DOWANS vs TANESCO - Why TANESCO Lost?

DOWANS vs TANESCO - Why TANESCO Lost?

Mkuu Invisible,

Asante for this.. Tungepata the missng part pia ingekuwa vizuri kuweza kuja na hoja sahihi..

Thanks once again
Mkuu,

Nadhani nilichotoa hapa kimewapa mwanga wa kutosha tu, lakini kuna PART II ya hii kitu, sasa nafikiria namna gani mtaipokea...!?! INAKERA SANA kilichomo

:redfaces:
 
Mkuu,

Nadhani nilichotoa hapa kimewapa mwanga wa kutosha tu, lakini kuna PART II ya hii kitu, sasa nafikiria namna gani mtaipokea...!?! INAKERA SANA kilichomo

:redfaces:

Happy N Y Mkuu,

Hebu tuwekee tu, kwani tutakimbia vivuli vyetu hadi lini? Ila hawa jamaa wametufanya misukule kiasi cha kutosha!
 
Mkuu,

Nadhani nilichotoa hapa kimewapa mwanga wa kutosha tu, lakini kuna PART II ya hii kitu, sasa nafikiria namna gani mtaipokea...!?! INAKERA SANA kilichomo

:redfaces:

Mmh, if the the motto in JF is to dare talk openly.
 
Mkuu,

Nadhani nilichotoa hapa kimewapa mwanga wa kutosha tu, lakini kuna PART II ya hii kitu, sasa nafikiria namna gani mtaipokea...!?! INAKERA SANA kilichomo

:redfaces:
Hebu tupe Mkuu Kabla haujachakachuliwa ili tuweze kuisave na huku kwetu.... As you know everyone has got a price, wasije wakakupa price yako..... Just Joking of the latter lakini ilo la mwanzo am serious
 
Mmh, if the the motto in JF is to dare talk openly.
Mnakumbuka 2007/2008 niliambatanisha docs zinazoonyesha namna tunavyoibiwa sana mpaka FMES na GT wakaomba tuache kwa muda kwakuwa ilikuwa inaongeza machungu? Ready for it? Really?

Naja punde...!
 
Mkuu,

Nadhani nilichotoa hapa kimewapa mwanga wa kutosha tu, lakini kuna PART II ya hii kitu, sasa nafikiria namna gani mtaipokea...!?! INAKERA SANA kilichomo

:redfaces:

Thanks kwa taarifa. But we mwaga na hiyo PART II tuunge vyote tulipuke tu!!! Inakera nchi hii sijapata kuona
 
Mnakumbuka 2007/2008 niliambatanisha docs zinazoonyesha namna tunavyoibiwa sana mpaka FMES na GT wakaomba tuache kwa muda kwakuwa ilikuwa inaongeza machungu? Ready for it? Really?

Naja punde...!

Wewe leta tu mkuu wangu,

Kama kunajisiwa tayari tulishafanyiwa kila kitu, sasa tunacho kingine cha kuogopa? Ila wakati wa kusherehekea miaka 50 ya uhuru napendekeza RA apewe ngao maalumu ya heshima!
 
Mnakumbuka 2007/2008 niliambatanisha docs zinazoonyesha namna tunavyoibiwa sana mpaka FMES na GT wakaomba tuache kwa muda kwakuwa ilikuwa inaongeza machungu? Ready for it? Really?

Naja punde...!

Invisible we tuletee. Japo hadi sasa nahisi uchungu mkali lakini let us face the truth, hakuna namna tutakimbia kivuli hiki maana kimetuganda. Facing it is the best option.

Nasubiri kwa njaa
 
Mnakumbuka 2007/2008 niliambatanisha docs zinazoonyesha namna tunavyoibiwa sana mpaka FMES na GT wakaomba tuache kwa muda kwakuwa ilikuwa inaongeza machungu? Ready for it? Really?

Naja punde...!

mkuu.... very ready... tena huu ndio wakati muafaka...... nimenunua diclopar ipo kwa ajili ya kutuliza maumivu
 
mkuu.... very ready... tena huu ndio wakati muafaka...... nimenunua diclopar ipo kwa ajili ya kutuliza maumivu

LAT mimi nakaa jirani kabisa na hospital. Na nimeshaweka emergency call kabisa. But all in all, wacha tujue tu
 
Asante sna heri ya mwaka mpya wadau
ngoja niichukue nitasoma vizuri baadae jmni Pombe kweli si maji:teeth::teeth::teeth:

halafu wewe mwaka huu wote usiende lile jukwaa lileeeee........baki huku huku...nasubiri maoni juu ya hii dozi ya dowans
 
Mnakumbuka 2007/2008 niliambatanisha docs zinazoonyesha namna tunavyoibiwa sana mpaka FMES na GT wakaomba tuache kwa muda kwakuwa ilikuwa inaongeza machungu? Ready for it? Really?

Naja punde...!

Since then I hope we have grown up enough to take the bitter truth; and for sure knowing that bitter part will help to know when, where and what to do next.

Cha muhimu ni kukumbusha wafuasi na wapinzani kutorusha mijitusi, hoja hupingwa kwa hoja.
 
Mkuu,

Nadhani nilichotoa hapa kimewapa mwanga wa kutosha tu, lakini kuna PART II ya hii kitu, sasa nafikiria namna gani mtaipokea...!?! INAKERA SANA kilichomo

:redfaces:

Mkuu tunaomba utumwagie pia hiyo part 2 Ili tukiingia prepo turudi na majibu kamili.
 
"Enclosure 1" and "Enclosure 2" would require someone like Mugabe in government to undo!!!
 
Jamani mbona mi imenisumbua kusave kwenye desktop ili niikamue vizuri
 
Heshima kwako mkuu na Hepi New Year!

Japo haijakamilika doc inatupa japo nini kiliendelea nyuma ya pazia. Mawazo au maswali yangu katika hili ni haya:
1. Mkataba na Richmond ulikuwa for emergency purpose baada ya ukame 2005 mwishoni lakini Tanesco wameendelea kuhangaika na zigo hilo mwezi December 2006 kipindi hicho tunatapisha mabwawa. Hii inapingana na kinachosemwa kuwa ni public interest.... providing much-needed power to the national grid (509)

2. Ni wazi PPA Act ya 2004 haijitoshelezi ama imeachwa hivyo makusudi as far as void or avoidance of contract is concerned. (510)

3. CRDB imeendelea kutumika kupitisha uoza kama ambayo imeonekana kuikingia kifua Dowans. Mkuu wa hii benki kwa vyovyote vile ni mmoja wa genge hili la wahujumu (514 sec17.6)

4. Hapa unaona makosa ya makusudi kabisa ama makosa yanayotokana na shinikizo. No Due dilegence kabisa maana kampuni inaonekana kuelea kati ya anga la Rica na U.A.E (514 sec 17.10)

5. (514 sec 17.11) Hapa unamtambua Rostam kuwa ni zaidi ya mafia walotikisa dunia miaka ya nyuma. Ana power of Attorney tu kukamua mamilioni yetu. With all the businesses he is believed to run, hakuna hata moja utakuta jina lake which is to say No legal proceedings can find him guilty of wrong doings. Kuna mwana JF mmoja aegusia kulipuka nae, pengine hiyo pekee ndio inaweza kumzuia kutenda anayotenda kwa sasa.
Maisha ya wana Igunga ni ya kupigika ile mbaya lakini jamaa wanampa political haven toka alipokufa Kabeho miaka ya Tisini. Angalau anachoiba angekuwa anakipeleka kule.

6. Pale kwenye 519 wanaongelea competitive bidding, wakati mkataba unafaulishwa kutoka Richmond kwenda Dowans was that a competitive bidding???

Kwa ujumla ni kwamba Tanesco walikuwa na hoja lakini kwa makusudi hawakuwa na vielezo matokeo yake inaonekana Dowans ndo walikuwa wameshika ng'ombe (Bull) kwa pembe zake. Kama mzee wa kikofia (gwiji wa sheria) ndo alikuwa upande kwa Dowans na anajulikana kwa fitna za kisheria sioni mahali Tanesco wangefurukuta.

Kesi hii tukubali kwamba tumeliwa na kama serikali isingekuwa inamilikiwa na kina RA basi tungeweza kusema tugome kulipa tu based on moral grounds. Mbona kesi ya Chavda (kama sikosei) mpaka leo serikali imeweka mguu chini???

Tuwekee na hiyo Part II ili tujue moja.
 
Back
Top Bottom