Dowans: Another Richmond in making?

Dowans: Another Richmond in making?

Uwiano maalumu;

Tanesco sio serikali ni SHIRIKA LA UMMA. Wanalipa KODI serikalini kama makampuni mengine. Labda hili suala specifically isamehewe kodi!.

Sijasema tunaropoka. Nimesema ni KAMA tunaropoka. Soma katikati ya mistari ndugu yangu mpigakura.

Soma nilivyosema kuhusu ukitaka kulinganisha CHUNGWA NA CHUNGWA.

Sina haja ya kurudia mengine.

FP
 
natumai zitto atatoa tamko soon ili tuendelee kujua huu mchezo unakwendaje....

kelele zote tumesikia.. JE TAMKO LA SERIKALI(WIZARA YA NISHATI) NA TANESCO LINAHITAJIKA MAPEMA ILI KUONDO HIVI VIWINGU VYA WANASIASA WANAOTAFUTA UMAARUFUUU.

NAWAASA WANASIASA WALIOKO KWENYE KAMATI HIZI HUSIKA WAREJEE KWENYE MAJIMBO YAO NA KUHAMASISHA MAENDELEOO NA WASIBAKI HAPO DAR KUENDELEZA KUONEKANA NA KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARII TUUU KWA USHABIKI USIO NA TIJA.

PILI KAMATI YA NISHATI ITOE MAPENDEKEZO YA KULIFANYA TANESCO KUJIENDESHA KISASA NA KWA UFANISI..(LIFUMULIWE KISERA NA KIUTENDAJI, EMPLOY SOUND MGT, RETRENCH OF STAFF, NEW TECHNOLOGY DEPLOYMENT, REDUCE GOVT INTERVENTION, LIST THE COMPANY IN 5YRS TO COME)...

NAWASILISHA
 
Uwiano maalumu;

Tanesco sio serikali ni SHIRIKA LA UMMA. Wanalipa KODI serikalini kama makampuni mengine. Labda hili suala specifically isamehewe kodi!.

Sijasema tunaropoka. Nimesema ni KAMA tunaropoka. Soma katikati ya mistari ndugu yangu mpigakura.

Soma nilivyosema kuhusu ukitaka kulinganisha CHUNGWA NA CHUNGWA.

Sina haja ya kurudia mengine.

FP


KGM;

Ngoja niwe devil's advocate hapa. Toka mada hii inaanza hakuna aliyekuja na bei ya mitambo mbadala mpaka inakuwa installed. Tungemnyooshea Zitto kidole kama tungesema kuwa mitambo kutoka US au Malaysia yaneye ubora uleule au zaidi ni Billion 40 na ya Dowans ni Bilion 60. Ila mitambo ya kutoka nje itachukua miaka miwili. Kimahesabu Billions 20 ni nyingi. Tuagize kutaka nje.

Huo ndo uchambuzi niliokuwa nikiisubiri hapa.
Fairplayer, kwa hiyo kwa vile huo mtambo unanunuliwa na shirika la umma halina tax exemption ? Huweyi kulinganisha machungwa na mtambo wa kuzalisha umeme, labda wewe positive thinker unaweza fanya hivyo kwa ajili ya u-devil's advocate.
 
Uwiano maalum;

Sielewi husichokielewa hapa. Nimesema bei zilizotolewa ni ya mtambo ukiwa kwa manufacturer, kwa kitaalamu ni Ex factory price.

Nikaendelea kuchambua kuwa ili ulinganishe na mtambo wa Dowans ambao umeshakamilika na kuwa tayari kuanza kazi, inabidi uongeze gharama zinazofuatia kwenye bei ya Generators zilizopo nje ya nchi.

Nikasema mwanzoni kuwa kulinganisha Ex Factory price na FREE DOMICILE price of the Power generators is just like comparing Chungwa na maembe.

Inawezekana naongea/jadiliana na mtu asieelewa manunuzi ni nini na HATAKI kuelewa!

What is your point bro?!?

Regards

FP
 
Of course, check my postings buddy!.

Sikurupuki na data zisizofanyiwa uchambuzi. Nalinganisha apple na apple.

FP,

Kama hilo ni kweli, basi wewe ningekuita 'analytical' kwa sababu focus yako ni data na analysis. Positive thinker (is more like an Optimist) ana-focus zaidi kwenye 'solutions' kuliko 'problems'. Kuwa neutral kwenye issues, can never be a positive thinking!

Tuendelee na mjadala wa Dowans!
 
SMu;

Haya tungoje walete Apple ya marekani/Malaysis au kokote tulinganishe na Apple ya hapa home (Dowans).

Baadaye.

FP
 
Haya sasa. Wanasiasa wamekwisha maliza onyesho lao la NANI ZAIDI. Na sisi humu ndani tumeonyesha ujuzi wetu. Tutoe nafasi sasa kwa PPRA, TANESCO na Wizara ya NM watumie wataalamu tuliowasomesha kwa kodi zetu watumalizie tatizo hili.
CCM nao waamke watafute fedha za uchaguzi mwakani kwa njia zingine za HALALI na za WAZI.
 
  1. Zitto inaelekea (a) Ana-kaulevi ka madaraka aliyopewa kwenye kamati, (b) Ana-ukosefu wa uzoefu wa mambo ya uongozi na biashara (c) Ameonyesha kuwa ni mgumu kukubali hard criticism. Lakini at least he has a record behind him ya kupigania wananchi. Tusimuweke pembeni bali tuendelee kumdadisi na kumsaidia ikibidi.


  1. Sijui record gani aliyonayo Zitto ya kupigania wananchi katika maisha yake yote, ila naamini Mheshimiwa huyu anatakiwa ajue kuwa yuko kwenye siasa na siasa ni survival for the fittest. Asipoangalia atatumiwa na wanasiasa wazuri kuwajenga na yeye wakati huo huo kubomoka.
    [*]Lakini mtu kama Mama Malecela sio wa kuamini kabisa, she is a populist na sijaona matendo yake yakafanana na anayopigiaga kelele. Ameifanyia nini nchi hadi hivi sasa badala ya kujipandishia tu chati kwa kelele bungeni?

    Naomba unipe ufafanuzi kidogo katika madai yako kuhusiana na huyu Mama. Maana ni makali sana na ni vyema yakawekwa wazi zaidi.

    Ni mjuavyo Mama Kilango-Malecela, ni mtu anaejituma sana. Akiamua kifanya jambo anaweka nguvu, akili na uwezo wake wote kwenye jambo hilo hadi lifanikiwe. Nadhani sifa hiyo ni nzuri.
    [*]Dr. Mwakyembe na Seleli wana maneno mazuri tunayotaka sikia, lakini hawajawahi kusimamia kidedea issues ambazo wanazijua kwa undani kuliko watu wengine na zina utata hadi leo (Richmond-Dowans). Baada ya kuandika ripoti, Dr. Mwakyembe akiwa ni mwanasheria, je wamefanya nini zaidi kuhakikisha kuwa Richmond-Dowans inakuwa dealt with once and for all?

Sina uhakika kama unamfahamu yeyote kati ya hao hapo juu kiasi cha kuwa disqualify namna hiyo. Ukweli ni kwamba hata mimi siwafahamu sana. Ambae ninaweza kusema walau nimemsikia kwa muda mrefu kiasi ni Dr. Mwakyembe. Dr. Mwakyembe aliwahi kuwa kwenye Board ya TTCL. Wakati alipokuwa huko alikuwa mstari wa mbele katika kupigania maslahi ya Taifa, kwa kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi hazipotelei kwenye mikono ya majangili. Misimamo yake mikali na isiyo na uoga ilimfanya asiwe na uhusiano mzuri sana na waliokuwa wakipingana nae kwenye masuala muhimu kwa Taifa.

Kuhusiana na jinsi Mwakyembe alivyoshughulikia issue ya Richmond-DOWANS iko wazi. Kamati yake iliundwa na Bunge na ilifanya kazi zake katika mazingira magumu na ya hatari sana. Hata hivyo walionyesha uhodari mkubwa kuikamilisha report yao kwa ufanisi mkubwa. Baada ya kumaliza kazi yao, ilikuwa jukumu la Bunge kushughulikia matokeo yaliyopatikana na wala haikuwa kazi yake tena. Bunge lilijadili kwa uwazi na ukamilifu. Matokeo hata wewe unayajua. Kaziiliyobaki ni kwa serikali kukamilisha maazimio ya Bunge kama ilivyoahidi.
 
Uwiano maalum;

Sielewi husichokielewa hapa. Nimesema bei zilizotolewa ni ya mtambo ukiwa kwa manufacturer, kwa kitaalamu ni Ex factory price.

Nikaendelea kuchambua kuwa ili ulinganishe na mtambo wa Dowans ambao umeshakamilika na kuwa tayari kuanza kazi, inabidi uongeze gharama zinazofuatia kwenye bei ya Generators zilizopo nje ya nchi.

Nikasema mwanzoni kuwa kulinganisha Ex Factory price na FREE DOMICILE price of the Power generators is just like comparing Chungwa na maembe.

Inawezekana naongea/jadiliana na mtu asieelewa manunuzi ni nini na HATAKI kuelewa!

What is your point bro?!?

Regards

FP

FP; nauliza je TANESCO ikinunua mtambo mpya inabidi iulipe tax?

Zaidi ya hapo, kwa nini unafikiri TANESCO iununue mtambo kwa vile tu tayari uko nchi?

Na zaidi, kwa vile huo mtambo ulihusishwa na ufisadi, au uliletwa nchini kifisadi, ukaligharimu Taifa fedha nyingi, je huoni ni makosa kwa TANESCO kuununua huo mtambo, na kitendo cha kununua mtambo huo kitaweza kufananishwa na kununua bidhaa ya wizi?

Je ni kwa nini huu mtambo usitaifishwe na serikali au TANESCO kufidia hasara iliyokwisha sababishwa na manunuzi ya mtambo huu hapo awali?
 
Last edited by a moderator:
Uvivu wa kufikiri utatupeleka shimoni watanzania,Kamati ya Mwakyembe ilienda houston na kupewa bei kamili na data walizimwaga bungeni sasa hao wanaotaka tena kupata data za uhakika ni wavivu wa kufikiri.Dowans na Richmond ni kama mate na ulimi,na chaguo ni la watanzania kuburuzwa mahakamani na kushindwa(Kumbuka TTCl badala la dollar milioni 120,zikalipwa 65 tu).Na kumlipa Dowans pesa kibao au kuinunua mitambo ya Dowans na ku-save kidogo kiasi cha pesa ambayo tungelipa.
SWALI:Washika dau mkataba wa Dowans na Serikali uko vipi au ndio huohuo wa Richmond???,
Elimu inahitajika.
 
Wakuu,
Nilivyo muelewa Zitto pamoja na Idrisa wanachotaka kusema ni kuwa tunahitaji kitu cha haraka. Tatizo ni kwamba when it comes to ile kamati ya nishati wao nawaona kama wanaweka siasa zaidi ya maslai ya taifa. The time malumbano yanaanza issue za cost hazikuwa zimefikiwa. Lakini Idris alisema no matter what, wanacho hitaji ni mitambo sasa kama serikali itanunua ile ye dowans or mingine mipya it is the question of the cost benefit ambapo serikali ilitakiwa kufanya. Moreover, hizi kamati za bunge ni kutoa ushauri bt decision inarest kwa serikali. Kama mambo yakienda vibay then bunge and other stake holders ndipo wanaweza kuipin serikali. Sioni sababu kwa nini hii isue inachukua mjadala mreeefu na kupoteza muda. the thing is decision has to be made.
 
Uwiano maalum;

Sielewi husichokielewa hapa. Nimesema bei zilizotolewa ni ya mtambo ukiwa kwa manufacturer, kwa kitaalamu ni Ex factory price.

Nikaendelea kuchambua kuwa ili ulinganishe na mtambo wa Dowans ambao umeshakamilika na kuwa tayari kuanza kazi, inabidi uongeze gharama zinazofuatia kwenye bei ya Generators zilizopo nje ya nchi.

Nikasema mwanzoni kuwa kulinganisha Ex Factory price na FREE DOMICILE price of the Power generators is just like comparing Chungwa na maembe.

Inawezekana naongea/jadiliana na mtu asieelewa manunuzi ni nini na HATAKI kuelewa!

What is your point bro?!?

Regards

FP

FP,

Umeiweka vizuri, kwa wale wanaoweza kusoma btn the lines, wataelewa wale wenzangu na mimi wanaopenda kuongea sana, kuandika sana bila kusoma wataendelea kukubishia tu na wapo wengi hapa JF.

Mimi nizungumzie lingine kidogo....

Scenerio I: Mtambo ambao up operational, unafanya kazi, vipuri vipo... etc.

Scenerio II: Mtambo ambao uko kiwandani, au utazalishwa kampuni ikipata Tenda.

Scenerio III: Hoja ya Tanesco; Generation na Consuption hakuna umeme wa dharurua in case mtambo wowote mkubwa ukiharibika.

Naanza;
Fair Player ameweka sawa kabisa kwamba mpaka sasa wanasiasa wanaongea vitu nusu nusu, isipokuwa Zitto tu, na wengi hawamuelewi kwa sababu hawajasoma kila kitu kwa undani.



Scenerio II: Processes...
  • Tender Process - 3 Months
  • Assempling and Manufacturing of Generator Sets - 6month
  • Shipping processes of Generator Sets - 2 Months
  • Installation of Generator Set - 4 months
  • Testing and commissionoing - 3months.
  • contingency - 4months
  • TOTAL - 2years...
  • Wakati Munafikiria hili... angalia current capacity ya TANESCO ambayo wanatakiwa kuwa na umeme wa ziada ambao ni 15% ya total consuption au umeme ambao ni equivalent na mtambo mkubwa mmoja.
Mwanasiasa yeyote ambaye analinganisha bei tu... bila kuwasoma TANESCO wanaongea nini hatufai na anarudisha nyuma maendeleo ya Taifa.

Mpaka sasa TANESCO wana hoja ambayo.... wanasiasa hawajaielewa... lakini siku Taifa likienda gizani... TANESCO watajivua na Dr. Idrisa atawaambia waambie wabunge wenu wawaletee huo umeme.

Tunasahau sana watanzania... Haijapita miezi 6 (sita) mitambo ya Songas ilipata itilafu... tukaingia kwenye mgao ambao tulidhani tusingeingia tena..

Waulize TANESCO tuna upungufu wa capacityyyyyyyyyyyyyyyy.... hivi kwa nini hamuelewi!!!! au niwachape vipoko kama yule DC.

Sio kila kitu kinahitaji siasa.
 
Hahaha hela ililmsaliti Yesu, unafiikiri akina slaa na zito hawapendi hela na kujidai kote kutetea hela ya wanyonge?

Ndiyo mjue kwamba hatuna viongozi wanapoumbuana wamedhurumiana. Mtayajua yote.
 
katika vitu haviniingii akilini ni Siasa. Ni game chafu I ever had/seen. unayemuona anatumia akili kidogo hajajua njia gani atumie kula, akishajua anaanza kutetea ujinga.
 
FP; nauliza je TANESCO ikinunua mtambo mpya inabidi iulipe tax?

Zaidi ya hapo, kwa nini unafikiri TANESCO iununue mtambo kwa vile tu tayari uko nchi?

Na zaidi, kwa vile huo mtambo ulihusishwa na ufisadi, au uliletwa nchini kifisadi, ukaligharimu Taifa fedha nyingi, je huoni ni makosa kwa TANESCO kuununua huo mtambo, na kitendo cha kununua mtambo huo kitaweza kufananishwa na kununua bidhaa ya wizi?

Je ni kwa nini huu mtambo usitaifishwe na serikali au TANESCO kufidia hasara iliyokwisha sababishwa na manunuzi ya mtambo huu hapo awali?

Uwiano Maalum;

Kwa kawaida kampuni yoyote ikileta mitambo hapa nchini inalipia Duty and VAT. Wizara ya Fedha inaweza kusamehe kodi lakini. Kwa case ya Tanesco sijui kama wana Exemption au la. Ila Tanesco ni kampuni na sio serikali; ingawa inamilikiwa 100% na serikali. Kwakuwa inauza huduma na kupata faida ndo maana inalipa kodi serikalini.

Kama mtambo uleletwa kifisadi, hilo ni nje ya mada. suala ni kuwa je Bei hiyo ni halali?, hapo ndo nikasema tulinganishe apple na apple interms of Bei.

Kutaifisha lazima uwe na good grounds. Tukishapata thamani ya mtambo mbadala na kulinganisha gharama za dowans ndo tunaweza kusema ni wa kifisadi au la.

hope nimekujibu.

Asante

FP
 
Wakuu,
Nilivyo muelewa Zitto pamoja na Idrisa wanachotaka kusema ni kuwa tunahitaji kitu cha haraka. Tatizo ni kwamba when it comes to ile kamati ya nishati wao nawaona kama wanaweka siasa zaidi ya maslai ya taifa. The time malumbano yanaanza issue za cost hazikuwa zimefikiwa. Lakini Idris alisema no matter what, wanacho hitaji ni mitambo sasa kama serikali itanunua ile ye dowans or mingine mipya it is the question of the cost benefit ambapo serikali ilitakiwa kufanya. Moreover, hizi kamati za bunge ni kutoa ushauri bt decision inarest kwa serikali. Kama mambo yakienda vibay then bunge and other stake holders ndipo wanaweza kuipin serikali. Sioni sababu kwa nini hii isue inachukua mjadala mreeefu na kupoteza muda. the thing is decision has to be made.

Yes sir. Maamauzi yao mengi yametupeleka gizani mara kibao,hakuna busara hakuna hekima hakuna utaalamu unaotumika kwenye maamuzi ya serikali ya tanzania kwa sababu hakuna hata mmoja anayejali maamuzi kwani hakuna hukumu akifanya vizuri au reward akifanya vibaya atakuwepo tu vyovote vile.

Dr Idrisa tayari anamgao wake kutoka kwa Chenge inawezekana anao tayari mwingine kutoka kwa dowans.
Tatizo la umeme halijaanza jana wala juzi, miaka ya 1995 na kuendelea tulikuwa na tatizo kubwa la umeme na maamuzi ya wataalamu wengi yalikuwa haya
Kusafisha mabwawa
kununua turbine mpya
kuongeza ukubwa wa mabwawa na turbine
kuongeza vyanzo vingine vya umeme

Kilichofanyika ni wizi na ujambazi wameendelea kununua mitambao ya kitapeli isiyo na manufaa kwa nchi ila kwa matumbo yao.
Kamati zote ile ya Richmond na bunge ziliona richmond ni utapeli mitambo haikuwaka kwa sababu ilikuwa mibovu sasa kama leo tanesco wanasema ni mizima kwanini wawepo kazini hii ni hujuma mbaya sana. tulikaa giza tukiamini mitambo mibovu leo hii mitambo ileile imekuwa mizima.

Hakuna haja ya kuwazawadia mafisadi walitufanyia uhuni walituingiza mkenge tununue mipya.

Nilipata habari kwamba Rostam na lowasa walifanya hadaa isiwake ili waje watubamize bei naona deal limekubali na ninaamini kabisa wote wanao bebea hili swala bango wamelishwa asali.
Tuvute subira litakaa wazi.
Zito kabwe usipo kuwa mwangalifu siasa bye bye.Wakati umefika uangalie lile swala lako la kuacha siasa na kwenda shule kwani mkombozi wa kweli wa watanzania masikini si mtu kigeu geu. Ulitupigisha kwata kwenye swala la ricmond na uozo wake wote kuanzia wa kutokuwaka kwa mitambo yao na ubovu wake leo unataka tukuunge mkono kununua mali ambayo mlitufanya tuamini ni mbovu hii haingii akili hata kidogo.
Tupe uhusiano wa Dowans , Rostam na Lowassa na Gire.Na kuwa muwazi je ulikutana na hawa mabwana wapi na lini??
 
Hivi nani katoa bei ya hiyo mitambo????? How did they come up with Tshs 90bn price???

Dowans wametangaza tenda ya kuiuza hiyo mitambo, je wanaendelea na process au wanasubiri mpaka uamuzi wa serikali upatikane??? wanapotangaza tenda, kuna tender opening date, ishafikiwa???

Nauliza hivi coz ni vizuri tukajua kama kuna watu wengine zaidi ya Tanesco wanaotaka hiyo mitambo and how much they are ready to bid.....

Kama Dowans wamesimamisha tendering process, then kuna uwalakini, mnunuzi mkuu washajua ni Tanesco na ile kutangaza ilikuwa zuga toto tu....
 
FP,

Umeiweka vizuri, kwa wale wanaoweza kusoma btn the lines, wataelewa wale wenzangu na mimi wanaopenda kuongea sana, kuandika sana bila kusoma wataendelea kukubishia tu na wapo wengi hapa JF.

Mimi nizungumzie lingine kidogo....

Scenerio I: Mtambo ambao up operational, unafanya kazi, vipuri vipo... etc.

Scenerio II: Mtambo ambao uko kiwandani, au utazalishwa kampuni ikipata Tenda.

Scenerio III: Hoja ya Tanesco; Generation na Consuption hakuna umeme wa dharurua in case mtambo wowote mkubwa ukiharibika.

Naanza;
Fair Player ameweka sawa kabisa kwamba mpaka sasa wanasiasa wanaongea vitu nusu nusu, isipokuwa Zitto tu, na wengi hawamuelewi kwa sababu hawajasoma kila kitu kwa undani.



Scenerio II: Processes...
  • Tender Process - 3 Months
  • Assempling and Manufacturing of Generator Sets - 6month
  • Shipping processes of Generator Sets - 2 Months
  • Installation of Generator Set - 4 months
  • Testing and commissionoing - 3months.
  • contingency - 4months
  • TOTAL - 2years...
  • Wakati Munafikiria hili... angalia current capacity ya TANESCO ambayo wanatakiwa kuwa na umeme wa ziada ambao ni 15% ya total consuption au umeme ambao ni equivalent na mtambo mkubwa mmoja.
Mwanasiasa yeyote ambaye analinganisha bei tu... bila kuwasoma TANESCO wanaongea nini hatufai na anarudisha nyuma maendeleo ya Taifa.

Mpaka sasa TANESCO wana hoja ambayo.... wanasiasa hawajaielewa... lakini siku Taifa likienda gizani... TANESCO watajivua na Dr. Idrisa atawaambia waambie wabunge wenu wawaletee huo umeme.

Tunasahau sana watanzania... Haijapita miezi 6 (sita) mitambo ya Songas ilipata itilafu... tukaingia kwenye mgao ambao tulidhani tusingeingia tena..

Waulize TANESCO tuna upungufu wa capacityyyyyyyyyyyyyyyy.... hivi kwa nini hamuelewi!!!! au niwachape vipoko kama yule DC.

Sio kila kitu kinahitaji siasa.

Pia kumbuka wanalinganisha bei ya mtambo uliopo nje ya nchi na ule uliopo tayari Tanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.

Ni VIBOKO tu ndo vinawafaa hawa wadanganyika aka Wapiga kura 80%


Endelea kuwaelimisha kidogo kama hawaelewi wacharaze bakora LOL!
 
Back
Top Bottom