Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,738
isikilizie mpaka mwisho mbwembwe tu hizoShem mbona hii link nasikia mchiriku na taarabu!
isikilizie mpaka mwisho mbwembwe tu hizoShem mbona hii link nasikia mchiriku na taarabu!
Zittto hajaonyesha msimamo wowote, na wala hajafanya jitihada zozote. Kinachofanyika sasa ni kuamua kutumia opportunity hii kuongea about Zitto. Kilichozungumzwa na kamati ya mahesabu ya mashirika ya umma ni msimamo wa kamati nzima na si msimamo wa Zitto kama Zitto. Hapa JF alisema wakati muafaka ukifika atatoa views zake kama Zitto. HIvyo kama mnahitaji kujua views zake juu ya hili inabidi mjiunge nami katika kuwa na subira.
Hivi nani katoa bei ya hiyo mitambo????? How did they come up with Tshs 90bn price???
Dowans wametangaza tenda ya kuiuza hiyo mitambo, je wanaendelea na process au wanasubiri mpaka uamuzi wa serikali upatikane??? wanapotangaza tenda, kuna tender opening date, ishafikiwa???
Nauliza hivi coz ni vizuri tukajua kama kuna watu wengine zaidi ya Tanesco wanaotaka hiyo mitambo and how much they are ready to bid.....
Kama Dowans wamesimamisha tendering process, then kuna uwalakini, mnunuzi mkuu washajua ni Tanesco na ile kutangaza ilikuwa zuga toto tu....
Mwanakijiji, kwenye hili swala la Dowans, mkuu una spin spin tu.
Mwanzoni ulisema tumwachie huru Gire nunue mitambo, na kwamba Rostam ameshatushinda and what not.
Baadae ukamtetea Zitto, japo ukasema hukubaliani na mahitimisho yake.
Ulipoulizwa mahitimisho yako wewe ni yapi ukasema tukasome Cheche.
Kwenye Cheche kuna mahitimisho ya Jessica Fundi na Fred Katunzi.
Sasa basi, kwa sababu kwenye hili swala wewe kama Mwanakijiji unaogopa kuchukua msimamo mimi nadhani sio busara kujadili kitu na ghosti Jessica na ghosti Fredi!
Sawa,
Kwa hiyo msiseme - maana si kweli - kwamba mashine za 1.6MW za power plant ya kazini kwa Nyambala "zinalingana lingana na za Dowans" ambao wanatoa 100MW. Itabidi muunge unge vijigenerator 62 na ushee! Semeni ukweli. Tatizo la Dowans, again, ni kwamba wako linked to Richmonduli, wana kesi dhidi yetu France, kuna court injuction dhidi yao Tanzania, na mitambo yao michakavu inazua legal quandaries.
Kuhusu 2Pac's "me against the world" mentality, well, inawezekana ndio predicament ninayoi face all the time jamvini, our lifestyles be close captioned, against all odds we carry on. Hata hivyo, I ain't mad at cha!
Kuhusu 2Pac's "me against the world" mentality, well, inawezekana ndio predicament ninayoi face all the time jamvini, our lifestyles be close captioned, against all odds we carry on. Hata hivyo, I ain't mad at cha!
you ain't no 2pac not even in a long shot!
LAITI ZITTO ANGEUJUA UZITO
Wahenga walinena nasi tukatega sikio
Hoja walitoa waasisi tena nzito nzito
Ziumiazo ndizo nyasi wapiganapo tembo
Laiti Zitto angemdisi Idrisa wa Tanesko
Laiti Zitto angemdisi Idrisa wa Tanesko
Mbunge Kijana angehisi Dowani imedisko
Wala singedadisi uazizi wake mitambo
Angechukua bisi bisi aifungue wozo
Angechukua bisi bisi aifungue wozo
Kwa yake kasi angeunyofoa huo utumbo
Wanainchi ndio sisi tungelimuunga mkono
Laiti Zitto Mfanisi angejua tu wazito
Laiti Zitto Mfanisi angejua tu wazito
Asingelikuwa mwepesi wa kulitoa tamko
Sasa lafanya aonwe muasi wa wazalendo
Uwi mwokoeni na majasusi kijana Zitto
you ain't no 2pac not even in a long shot!
Umesema unasapoti hoja za Zitto lakini sio mahitimisho yake. Wewe mahitimisho yako kama Mwanakijiji ni nini?
Lakini siyo hili la kubadilisha taratibu zilizowekwa kila kukicha. Sasa hivi Zitto alitaka taratibu za manunuzi ya mitambo michakavu ibadilishwe. Je, hiyo mitambo baada ya mwaka kama ingeshindwa kufanya kazi na haina warranty serikali ingekimbilia wapi ili kuinusuru nchi toka kizani wakati imeshatumia bilioni 60 kununua mitambo chakavu?
mkuu umesikia mahojiano waliofanya Zitto na Mwakyembe na ITV? Mwakyembe kasema live msimamo wa Zitto si wa kamati yake.....ni wake binafsi na anamshangaa kama ndio Zitto anaemfahamu.....Zitto hakubisha....
Mbona katika kukiuka taratibu mmeshikila tu suala la mitambo ya Dowans? Vipi mazungumzo yanayoendelea na IPTL na Artimus? Vipi ununuzi wa ndege za ATC? Vipi ununuzi wa Panton la Ferry? Haya mambo yalivyofanyika hiyo sheria ya manunuzi ilikuwa bado au vipi?
Hebu tusahau kama fedha hizo zinaingia mfukoni mwa Rostam na tuelekeze akili zetu kwenye mambo yafuatyo:-
1. Mgao utafanya viwanda vipunguze uzalishaji na hivyo kuikosesha serikali mapato.
2. Wafanyakazi wa viwandani watapunguzwa kazi kutokana na kupungua kwa uzalishaji. Hivi ni familia ngapi zitaathirika?
3. Viwanda vitaendeshwa kwa hasara kwa matumizi duni ya rasilimali zake.
4. Kuathirika kwa sekta zingine kama kilimo, utalii etc. kutasababisha kushuka kwa uchumi kwa ujumla.
Hivi haya yote hamyaoni jamani. Mmeshikilia tu eti afadhali nchi iingie gizani kuliko kununua mitambo ya Dowans. Are we really thinking staright au tumeingiwa na kawazimu fulani?
Ndio maana kina Mwakyembe bado wanasema hapa sheria isivunjwe. Yaani kwa nini leo sheria ivunjwe ili mitambo ya Dowans inunuliwe? Kwa sababu hiyo sheria ilianzishwa kwa sababu ya kukwepa mambo kama uliyoyasema ya ATCL na Mapantoni. Yaani hiyo sheria ilifanywa ili kukwepa hayo mambo. Kuhusu kama hizo ndege na Pantoni zilinunuliwa wakati sheria haijapita sijui, lakini ndio maana sasa hivi inabidi Dowans ipigwe chini na Mitambo mipyaa yenye Warranty inunuliwe Period.Mbona katika kukiuka taratibu mmeshikila tu suala la mitambo ya Dowans? Vipi mazungumzo yanayoendelea na IPTL na Artimus? Vipi ununuzi wa ndege za ATC? Vipi ununuzi wa Panton la Ferry? Haya mambo yalivyofanyika hiyo sheria ya manunuzi ilikuwa bado au vipi?
Hebu tusahau kama fedha hizo zinaingia mfukoni mwa Rostam na tuelekeze akili zetu kwenye mambo yafuatyo:-
1. Mgao utafanya viwanda vipunguze uzalishaji na hivyo kuikosesha serikali mapato.
2. Wafanyakazi wa viwandani watapunguzwa kazi kutokana na kupungua kwa uzalishaji. Hivi ni familia ngapi zitaathirika?
3. Viwanda vitaendeshwa kwa hasara kwa matumizi duni ya rasilimali zake.
4. Kuathirika kwa sekta zingine kama kilimo, utalii etc. kutasababisha kushuka kwa uchumi kwa ujumla.
Hivi haya yote hamyaoni jamani. Mmeshikilia tu eti afadhali nchi iingie gizani kuliko kununua mitambo ya Dowans. Are we really thinking staright au tumeingiwa na kawazimu fulani?
...naomba tulimalize hili la Richmond/Dowans:
Mitambo ya Dowans ...tunapaswa kuinunua kwani kutoinunua haiingii akilini wakati ... Mitambo hii haiendi kwa mtu yeyote binafsi na matatizo ya umeme yanayokuja mwezi wa nne itakuwa ni ushahidi kuwa ni "bora" tuinunue tu!. So why not buy them!?
Hapa naomba nimtetea Zitto kidogo japo sikubaliani naye kwenye mahitimisho yake.