Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,091
- 136,650
Heheheheheee...the subliminals...ahahahahahaaaa.....
Ninyi subirini tu mgao ndio mtaona raha ya huu upuuzi wenu mnao usimamia kwa nguvu zenu zote.. Tena si mbali Aug/Sept 09.
Kuhani said:Japo karibia wote hapa tu maghosti ni afadhali unapojadiliana na ghosti mwenzio unajua kuna ghosti Mwanakijiji anajadili na ghosti Jasusi, au ghosti Ogah anapelekana na ghosti Uwiano Maalum etc. etc., au ki-ghosti Kelly kina flirt flirt na li-ghosti Balantanda kesho kutwa anam feel ghosti Kibunango etc, etc, siku inaenda, bili zinalipiwa, lakini sio ghosti Kuhani anajadiliana na ghosti ambalo halijulikani kama ni ghosti Mwanakijiji au ni ghosti Jessica Fundi au ni ghosti Fred Katunzi, what the heck! Yani tayari kuna li ghosti Mwanakijiji halafu still linajificha nyumba ya ghosti Jessica!
Nafikiri njia nzuri kwa sasa ni kuikabidhi hii tender kwa bunge ili watatua matatizo ya umeme Tanzania. They have talked the talk, may be it is a right time to let them walk the walk. Sisi tunachotaka ni umeme, longo longo zingine hazitusaidii kitu.
And how did i get into ythis argument?oloo and why do you call me kighosti?...first of all i dont flirt with Balantanda or Kibunango or anybody whatsoever than my own cupcake...stop kunipakazia aisee hizi ndizo typical allegation ambazo watu wanatoa bila kuwa na evidence.......i dont mind you to comment anything ila kusema kuwa miye na flirt with boys in here that is no so cool bro....I am A list bro and not C list bila classy.
Cupcake....si unajua alikuwa anataka ku get under my skin but I'll let it slide coz you and I know what's up...hahahahahahaaaa
LOL!..Cupcake that is very true na ndiyo maana akazunguka mbuyu kwanza alikjua kuwa lazima utakuwa na patriot then ufungiwe tena...hahahah life is really good!....oh well cupcake lets go out for dinner at twist instead of kupigizana makelele na unkungul people in here....its saturday its chillaxing moment.
Posted by Kelly01: "Some will take this so seriously but to me its just an enttateinment...don't take everything so serious!.....serious make you grown old mapema kabla ya umri wako...
...Kuna watu wataingia kuanza criticize or well sikulaumu,na kuna wengine wataingia kuanza kutukana oh well God Blless you..."
ha
haha oh i see you do read my post uh!....i thought you are so stuborn and unhappy person ambaye hajui kuenjoy life and limted smile on his face
well that is your joke to call me Ghosti and that i firlit with boys?...ooh well as i say to my previous comment Mr Kuhani god bless you!...that was not funny at all...it was more like.................ooh whatever!
Mkuu wangu hapa bado kabisa sintakubaliana na wewe kwa sababu tunazungumzia strategy ya shrot term kutokana na dharura iliyosababisha mitambo hii ya Dowans kuwepo nchini..serikali lazima ilaumiwe maana walijuwa hili ...walipewa plan na tanesco tangu 2006...leo wanataka kumlaumu idrissa ....sio fair.maneno mengi tu bila utekelezaji ...
..ndio kilichobaki ..maana watu hapa wanaongelea ushabiki
....hii hali ya uchumi ya dunia ukichanganya na umeme wa tia maji tia maji....watu watapoteza kazi..wamesahau mwaka 2006 uzalishaji ulivoshuka na viwanda kupunguza watu..acha polution na kelele za majenereta.........
..serikali lazima ilaumiwe maana walijuwa hili ...walipewa plan na tanesco tangu 2006...leo wanataka kumlaumu idrissa ....sio fair.maneno mengi tu bila utekelezaji ...