Izimishwe kwani inanini??Naona hili ni la kuzimisha ishu ya makinikia
Rais wetu alishasema kuna wakati halali kwa sbb ya majukumu ya taifa letu. Najua si lawyer lkn kusoma na kutoa maamuzi pia humchukulia muda mwingi na mara zote maamuzi yake ni +ve kwa wapenda haki.
So sioni uhusiano wowote kati ya hizi scandal 2.
Labda ungesema Watanzania maadili na uzalendo juu ya Taifa letu uliisha kabisa ndio mana Rais anapata tabu sana kila uchao.