Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Hivi Mwanakijiji hii ni mara yako ya kwanza kuona watu wakipelekwa mahakamani?!

Labda nikukumbushe....

Lyumba baada ya "kuitia hasara" ya mabilioni ya pesa serikali, alipelekwa mahakamani na akaishia kufungwa miaka 2.

Daniel Yona na Mramba walipelekwa mahakamani kisha wakahukumiwa na kuishia kufanya usafi hospitali!!!

Yule jamaa wa Richmond nae alifikishwa mahakamani sidhani kama natakiwa kukumbusha!!!

Mafisadi EPA waliambiwa warudishe pesa staili ambayo imekuwa pia ikifanywa na JPM na walioshia kufungwa na mafisadi uchwara kama akina Maranda!!!

Sasa kinachokufanya umsifie JPM ni nini as if ni jambo jipya?! Au atavaa joho mwenyewe na kusimamia shoo?!

Yaani na maturity yako yote uliyonayo kwenye siasa bado unasukumwa na pepo nyepesi namna hii!!!!

Ni cheerleader ..kazi yake kubwa ni kuwaaminisha watu...kuwa
'nabii kapatikana'
 
Kama mtu alimtimua best wake, akamuondoa bila ving'ora mpiga debe wa chama chake, sidhani kama unaweza kujaribu kucheza kamari dhidi yake na ukaweka hela zako kwamba "hatafanya"... utaliwa..

Ningekuwa mimi ni Tibaijuka, Chenge n.k ningekuwa naishi kwa wasiwasi sana..
Mzee mwenzangu hapo ungesema ningekuwa mimi Tibaijuka, change ningejiandaa kama Donald Trump anavyojiandaa na kutafuta mawakili nguli kabla halijanifikia.
 
Hivi Mwanakijiji hii ni mara yako ya kwanza kuona watu wakipelekwa mahakamani?!

Labda nikukumbushe....

Lyumba baada ya "kuitia hasara" ya mabilioni ya pesa serikali, alipelekwa mahakamani na akaishia kufungwa miaka 2.

Daniel Yona na Mramba walipelekwa mahakamani kisha wakahukumiwa na kuishia kufanya usafi hospitali!!!

Yule jamaa wa Richmond nae alifikishwa mahakamani sidhani kama natakiwa kukumbusha!!!

Mafisadi EPA waliambiwa warudishe pesa staili ambayo imekuwa pia ikifanywa na JPM na walioshia kufungwa na mafisadi uchwara kama akina Maranda!!!

Sasa kinachokufanya umsifie JPM ni nini as if ni jambo jipya?! Au atavaa joho mwenyewe na kusimamia shoo?!

Yaani na maturity yako yote uliyonayo kwenye siasa bado unasukumwa na pepo nyepesi namna hii!!!!
Mbona hujamulewa MM hao kina yona walikua wakati wa Magufuli? Sentensi fupi tu hamuilewi jamani?
 
Leo tena wana CCM wote wamejitoa ufahamu wanshangilia na hili, si mlisema escrow si mali ya serikali? Na Ruge ni mfadhili wa lichama lenu ambalo soon linakufa??

Mkuu mie nimepost hiyo post ya Zitto kuwaonyesha kwamba haya yanayotokea leo ni kutimiza maamuzi ya Bunge lililopita juu ya ESCROW na TAKUKURU walianza kazi tangu wakati huo wakati Magu waziri. But the guy will take credit of it anyway.
 
Wazee wa Makinikia mnahamisha tu magoli baada ya kuchenjuliwa...Mzee Mwanakijiji kawa Mzee fata upepo akili ilipotea baada ya Slaa kukimbilia kwa Mzungu
 
Mbona hujamulewa MM hao kina yona walikua wakati wa Magufuli? Sentensi fupi tu hamuilewi jamani?
Hujui Yona na Mramba wametoka kipindi cha utawala gani kati ya Kikwete na Magufuli? Masamaki je?
 
Hujui Yona na Mramba wametoka kipindi cha utawala gani kati ya Kikwete na Magufuli? Masamaki je?
Sasa ulitaka kama mahakama iliwapa kifungo kidogo wakati wa Kikwete basi Magufuli awaweke tena ndani ili akufurahishe wewe?
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu

Kwahiyo ndio nn sasa? Tumepata nn? Kwahiyo kupiga magoti vile serikali ime-achive nn?,kweli sifa zimekuwa adimu hadi watuhumiwa kupigishwa magoti chini na polisi Raisi anapongezwa [emoji1][emoji1][emoji1], halafu by the way kesi bado inaendelea hawa jamaa wanaweza kushinda kesi pia tukabaki midomo wazi vichwa chini wakatoka pale kwa mi-Range Rover yao wakati waliingia na defender za polisi! Sifa za kijinga zitunze kwanza hadi kesi iishe ndio utoe sifa TASLIMU

By the way CCM hawa hawa ndio walisema zile hela hazikuwa zetu leo wamegeuka tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu

Umeanza sifa za kifacebook bwana mzee!! Hii post yako ingekuwa na maana kama uwepo wa Magufuli ungesaidia kupunguza ugumu wa naisha. Yuko nje ya matarajio ya wengi.
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!
Unachosahau ni kwamba kwa cheerleaders kama wewe vigelegele vya kijinga mara nyingi hufunika kabisa ukosoaji wa busara. Hapa hekima inatakiwa...kumbuka mkurupukaji kula king si ajabu, anaweza hata kula king wake.
 
Umeanza sifa za kifacebook bwana mzee!! Hii post yako ingekuwa na maana kama uwepo wa Magufuli ungesaidia kupunguza ugumu wa naisha. Yuko nje ya matarajio ya wengi.

Ugumu wa maisha sio 'kipaumbele'
mradi watu wanapelekwa mahakamani basi wao hiyo ndo
'biggest achievement'
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu
Hakuna case ya kushinda hapo ni sanaa kwenda mbele. Serikali itashindwa Tukukuru sijui kututu hawana ushahidi. Sijawahi kusikia Tukukuru kushinda case ya aina yoyote hata ya kuiba kuku. Hiki kitengo kifutwe wanatumia kodi zetu bure
 
Usikimbilie kuniita roho mbaya...kwani mangapi yamemshinda na anaishia njiani na mengi ni yao uongo tu? Haaminiki tena huyo mzee wenu

hao waliowahi kuanzisha na kufikisha mpaka mwisho ni akina nani? mtaje mtu mmoja tu!! maana usije kuwa ume crame bure!!
 
Back
Top Bottom