DOWANS vs TANESCO - Why TANESCO Lost?

DOWANS vs TANESCO - Why TANESCO Lost?

Mkuu asante sana kwa salamu hizi za mwaka mpya, page ya 121 imenivutia sana, BIG UP kwa saaaaaaana!
Imekuvutia sababu umeona na kugundua kipengele ambacho kitatufanya tusilipe au....? because mimi mwenzako sikuona chochote cha kuvutia....
 
This is great! How do we get this information to the rest who are ignorant about RA involvement?
 
This is great! How do we get this information to the rest who are ignorant about RA involvement?
These Documents be made available to the press. But more important to independent team of lawyers who will be ready to do private procecution if at all is permissible in TZ laws.
 
Ukweli ni kuwa Mahakama Kuu inaweza kutengua uamuzi huu kwa sababu unabeza sheria ya manunuzi ya mwaka 2004.na unatumia ufisadi wa watendaji serikalini, Tanesco na Richmond/Dowans katika kuhalalisha uvunjaji wa sheria za nchi hii.........

Haiwezekani Msuluhishi akahalalisha conspiracy tajwa kama kigezo cha kuruhusu uvunjwaji wa sheria ya manunuzi ambayo imeweka wazi kuwa ni Bodi ya manunuzi tu yenye mamlaka ya kuidhinisha manunuzi tajwa.........................sasa purukushani nyingine zinatoka wapi?
 
Alama za nyakati zipo tayari ukutani, siku inakuja haya yote yatawatokea puani.
 
TANESCO WAKE UP:

Tunatumia muda mrefu sana kujadili suala hili, kiasi kwamba tunasahahu kuwa TANESCO wanatakiwa kuchukua hatua za kisheria kupinga hiyo hukumu je Tanesco wamefanya hivyo mpaka sasa. Masuala mengi ya sheria yanenda na muda je kwenye hili Tanesco wanajua hili au wanayumbishwa huku na huko.

Nahisi kuwa by the time watakapokumbuka kuwa hawajachukua hatua za kisheria, watakuwa wamepitwa na muda.
 
Back
Top Bottom