa/Lipumba ni wazalendo na wanahitaji kupongezwa

5. Bila kumumunya maneno Sitta/Mwakyembe/Kilango ni wanasiasa uchwara na si Wazalendo.

Hapana huo ulikuwa mtego wa kwanza!
Unafikiri Dowans ya RA tungeinunua kwa Shs ngapi?
Yangekuwa maumivu zaidi ya tunayolia sasa.
Ushauri haukuwa wa kizalendo
 
Kumbe AG alivyosema hii case imefungwa na lazima tulipe alikuwa anajua ukweli wa hukumu hii.

Hapa tumefungwa magoli na hatuna wa kumuuzia kesi hii.

Tungelinunua mtambo kwa bilioni 50, tungelikuwa tumeokoa mambo mengi sana.
Hizi comments ni za mtu mwenye ubongo unaofanya kazi? Na cha kusikitisha ni kwamba hii listi ya watu wenye mawazo ya kifisadi kama huyu ni ndefu ... Wareboya, Kasheshe, Zitto, Uwiano maalumu....... Hawa wote wanamsifia Zitto. Kwa ushauri feki aliotoa wa kununua zile genereta. Wanataka kutuaminisha mwizi akikupora mali suluhisho lake ni kumbembeleza na kwenda kuinunua ili asikuibie tena. Hawa ni mashetani wakubwa na wako kwenye kampeni maalum ya kuwarubuni Watanzania. Ehe Mungu waangushie laana kwani neema yao ni maangamizi ya mamilioni ya Watanzania wasio na hatia. Wameweka mbele matumbo yao na wanakula na kujisaidia hapohapo. Hawajali chochote ila matumbo yao. Nina uhakika iko siku watapambana na laana ya Mungu aliye hai! watch out!!!
 
Hizi comments ni za mtu mwenye ubongo unaofanya kazi? Na cha kusikitisha ni kwamba hii listi ya watu wenye mawazo ya kifisadi kama huyu ni ndefu ... Wareboya, Kasheshe, Zitto, Uwiano maalumu....... Hawa wote wanamsifia Zitto. Kwa ushauri feki aliotoa wa kununua zile genereta. Wanataka kutuaminisha mwizi akikupora mali suluhisho lake ni kumbembeleza na kwenda kuinunua ili asikuibie tena. Hawa ni mashetani wakubwa na wako kwenye kampeni maalum ya kuwarubuni Watanzania. Ehe Mungu waangushie laana kwani neema yao ni maangamizi ya mamilioni ya Watanzania wasio na hatia. Wameweka mbele matumbo yao na wanakula na kujisaidia hapohapo. Hawajali chochote ila matumbo yao. Nina uhakika iko siku watapambana na laana ya Mungu aliye hai! watch out!!!

Hii laana ikufikie wewe usiyekubali kuwa na tofauti ya opinion ambaye unadhani kila analofanya mwenzio ni kosa isipokuwa unalofanya wewe.
 
Wee ngoja... unacheza na vilio vya maskini sio! Ile siku yaja!

Najua uchungu ulionao hauzidi wa Watanzania wote. Ipi bora, shari kamili au nusu shari? Zitto aliona heri ya nusu shari, mkamuona mjinga, msaliti....haya shari kamili hiyo tuibebe wote. Hakuna kutupiana lawama.
 
Najua uchungu ulionao hauzidi wa Watanzania wote. Ipi bora, shari kamili au nusu shari? Zitto aliona heri ya nusu shari, mkamuona mjinga, msaliti....haya shari kamili hiyo tuibebe wote. Hakuna kutupiana lawama.
Siku zote ku-negotiate na mwizi ni ujinga wa hali ya juu! Watuuzie kanyaboya halafu eti tuwabembeleze? Mawe! Huyo Zitto wako akili zake ni sifuri kama za kwako na Kikwete wenu anayewapa kinga! Mtaalanika ndugu yangu!!!
 
Siku zote ku-negotiate na mwizi ni ujinga wa hali ya juu! Watuuzie kanyaboya halafu eti tuwabembeleze? Mawe! Huyo Zitto wako akili zake ni sifuri kama za kwako na Kikwete wenu anayewapa kinga! Mtaalanika ndugu yangu!!!

Hongera kwa akili zako 100. Lipi bora kunegotiate na Mwizi au kumlipa mwizi.

Ni hivi, mwizi anakuibia, unamshtaki kwenye baraza la usuluhishi, anakushinda (kwa sababu hilo baraza la usuluhishi liko under control ya mwizi wako) halafu unatakiwa kulipa.

Naam, then unanza kutoa matusi, kwa mtaji huu lazima uibiwe tena. Ila wenzio (pamoja na Zitto na Kikwete:embarrassed🙂 wanafikiria ni jinsi gani watajinasua katika hili, kwa either kugoma kulipa au ushauri mwingine kutoka kwa wanasheria. Endelea kutukana mzee.
 
Baada ya kusoma hii document...especially sehemu ya uamuzi nimefikia conclusion kuwa RA ni mtu mwenye akili sana. I am starting to admire him. The guy is very smart.

Anajua vizuri kutumia ujinga wetu kutengeneza mapesa kirahisi tu....................

KULA TANO MKUU....

Na hili ndilo tatizo kubwa sana tulilonalo... yaani mijitu iko madarakani MIVIVU YA KUFIKIRI anakuja mtu average kama RA na akili kidogo tu.... anatugalagaza mpaka basi... trust me Tanzanians wenye asili ya Kiasia wametumia sana udhaifu huu na kufaidika sana sana....... halafu wakikutana na MIJITU MICHOYO ,MIBINAFSI kama Lowassa.....ndio basi tena.....

Hivi watu walifikiri JKN RIP alikuwa mjinga eeehh...........
 
Zitto hatukufukuzi tena Chamani, tunadeclare wewe ni mzalendo na si msaliti. Tulikukosea utusamehe.

Tunashukuru kwa uwepo wako na tunakuombea maisha marefu uzidi kututumikia kwa uaminifu.

Again waTZ hatukomi kupongezana, instead ya kuangalia jinsi ya kusolve the issue..... Kwani Zitto ni Mwanasheria? Waliotufikisha hapa ni mafisadi na wanasheria waliokubaliana na hiyo mikataba.

Na kama Zitto alijua kitu ambacho wengine hawakukijua kwa wakati ule he should have tried harder kuwaambia wengine waliokataa maybe hawakujua alichokijua yeye..... Because siamini kwamba anajua contract law kuliko wengine wote waliokataa unless alijua clause za kwenye mkataba ambazo wengine hawakuzijua.
 
It is Shelukindo, Sitta na Kundi lao lililotufikisha hapa!

Tungeisikiliza TANESCO wakati ule na akina Zitto tungekuwa tunapata umeme sasa hivi... sasa umeme hakuna na pia tunatakiwa kulipa... sio kila kitu siasa wajameni.

Yes we wanted to happen this way ili kila uozo ujulikane.....................na NYIE MKAJITUSU.......AGAIN Mkanunuliwa na RA.........kwa kujipeleka kwenye kesi kama MBWA mbele ya MDOMO WA CHATU.................
 
Najua uchungu ulionao hauzidi wa Watanzania wote. Ipi bora, shari kamili au nusu shari? Zitto aliona heri ya nusu shari, mkamuona mjinga, msaliti....haya shari kamili hiyo tuibebe wote. Hakuna kutupiana lawama.

Ni heri Shari kamili ili kila mzizi wa fitina UJULIKANE........otherwise akina RA (virus) et al watajificha tukiwa na nusu shari............
 
Kwa nini wamelazimika kutoa mifano ya kesi ambazo Tanzania imepata kushinda katika mahakama hiyo, katika kujenga hoja kuwa NI LAZIMA SERIKALI IILIPE DOWANS sasa? Is there any one with an idea, why

Ili kuwafanya wajinga zaidi na (Saikolojikale) msifikiri zaidi na kuwaamini kuwa maamuzi yao ni makini.......of which in this case and context they are!

Are you suggesting ICC nayo imechakachuliwa na wahuni wa Dowans??!

Zinachakachuliwa World Bank na IMF sembuse ICC............Steve D vipi aisee...............Heri ya Mwaka Mpya na kwa shemeji pia!
 
Hapana huo ulikuwa mtego wa kwanza!
Unafikiri Dowans ya RA tungeinunua kwa Shs ngapi?
Yangekuwa maumivu zaidi ya tunayolia sasa.
Ushauri haukuwa wa kizalendo

Mimi naona afadhali tungenunua kwa hukumu hii...

maana mitambo ingukuwa yetu leo tunatumia

Ujue sasa kwa hukumu hii tutawalipa na tutatakiwa kununua umeme ambao unazalishwa kwa capacity za zile mashine zao..double payment
 
Ni heri Shari kamili ili kila mzizi wa fitina UJULIKANE........otherwise akina RA (virus) et al watajificha tukiwa na nusu shari............

Ilipokuwa imefikia hata kutaka kununuliwa, we all knew RA et al and their association kuanzia Richmond hadi Dowans. Kwa ushahidi unaweza rejea threads za Dowans 2008-09.
 
....................
3. In this case wale wote walio support Dowans inunuliwe/itaifishwe wanaingia katika vitabu vya historia kama Wazalendo

4. Bila kumumunya maneno Zitto/Idrisa/Lipumba ni wazalendo na wanahitaji kupongezwa

...................

NO WAY...... hao hapo juu walikuwa wanaficha UOZO.... unless hujaelewa GAME nzima...!
 
mkuu... same as you..... PPRA walikuwa neglected na government through responsible ministry...... kwani waliamini TANESCO through its tender board wange implement PPRA procurement act properly.... lakini nahisi pale TANESCO hapakuwa na watu makini kwenye procurement Department ili waishauri tender board accordingly....
Wakuu, mkumbuke government negotiating team ndio walioipitisha Richmond iliyoleta dowans na si TANESCO , wataalam wa tANESCO waliikataa na ndio maana waliowajibishwa ni viongozi waandamizi wa serikali
 
Wakuu, mkumbuke government negotiating team ndio walioipitisha Richmond iliyoleta dowans na si TANESCO , wataalam wa tANESCO waliikataa na ndio maana waliowajibishwa ni viongozi waandamizi wa serikali

You are quite right Mkuu.......................unajua watu wanafikiri wanamfahamu RA vizuri.............kumbe hawafahamu kisawasawa.............kuna mtu alilia kuwa yeye ni BANGUSILO TU.................watu wanafikiri alikuwa mjinga ehh.............
 
Wakuu, mkumbuke government negotiating team ndio walioipitisha Richmond iliyoleta dowans na si TANESCO , wataalam wa tANESCO waliikataa na ndio maana waliowajibishwa ni viongozi waandamizi wa serikali

Hapo ndio mimi napowachukia wanasiasa, do you mean Sitta et al...walikuwa wanataka cheap popularity
 
Hizi comments ni za mtu mwenye ubongo unaofanya kazi? Na cha kusikitisha ni kwamba hii listi ya watu wenye mawazo ya kifisadi kama huyu ni ndefu ... Wareboya, Kasheshe, Zitto, Uwiano maalumu....... Hawa wote wanamsifia Zitto. Kwa ushauri feki aliotoa wa kununua zile genereta. Wanataka kutuaminisha mwizi akikupora mali suluhisho lake ni kumbembeleza na kwenda kuinunua ili asikuibie tena. Hawa ni mashetani wakubwa na wako kwenye kampeni maalum ya kuwarubuni Watanzania. Ehe Mungu waangushie laana kwani neema yao ni maangamizi ya mamilioni ya Watanzania wasio na hatia. Wameweka mbele matumbo yao na wanakula na kujisaidia hapohapo. Hawajali chochote ila matumbo yao. Nina uhakika iko siku watapambana na laana ya Mungu aliye hai! watch out!!!

Anaingiza siasa na ushabiki wa mafisadi katika maswala yanayowezekana kabisa kwa wenye taaluma zao.
 
Mnakumbuka 2007/2008 niliambatanisha docs zinazoonyesha namna tunavyoibiwa sana mpaka FMES na GT wakaomba tuache kwa muda kwakuwa ilikuwa inaongeza machungu? Ready for it? Really?

Naja punde...!
Asante Mkuu.
Just know that 2007 &2008 is long time gone and some of Us are new here at JF.
You doing great job i can say.But an finished job is zero done.
Once again thanks but dont forget to put down all data at list we can assess how they still our money ?
 
Back
Top Bottom