Dowans: Another Richmond in making?

jamani mwenzenu mbona niniklik aifunguki mnaichungulia wapi au tuombe pm
kid...
 
mkuu mwanakijiji mafisadi wamerusha sumu zao nini humu naona kijarida ukibonyeza hapa akifunuki kabisa
 
Nashindwa kuamini macho yangu na akili zangu mwenyewe..

Hivi inawezekana kweli pamoja na kelele zote juu ya DOWANS, pamoja na madudu yote haya yanayo fumuka juu yake bado serikali ikangangania kununua mitambo hii??

May be napata uchizi, hivi kwani serikali ni nani?? na je serilakali yaweza kuwepo bila kuwepo sisi wananchi? kwanini wanatuburuza namna hii??

Hapa njia ya sanduku la kura inakuwa mbali sana, inabidi lifanyike jambo.. hata kama ni kulala barabarani wakose pa kupitisha hayo mashangingi yao.. Hatuhitaji kununua kitu kanyaboya.. afterall sheria iko upande wetu.. TUWANYANGANYE !
 
Mzee Mkjj pongezi sana kwa kazi kubwa hii. Habari hii inatia kizunguungu! Sasa wabunge (si Zitto) lazima waitumie hii habari kukata mzizi wa fitina, wasiishie kulalamika tu Rostam, Rostam! Hii ni mbaya kuliko Richmound! It is indeed sad kuwa hata wan JF sasa wameanza kupoteza vipaumbele! Watu wameng'ang'ania na conflict of interest ya Mwakyembe isiyo na kichwa wala miguu, wameacha issues huku!

One wonders, hivi kwa nini akina Mramba wamepelekwa Kisutu kama jamaa wenyewe ni wachafu hivi!
 
Dowans suffers 3bn/- penalty former Richmonduli
Daily News Reporter
Daily News; Thursday,October 04, 2007 @00:02



However, in December last year, M/S Richmond sought TANESCO's consent to assign the contract to another company, namely M/S Dowans Holdings of United Arab Emirates, which assumed all contractual obligations and responsibilities vested upon M/S Richmond.

M/S Dowans however failed to commission the 100 MW plant in accordance with the terms of the Agreement for reasons that were not TANESCO's.

Eh but this is impossible. Jamani kama nimepewa kazi na muajiri wangu na nikaiba, hivi kweli naweza kumwambia muajiri wangu kwasababu ya kosa langu, naomba kupendekeza mdogo wangu kuchukua majukumu ya kazi hii na kuifanya kazi na yeye muajiri akakubali?

Wanadai kwenye contract ya Richmond ilikuwepo hio clause yaku mruhusu Richmond kumpokeza anae mtaka kama akishindwa kazi. Sasa kama huo mkataba wa Richmond ni batiri kwasababu ya makosa makubwa ya usajiri, inakuaje tena Richmond walitumia huo huo mkataba batiri kumpasia Dowans kazi?

Ni nani ali push hii impossibility?
 
unadhani basi wanafikiria hivyo basi? Nakuambia hawana mawazo ya namna hiyo.

Ngeleja kasema Serekali ina mamlaka yakuamua kununua mitambo ilio tumika pale mazingira yakufanya hivyo yatakapo ruhusu.

Je Serekali inaweza kutaifisha mitambo pale mazingira yakufanya hivyo yametokea, kama huu wasasa wa kuingia hasara kwa ukiukaji mkubwa na wamakusudi ulio tokea na mwenye mitambo hio?

Idris katuambia mitambo ime pass inspection yamatumizi, na kwamba siku yoyote hile tunaweza kuingia kwenye emergency. Sasa out of a technicality or more like a violation of the whole process by Dowans kupata mkataba wakugenerate electricity kwakutumia udanganyifu wa kujiambatanisha ubia na miliki Protek as their partner. Ambae sasa inagundulika Protek hayupo kwenye hisa wala kuitambua Dowans.

Tuna muomba Idris atusaidie kuepuka na emergency hio na vile vile Ngeleja kutumia mamlaka ya Serekali ya ukiukaji makusudi wakupata mkataba huo pasipo na halali , MITAMBO YA DOWANS ITAIFISHWE.
 
Last edited:
Mojawapo ya vitu vinavyoendelea kunishangaza siku hizi zote ni kwanini serikali yetu inajiuma uma kuvunja mkataba na Dowans. Hili halipaswi kuwa hivyo.

a. Imeweza kuthibitishwa kuwa kampuni iliyoingia Mkataba na Tanesco ya Richmond Development Company LLC haijawahi kusajiliwa Tanzania na haikupewa kibali cha uwekezaji.

b. Imeweza kuthibitishwa kupitia Kamati Teule ya Bunge hiyo kampuni yenyewe haipo jinsi ilivyotajwa na kimsingi ni kampuni hewa.

Hivyo kutokana na hayo mawili tu kuna mambo kadhaa ambayo tunaweza kuona yanafuatana.

1. Kanuni za kuingia mikataba zina presume mambo makubwa matatu; kwanza, anayeingia mkataba yupo, pili, aneyeingia mkataba ana uwezo wa kisheria kufanya hivyo, tatu anayeingia mkataba anafanya hivyo kiuaminifu kuwa ataweza kuutekeleza.

2. Kwa vile tumeshaona hapo juu kuwa aliyeingia mkataba wa Richmond hakuwepo na hakuwa na nguvu za kufanya hivyo basi kile kilichoingiwa hakiwezi hata chembe kuwa mkataba.

3. Mkataba unaoingiwa kiudanganyifu (fraudelent) siyo mkataba halali.

Kwa vile Kamati Teule ya Bunge imeweza kuthibitisha pasipo shaka kuwa Mkataba wa Richmond uliingiwa kwa njia ya udanganyifu na kampuni ambayo haipo na isiyo na uwezo wa kuingia mkataba huo hivyo HAKUNA KITU KAMA MKATABA WA RICHMOND kwa sababu huwezi kuingia Mkataba na kampuni ambayo HAIPO.

Kanuni hii ndiyo inaongoza hata annulments za ndoa kwamba endapo mtu anaingia kwenye ndoa (mkataba) kwa njia ya udanganyifu au pasipo uhalali wa kufanya hivyo (kama ndoa ya baba na binti) basi ndoa hiyo inaweza kuwa annulled (maana yake siyo tu inafutwa, bali haikuwepo in the first place)

4. Kwa vile kampuni ya Richmond haipo, na kwa vile mkataba wenyewe nao haupo basi Dowans hawawezi kurithi kitu ambacho HAKIPO.

Hivyo, serikali haihitaji kwenda mahali popote ni kuwaambia Dowans park your stuff and leave kwa sababu HAKUNA mkataba kati yako na TANESCO. Hili halihitaji uwe mtaalamu wa fizikia kuweza kuliona. Vinginevyo tumeliwa.

kwa kweli wakati mwingine hata mimi mwenyewe najipenda!
 
Tulijadili hili swala la Dowans hapa JF mwaka 2009, na leo hii ndio kilele cha yale majadiliano ambapo Tanzania government is obligated to pay a substantial amount of money.

MM alileta ajenda kwamba automatically Tanzania is not obligated to honor the contract between Dowans and Tanesco because Richmond is illegitimate entity. However, things flipped upside down, now Tanzania is obligated to honor the contract.

Is this the beginning of the end end of poor judgment within Tanzania government? I doubt. We need competence people inside this organization, people who will craft and execute strategy for the benefit of Tanzania. Until then Tanzania itaendelea kuwa shamba la bibi.
 
Tulijadili hili swala la Dowans hapa JF mwaka 2009, na leo hii ndio kilele cha yale majadiliano ambapo Tanzania government is obligated to pay a substantial amount of money.

MM alileta ajenda kwamba automatically Tanzania is not obligated to honor the contract between Dowans and Tanesco because Richmond is illegitimate entity. However, things flipped upside down, now Tanzania is obligated to honor the contract.

Is this the beginning of the end end of poor judgment within Tanzania government? I doubt. We need competence people inside this organization, people who will craft and execute strategy for the benefit of Tanzania. Until then Tanzania itaendelea kuwa shamba la bibi.

Inaelekea kuna "ukweli" ambao mim na wewe na yule hatuujui...............inakuwaje tumeshindwa kesi na GHOST?
 
dowans suffers 3bn/- penalty former richmonduli
daily news reporter
daily news; thursday,october 04, 2007 @00:02


tanzania electric supply company (tanesco) has asked 2.43 million us dollars (about 3.06bn/-) payment in penalties from dowans holdings, following the firm's failure to fulfil its contractual obligations.

Dowans holdings entered into an agreement with tanesco to supply and install gas based generation plants at ubungo that were supposed to become operational on february 2.

Tanesco managing director dr idris rashidi said in a statement yesterday that the amount required was cumulative penalties dowans owes the power utility firm following its failure to attain commercial operation date (cod).

Dr rashidi said dowans holdings only achieved cod yesterday, instead of february 2. "this means it achieved cod 234 days behind the schedule," he said.

He said the penalty was in line with the agreement between the two parties which imposed a daily penalty of 10,000 us dollars as liquidated damages if cod is not achieved as agreed.

"the penalty is calculated from the date when the plant had to be commissioned up to the actual date when the plant is commissioned," said the tanesco boss, adding that he will request the government to deduct the amount from monthly capacity charges, starting this month.

Tanesco entered into emergency power purchase agreement with m/s richmond development company of usa on june 23, last year, in which the latter undertook to supply and install 100 mw gas based generation plants at ubungo.

The contract was among measures taken by the government and tanesco to mitigate the poor generation condition which faced the country due to poor rains.

However, in december last year, m/s richmond sought tanesco's consent to assign the contract to another company, namely m/s dowans holdings of united arab emirates, which assumed all contractual obligations and responsibilities vested upon m/s richmond.

M/s dowans however failed to commission the 100 mw plant in accordance with the terms of the agreement for reasons that were not tanesco's.

huyo fisadi rashidi aache kutudanganya, siku zote tulikuwa tunamtafuta mtu ndani ya tanesco na wizara ya nishati na madini aliyeitoa kibali kwa richmond iliyoshindwa kutimiza masharti ya mkataba wake wa awli kuiingiza dowans badala ya kushitakiwa mahakamani. Huyu ndiye anayelisababishia taifa hasara hii.

tunaomba mtu huyo atajwe kwa jina li watanzania wote tumafahamu. Nahisi haya mamabo ya serikali kudaiwa na kisha dowans kudaiwa ni mboja ya mbinu ya mafisadi rashidi lowassa na rostama azizi kutuka kujisafisha na kutughilibu.

This is pur nonsense!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
!
 
tulijadili hili swala la dowans hapa jf mwaka 2009, na leo hii ndio kilele cha yale majadiliano ambapo tanzania government is obligated to pay a substantial amount of money.

Mm alileta ajenda kwamba automatically tanzania is not obligated to honor the contract between dowans and tanesco because richmond is illegitimate entity. However, things flipped upside down, now tanzania is obligated to honor the contract.

Is this the beginning of the end end of poor judgment within tanzania government? I doubt. We need competence people inside this organization, people who will craft and execute strategy for the benefit of tanzania. Until then tanzania itaendelea kuwa shamba la bibi.
tatizo hapa wanaolipa fedha hizi serikalini ndio hao hao wanaozipokea kama dowans. Hivyo lazima zitalipwa tuu!!. Ndio maana tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom