Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Leo tena wana CCM wote wamejitoa ufahamu wanshangilia na hili, si mlisema escrow si mali ya serikali? Na Ruge ni mfadhili wa lichama lenu ambalo soon linakufa??
Kwa sababu mwenyekiti wa PAC alikuwa ni mwanachadema?!!
 
Akiwashughulikia wezi na mafisadi mfano hili la Escrow anayo sapoti yangu. Lakini akianza siasa na vijembe na mazagazaga ya kujifanya "amegundua" basi hapo ndipo tunapotofautiana naye.

Kwa hatua ya kuwapeleka mahakamani ni nzuri naunga mkono. Lakini sipongezi maana nachelea siasa na sanaa visijetia maji.
 
Akiwashughulikia wezi na mafisadi mfano hili la Escrow anayo sapoti yangu. Lakini akianza siasa na vijembe na mazagazaga ya kujifanya "amegundua" basi hapo ndipo tunapotofautiana naye.

Kwa hatua ya kuwapeleka mahakamani ni nzuri naunga mkono. Lakini sipongezi maana nachelea siasa na sanaa visijetia maji.
 
Hukumu siyo muhimu ila iptl haiwezi pewa leseni wakati hawa wapo lupango. Karasinga najua aliitwa tu!


Mshaanza kuguna guna na kuwataja wazee. Sasa mmeoneshwa kuwa, wale vinara weshawekwa maneti hivyo msiulize tena hao wazee kwani sasa kesi ipo mahakamani. Full stop.
 
Politiq za Bongo zimekuwa makanikia kila dei, yaani full chenga la mzungu kunako Wembley Stadium, tutakoma na mzungu.
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu
Naona nawe zile makala ndeeefu umeona hazikupi kitu. Zinachana mkeka!!!!
 
Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana.
 
At the heart of your post there is a non sequitur argument that since cultured leaders have failed, uncultured ones and buffoons have a chance to prove the opposite.
You are generalizing, Sir. I am making reference to Magufuli, and Magufuli alone. And, by the way, he is not a baffoon. He did clean "cultured" Lowassa's cloak, didn't he?

By the way, Kikwete is as uncultured as they come in that he couldn't even answer Bob Geldof a simple question such as "Why is your country poor?".
That was a rhetorical question. Bob should have answered it himself. You don't plunder a peoples wealth and then ask 'why are you poor?'.

And Kikwete failed to tackle these big questions of resource plunder and corruption.In fact many will say he was a chief facilitator. One staunchly protected by Magufuli to this day, and probably doing Magufuli's unofficial biddings with Barrick Gold in Canada right now!

So that argument is kaput.
What is your point, exactly?

If expectations were all there is that matters in this endeavor, there would be no need for a protracted debate.

Saying that Tanzanians may not be able to predict what Magufuli will do next, but they will like the outcome is a huge contradiction.

You are saying Tanzanians may not be able to predict what Magufuli will do next, then you end up predicting that they will like the outcome!

You are contradicting yourself.
Did you understand the phrase "Past is Prologue? That should answer your assertion that there is any contradiction here. In fact, based on Magufuli's past performance, I dare say it is a complete tautology.

In a country where contradiction is the order of the day, and even the president is a walking contradiction, I find no reason to be surprised by that at all.

It is just how most Tanzanians are.

Duplicitous. Inconsistent. Self-Contradictory.

Exactly why you can't bet against Magufuli in the first place.

Do you think Lowassa would have fared any better, if he were the President?
 
Kuweni na imani yote yanawezekana kwake yeye aaminiye.Roma haikujengwa siku moko.
 
You are generalizing, Sir. I am making reference to Magufuli, and Magufuli alone. And, by the way, he is not a baffoon. He did clean "cultured" Lowassa's cloak, didn't he?

Actually making a reference to Magufuli and Magufuli alone on a matter than spans wider and longer than Magufuli would be generalizing.

Whoever said Lowassa was cultured? How presumptuous!

And who said being cultured has anything to do with winning elections? In Tanzania of all places.


That was a rhetorical question. Bob should have answered it himself. You don't plunder a peoples wealth and then ask 'why are you poor?'.

If it was a rhetorical question, the proper response would have been silence. Cultured people donot answer rhetorical questions lest they appear to be like children who can't tell the difference between an actual question that is to be answered and a rhetorical question that is to be left unanswered.

In your attempt to absolve Kikwete, you are exposing how clueless he was and vindicating my position that he is uncultured.

When did Bob Gldof plunder Tanzania's wealth?
 
Hili la kufikiri kila kitu maigizo maigizo mpaka tuje tutoke huko pana kazi. Tukiishi kwa kukariri kama taifa inabidi tujiangalie makosa yapo "awamu ya kwanza tulifanya makosa kwa sababu sisi sio malaika sasa ningedhani mngerekebisha makosa mkaendelea cha ajabu hata mema tuliyo yafanya mnayahoji? kauli hii aliitoa mwalimu jk Nyerere.
 
Bila katiba mpya hakuna vita ya ufisadi inayoweza kufanikiwa.

Masters wa huu ufisadi ni wale waheshimiwa tulioambiwa tuwaache wapumzike!
 
Naona hili ni la kuzimisha ishu ya makinikia
So asifanye kazi zingine kisa kuna makanikia? Upinzani wa matukio...Jpm ana drive matukio anavyotaka na wapinzani wanafata yale yale
 
Actually making a reference to Magufuli and Magufuli alone on a matter than spans wider and longer than Magufuli would be generalizing.

Whoever said Lowassa was cultured? How presumptuous!

And who said being cultured has anything to do with winning elections? In Tanzania of all places.




If it was a rhetorical question, the proper response would have been silence. Cultured people donot answer rhetorical questions lest they appear to be like children who can't tell the difference between an actual question that is to be answered and a rhetorical question that is to be left unanswered.

In your attempt to absolve Kikwete, you are exposing how clueless he was and vindicating my position that he is uncultured.

When did Bob Gldof plunder Tanzania's wealth?
Maybe Bob didn't plunder Tanzania's wealth but he is symbolic of the marauding West plundering the global South.

Can you posit an alternative scenario, a better one for Tanzania? You seem to trash everybody. Are you offering yourself for leadership, Sir.

All I hear from you is criticism after criticism. Do you have solutions at all?
 
Back
Top Bottom