Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Love you JF....haya mambo yalishajadiliwa humu wapo waliobeza oooh hana ubavu na wengine wakasema Kwa kumuomba ashughulikie issue hii naona Leo wameaanza kupata majibu nimeamini JPM ni smart sana hakurupuki Kwa kusikiza makelele ya watu mpaka kwanza akamilishe vitu flaniflani hivi...good job my president.
 
wale Wa kuhamisha magoli watachoka mwaka huu maana JPM kila uwanja anacheza.....
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu
Nimekuelewa vizuri sana mwanakijiji ujumbe mzuri sana nimeupenda sana ila umeongea kwa mafumbo sana wengine wameshindwa kukuelewa
 
Heeeh magoli yameanza kuhamishwa! nasikia Kwa mbaaaali mara Nyumba za serikali,mara kivuko sijui kagoda ila Richmond hawaitaji duh!!!!
 
Mwanakijiji na wewe unakuwa draged kirasi hivi?? Ni lini uliona takukuru wakipeleka mtu mahakamani wanaitish hadi mkutano na wandishi wa habari?? Hata hili hujaliona?? Hizi ni movie na maigizo kama mengine tu, acacia imetulia sasa ni gia lingine ili siku zisogee, na hili nalo litaisha hivi hivi
Akili yako kama ya Lisu
 
Prediction - at least intelligible prediction- requires some semblance of a consistent pattern to work with.

Magufuli can hardly claim to have one.


How can anyone make intelligible prediction on the musings of an uncultured power drunk tyrant who is bent on making a name for himself as the people's president?

He can shift the narrative and goalposts at any moment and direct "The Ministry of Truth" to ban your existence at a whim.

How do you bet against such a monster, other than that the second law of thermodynamics will eventually take care of him?
Andika hata kwa kilatini au kigiriki....Magufuli hatabiriki na ni kiongozi imara
 
Maybe Bob didn't plunder Tanzania's wealth but he is symbolic of the marauding West plundering the global South.

It is distasteful lumping together a certain society's trait on one person of that society and vice versa. You talked about generalizing. That is generalizing that gave rise to slavery and apartheid.

Can you posit an alternative scenario, a better one for Tanzania?

One would have to start with an unimpeachable clarity of mission and purpose. For example,sheltering Kikwete (and his ilk of enablers) for what he did as Minister while going at Acacia is inconsistently troubling.

Kikwete is suspiciously in Canada at this very moment. What is he doing? Why Canada? Why now of all times?

You seem to trash everybody. Are you offering yourself for leadership, Sir.

My kingdomis not of this world as the wise sage said.

All I hear from you is criticism after criticism. Do you have solutions at all?

There are no solutions that do not germinate from criticism.

Moreover, to a Borg collective minded person, even a detailed solution would look at a detailed critique.

There is an entire book to be written about what is to be done.I hardly have the time. I will give a few nuggets, not by any chance comprehensive or detailed.

We need to be more inclusive, lack of inclusivity hinders our advancement by limiting our talent pool. To his credit, in a very questionable and lackadaisical way, Magufuli can claim to increase inclusivity with his recent appointments of opposition leaders in his government (albeit the criticism is that he is silencing them). The public reading of the famed reports was itself inclusive in that the public got to hear what was written. We have had far too many of these reports that were not made public.

See. I am not all about criticism. I can give a backhanded compliment.

A step further, to increase inclusivity and transparent, would be to make these contracts public. Guinea is already doing it.The World Bank is highly recommending this as a step to curb corruption.

Lack of transparency is a factor that encourages corruption. If Magufuli is really serious about corruption, he should increase inclusivity and transparency.

Also, one cannot have inclusivity and transparency if the opposition is practically banned from employing its constitutional rights to association.

In addition, Magufuli cannot say he is serious about corruption if he does not nab at least one Big Papa of corruption.I am talking Kikwete level of Big Papa. We cannot sit here and pretend that Magufuliis serious about corruption while he was part and parcel of the whole deal and he swore to protect people like Kikwete. I am specifically mentioning Kikwete because Mkapa is largely protected by Presidential Immunity, Kikwete started signing this documents while still a minister and therefore the presidential immunity does not apply back then. Magufuli cannot use the presidential immunitu card to say that Kikwete is untouchable, he is not.

I will fully support Magufuli and say he is serious about grand corruption the day he allows an unbiased investigation into the role Kikwete played.

For now, anything else less than that is a political charade designed to boost Magufuli's standing but with no real substance.

Especially if Kikwete is roaming somewhere in Canada doing god atoms know what with whom, it is not far fetched to think that he is acting as an unofficial go between between Magufuliand Barrick Gold, cutting lord knows what kinds of deals under the table.

That's just the preface of the summary of the tip of the iceberg.
 
Na wewe umeshaingia katika huo mtego?

Waliochota hizo fedha kwa sandarusi kupitia stanbick unawajua?

Tunawajua wengine wako Keko tayari ie Kitilya na Sinare.

Wallah...Sasa Tanzania ina kiongozi. Wale msioona jema lolote kutoka kwa ngosha mjipange huu mkesha siyo wa mwenge!

Juzi mzee wa watu kakomalia makinikia akaambiwa ni porojo mizizi ya ufisadi Kama IPTL anaiogopa.....Leo anakula na singa singa tunaambiwa in movie. Hapana critics WA Ngosha mjipange. Huyu mzee aliaga kule Chato!
 
Andika hata kwa kilatini au kigiriki....Magufuli hatabiriki na ni kiongozi imara

Aegrescere medendo.

Magufuli hatabiriki.

Magufuli si kiongozi imara.

Magufuli si kiongozi imara kwa sababu hatabiriki.

Kiongozi asiyetabirikanikiongozi asiye na principle. Kiongozi mwenye principle anatabirikakwa principle zake.

Kiongozi asiye na principle hawezikuwa kiongozi imara.

Hapoutaona sababu inayomfanya Magufuli asitabirike ndiyo hiyo hiyo inayomfanya asiwe kiongozi imara.
 
Back
Top Bottom