KGM;
Ngoja niwe devil's advocate hapa. Toka mada hii inaanza hakuna aliyekuja na bei ya mitambo mbadala mpaka inakuwa installed. Tungemnyooshea Zitto kidole kama tungesema kuwa mitambo kutoka US au Malaysia yaneye ubora uleule au zaidi ni Billion 40 na ya Dowans ni Bilion 60. Ila mitambo ya kutoka nje itachukua miaka miwili. Kimahesabu Billions 20 ni nyingi. Tuagize kutaka nje.
Huo ndo uchambuzi niliokuwa nikiisubiri hapa.
Tatizo lingine ni kuwa sehemu kubwa ya umeme wetu unatokana na Maji. Je tumefanya analysis kujua kama mvua hazitanyesha mwaka huu?.
Suala zima mi naona ni siasa tupu.
Wezi watupu wote huko Sirikalini na Tanesco!
Mbona humu ndani bei zimeshatolewa sana tu. wewe pitia pitia tu utaona.
Tena bei zimetoka kwa wenyewe sio wababishaji kama DOWNS ambayo hata inakotokea hakujulikani au mwenzetu unajua Downs walitokea wapi na walifahamianaje/walipasianaje Dili lao la kuihujumu nchi na RICHMOND
Hata hivyo sijakuelewa kama uko upande gani. Uko upande wa Sita+Mwakiembe+Shelukindo+Wananchi au Uko na Zito+RA+IDIRSA RASHID+MAFISADI bila kumsahau OMalys