bm21
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 774
- 37
hivi kwanini watendaji wasiaminiwe? mpaka Bunge ndio liamue? to me bunge is just a bunch of political ****** who wants to be re-elected. Can you guys imagine when other countries have long done away with power rations, and these countries are a way poor than us?Maswala ya utendaji tunaleta siasa, sasa spika amekuwa na uwezo kuliko rais? JK you are too soft.
Sijakunyaka mkuu, unamaanisha tumuache/tumuamini Dr. Rashidi afanye maamuzi yake juu ya Dowans au?.Watumishi wakipoteza imani kwa wananchi juu ya kazi walizopewa nimuhimu kuwafuatilia ili wasiharibu zaidi. Hata katika familia baba akiona watoto wanaakili nzuri na wanauwezo wa kufanya maamuzi sahihi huwaacha wafanye mambo yao kwakumpa taarifa tu, bali akigundua ni wavivu wa kufikiri huwambia wamshirikishe kila wanachotaka kufanya