Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,545
Dowans wanauwezo wa kuzalisha hiyo 100MW kwa namna gani?
Mwanakijiji, kwenye hili swala la Dowans, Mkuu hueleweki.
Mwanzoni ulisema tuwaachie huru wa kina Gire na nunue mitambo, na kwamba Rostam ameshatushinda and what not.
Baadae ukamtetea Zitto, japo ukasema hukubaliani na mahitimisho yake.
Ulipoulizwa mahitimisho yako wewe ni yapi ukasema tukasome Cheche.
Kwenye Cheche kuna mahitimisho ya Jessica Fundi na Fred Katunzi.
Sasa basi, kwa sababu kwenye hili swala wewe kama Mwanakijiji unaogopa kuchukua msimamo mimi nadhani sio busara kujadili kitu na ghosti Jessica na ghosti Fredi!
Sijaona swali lilipojibiwa!