Baada ya kuzisoma zote na kuzimaliza inasikitisha na kuhuzunisha kodi yangu inaliwa na watu wachache Tanzania. Kwa kusummarize niliyoyaona katika hii documents kwanza natanguliza shukrani kwa invisible kwani hii inatoa picha halisi mambo yanavyokwenda nchini. Pili ninaweza kusema machache kutokana na kesi hii kuwa uzembe, mafia network, kukurupuka kumechangia sana kwa sisi kufika hapo. Tatu hii pesa hakuna jinsi italipwa tu maana ikikaa jamaa wanachaji interest mwisho wa siku tunaweza kujikuta tunadaiwa Trilioni kadhaa na serikali ikashindwa kulipa ikabakia kuuza rasilimali zake kwa wanaotudai (Na ndio lengo la hawa wakubwa).
Ukiangalia mtiririko wa kesi ni kwamba Dowans wamerithi mkataba wa Richmond na Tanesco. Kiukweli ukisema defence ya Dowans ni kwamba ule mkataba katika macho ya sheria ni mkataba uliokuwa sahihi kabisa kwani una vigezo vyote vinavyouita a valid contract. Kwamba Richmond ni briefcase company hilo ni jambo lengine kwani kipengele cha mkataba sahihi hakuna kipengele kinachozungumzia mazingira ya kampuni ya mfukoni sheria iko vp (Nadhani hili somo kwa wanasheria wetu warekebishe hicho kipengele ili kiaccomodate hilo otherwise tutaumizwa tena tu na wajanja). Hivyo kisheria huo ni mkataba sahihi hatuna jinsi.
Tukija katika Dowans na POA ya RA ni vema waungwana mkafahamu kuwa Dowans wamerithi mkataba na urithishwaji wao ni valid kabisa na hivyo basi hata kama mtasema Dowans ni kampuni ya mfukoni ni vema mkajiuliza je tuna haki hapa? Sasa basi huu ni uzembe wa wanasheria wetu wakati wanasign mkataba hawakuupitia vizuri kwani wangeliweka clause kuzuia transferability ya mkataba tusingelikuwa tunazungumza haya sasa (au pengine walishapewa mshiko wao ndio maana wakajifanya wameoverlook who knows!!!) Sasa kwa mujibu wa hii kesi Dowans wana haki ya kudai compensation kwa kuvunja makubaliano unless kama Tanesco wangelifanya makubaliano ya kumaliza haya maswala nje ya mahakama ndio ingelikuwa ishu nyengine.
Kwa kumalizia ni RA na wenzie wametuingiza mjini hapa na wanasheria wetu wanatakiwa kujiuzulu pamoja na menejimenti ya Tanesco. Vilevile wale wote waliosign mkataba huu wafikishwe mahakamani kwa kulitia taifa hasara maana sijawahi kuona mkataba wa ovyo kama huu ambao mtu anaruhusiwa kutransfer mkataba kwa mtu mwengine bila kushirikisha upande wa pili ni jambo la kushangaza. Vilevile sidhani kama inawezekana hii kesi ikawa appeal maana wao wamerely katika Laws of Tanzania , ila wanaweza kufungua kesi ya udanganyifu kwa Dowans kuwa ni kampuni feki ila sijui kama nia hiyo ipo ikisha wawadai fidia ya mabilioni ya fedha kwa hasara (kwani hata ICC wamesema kama wangelifanya utafiti vizuri Tanesco ingelikuwa na valid defence of misrepresentation and falsity) hivyo basi wanaweza kuwatingisha huko ikawa kesi tamu.
In the end I am sad to say hizi pesa zitalipwa to waungwana hakuna janja hapa na kodi yangu italiwa ila wanaweza kufungua kesi ya udanganyifu halafu hela zetu zikarudia kwa njia hiyo. Nimekasirika sana hata maji leo sitaki nimesusa!!!!
Ukiangalia mtiririko wa kesi ni kwamba Dowans wamerithi mkataba wa Richmond na Tanesco. Kiukweli ukisema defence ya Dowans ni kwamba ule mkataba katika macho ya sheria ni mkataba uliokuwa sahihi kabisa kwani una vigezo vyote vinavyouita a valid contract. Kwamba Richmond ni briefcase company hilo ni jambo lengine kwani kipengele cha mkataba sahihi hakuna kipengele kinachozungumzia mazingira ya kampuni ya mfukoni sheria iko vp (Nadhani hili somo kwa wanasheria wetu warekebishe hicho kipengele ili kiaccomodate hilo otherwise tutaumizwa tena tu na wajanja). Hivyo kisheria huo ni mkataba sahihi hatuna jinsi.
Tukija katika Dowans na POA ya RA ni vema waungwana mkafahamu kuwa Dowans wamerithi mkataba na urithishwaji wao ni valid kabisa na hivyo basi hata kama mtasema Dowans ni kampuni ya mfukoni ni vema mkajiuliza je tuna haki hapa? Sasa basi huu ni uzembe wa wanasheria wetu wakati wanasign mkataba hawakuupitia vizuri kwani wangeliweka clause kuzuia transferability ya mkataba tusingelikuwa tunazungumza haya sasa (au pengine walishapewa mshiko wao ndio maana wakajifanya wameoverlook who knows!!!) Sasa kwa mujibu wa hii kesi Dowans wana haki ya kudai compensation kwa kuvunja makubaliano unless kama Tanesco wangelifanya makubaliano ya kumaliza haya maswala nje ya mahakama ndio ingelikuwa ishu nyengine.
Kwa kumalizia ni RA na wenzie wametuingiza mjini hapa na wanasheria wetu wanatakiwa kujiuzulu pamoja na menejimenti ya Tanesco. Vilevile wale wote waliosign mkataba huu wafikishwe mahakamani kwa kulitia taifa hasara maana sijawahi kuona mkataba wa ovyo kama huu ambao mtu anaruhusiwa kutransfer mkataba kwa mtu mwengine bila kushirikisha upande wa pili ni jambo la kushangaza. Vilevile sidhani kama inawezekana hii kesi ikawa appeal maana wao wamerely katika Laws of Tanzania , ila wanaweza kufungua kesi ya udanganyifu kwa Dowans kuwa ni kampuni feki ila sijui kama nia hiyo ipo ikisha wawadai fidia ya mabilioni ya fedha kwa hasara (kwani hata ICC wamesema kama wangelifanya utafiti vizuri Tanesco ingelikuwa na valid defence of misrepresentation and falsity) hivyo basi wanaweza kuwatingisha huko ikawa kesi tamu.
In the end I am sad to say hizi pesa zitalipwa to waungwana hakuna janja hapa na kodi yangu italiwa ila wanaweza kufungua kesi ya udanganyifu halafu hela zetu zikarudia kwa njia hiyo. Nimekasirika sana hata maji leo sitaki nimesusa!!!!