Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,298
TANESCO is worth more than those big three telecom companies put together. Hii kampuni kama ikipata mtu ambaye atai run vizuri mbona ni profitable sana?
TANESCO haiwezi ku-declare bankruptcy ina assets (14% ya Tanzanians, customers) ambao wana gurantee income kila mwezi. Wakijaribu declare bankruptcy, anachaguliwa administrator ana-run company for 12months na jamaa wanapata hela zao, on top of that administrator anaweka fees zake, (uuuuiiiii) ni very expensive kwa kampuni kama TANESCO ku-declare bankruptcy.
Kama ingekuwa ATCL wanadaiwa ndio ingekuwa cheap ku-declare bankruptcy.
TANESCO wanatakiwa wa-negotiate longtime payment, lakini inaonekana DOWANS watalipwa haraka sana kwa kuwa hii ni inside job.
TANESCO wana opportunities nyingi sana za kushinda hii kesi even now, lakini hii ni inside job kwa hiyo TANESCO lazima washindwe na DOWANS lazima walipwe.
Kwanini vyama vya upinzani visiiambie serikali sisi tutaitetea TANESCO na wa-appeal on their behalf (the problem is how many commercial lawyers ni wapinzani na je govt watakubali?)
Tanesco (serikali) ikifanya hivyo ICC haitatambua tena kesi zao mbeleni; na wametolea mfano kwa kesi zilizowahi kuwa ruled in favor ya serikali yetu, vivyo hivyo maamuzi ya kesi hii yaheshimiwe, ati!!