funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,221
- 31,769
Kwa sababu mwenyekiti wa PAC alikuwa ni mwanachadema?!!Leo tena wana CCM wote wamejitoa ufahamu wanshangilia na hili, si mlisema escrow si mali ya serikali? Na Ruge ni mfadhili wa lichama lenu ambalo soon linakufa??