The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 7,786
- 25,537
Mdau ume-panic hahahPapa amesema Machoko kwa yesu watapata mabwana 72
Mdau ume-panic hahahPapa amesema Machoko kwa yesu watapata mabwana 72
Umeandika ujinga mzeemakotiWakristo Wana chuki kubwa na uislam,,hata mada nyingi humu ni za kuuponda uislam,kero yao kubwa ni kwanini wanawake wa kiislam wanajiifadhi kimavazi, na kwanini waruhusiwe kuoa mke zaidi ya mmoja, wanatamani wanawake wa kiislam watembee uchi Hadi msikitini kama wafanyavyo wanawake wa kikristo kwenda uchi kwenye Ibada,
Na pia wanaume wa kiislam wawe na vimada kuliko kuwa na wake wa ndoa......hii dini ya mazuzu !unakuta jitu Lina elimu linatapeliwa na kina kuhani Musso,au na mwampesa
Mavazi yasiyo na heshima ni mtizamo wa kijamii, kimini ni vazi lisilo na heshima kwa Waswahili wa bongo ila nchi nyingine nyingi ni vazi la kawaida tu, Magharibi walichukua dini ya Ukristo ila hawakuchukua au kuzingatia sana utamaduni wa Wayahudi au wa mashariki ya kati wa mavazi ya kujifunika ghubighubi, vyakula na usafi. Waislamu walichukua dini ya Uislamu na sehemu kubwa ya utamaduni wa zamani wa mavazi wa baadhi ya jamii za mashariki ya kati na ndio wanalazimisha sana ionekane hayo mavazi ya majuba, niqab, hijab na ushungi ni mavazi ya heshima.Nimekuambia, hakuna dini hata moja ambayo nimewahi kusikia kuwa inahamasisha waumini wake wavae mavazi yasiyo ya heshima. Kama ipo, niambie ni ipi.
Awe mkeo au dadako au binti yako, sidhani utapenda avae mavazi yanayoonesha sehemu ambazo kila mmoja anajua kuwa zinatakiwa kusitiriwa, na hilo siyo kwa sababu ya kuogopa kuwa atatongozwa, bali ni kulinda maadili ya jumla. Hata wewe hapo ukawa na dadako, amevaa hovyo, ni dhahiri kuvaa kwake hovyo hakuwezi kukufanya wewe umtongoze, lakini itakukera kwa vile dadako inaonekana haheshimu utu wake.
Kuna kosa linafanyika, tendo la mtu binafsi iwe huyo mtu ni mkristo au muislam au wa dini nyingine yoyote, lisichukuliwe kuwa ndiyo mafundisho au maagizo ya dini yake. Mimi mwenyewe, miaka ya huko nyuma nilienda beach hotel ilikuwa inaitwa Silversands Hotel muda wa jioni, mita chache kabla ya kufika hotelini tumawaona mabinti wanavua hijabu, wanabakia na vimini, zile hijabu wanawapa vijana wawatunzie. Nilishtuka, nilipowauliza wazoevu wa.mazingira yale, nilishangaa. Lakini ujumbe wa wazi nilioupata ni kwamba wale mabinti ni lazima wanatoka kwenye familia zisizoruhusu uvaaji wa namna ile, lakini ambaye hakumwona wakati anatoa hizo hijab, kama akimwona vile alivyokuwa na vimini, na akijua ni muislam, unataka aamini kuwa uislam ndiyo umemwelekeza avae vile. Nilienda Zanzibar, nako ni vile vile, tena naona kule imekuwa rasmi. Kwenye mahoteli makubwa yale ya kitalii, mabinti wa kiislam wanatoka majumbani na hijabu, wakifika pale kuna chuma maalum cha kwenda kubadilishia nguo, wanatoka na vimini.
Ndiyo maana tunasema kuwa kwenye imani, mfundishe muumini anachotakiwa kufanya, uamuzi wa mwisho ni wa kwake. Huwezi kulazimisha imani, la sivyo utadanganywa. Mimi sinywi pombe, siyo kwa sababu ya imani, bali mwenyewe siamini kaa ni kinywaji chema. Kwa sababu hicho ndicho ninachokiamimi, siyo rahisi mtu kunibadilisha. Lakini wapo waislam ambao wanaambiwa wasinywe pombe, wanakubali, lakini wakitoka hapo, wanaitafuta hata kwa gharama kubwa, lazima wapate. Nenda Saud Arabia, ukishuka tu uwanja wa ndege wa Riadhi, unaanza kufuatwa na waarabu wa pale, kwa siri wanaanza kukuuliza kama unataka pombe au mwanamke, uwaambie utakuwa hoteli gani ili wakuletee. Lakini Saud Arabia, biashara ya pombe na ukahaba imezuiwa. Ukienda kwenye takwimu za ununuzi wa mitambo ya kutengenezea pombe majumbani toka Marekani, Saudi Arabia ndiyo nchi inayoongoza kununua. Kwa hiyo ina maana pombe haitengenezwi kwenye viwanda rasmi, inatengenezwa majumbani
Kwamba kule peponi hakuna mabikra 72?Tambua kuwa kabla yako walikuwepo watu mithili yako waliokuwa bora na wenye nguvu zaidi yako..Lakini kutokana na kiburi na dhihaka zao mwisho wao ulikuwa mbaya...!!
Mungu anasema kuwa
Quran 46:26
"Na bila ya shaka tuliwaweka vizuri sio kama tulivyo kuwekeni nyinyi; na tuliwapa masikio, na macho, na nyoyo. Na hayakuwafaa kitu masikio yao, wala macho yao, wala nyoyo zao kwa lolote. Kwani hao walikuwa wakizikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na yale waliyo kuwa wakiyafanyia maskhara ndiyo yakawazunguka"
Ukiona mwanaume anajisifia kua anajua kutukana, ujue kuna walakini.....Hawa machoko wa kigalatia wala wasikupe tabu, ingia kwenye hizo na matusi ya kutosha tu mpaka wanaikimbia mada yao, tangu lini upoteze kulumbana na mashoga
sisi wanatukimbia maana mabanzi mwanzo mwisho humuhumu.
Wanatujua humu kila siku wanatutagi tunaingia kuifunga mada na matusi mwanzo mwisho
Nami nasema ni aheri kitojihusisha na ngono ungali hai ilikusudi ukifika peponi mabikra 72 wawe halili yako. Hii ndiyo sababu Mimi nanyetuka tu katika kipindi chote Cha maisha yangu hapa duniani.Salama leko. Nimefurahi kuona kijana ameamua kujiunga nasi kuja kupata mademu wakali 72 bikra. Tena bikra zinazoziba kila baada ya kumaliza tendo na wenye utamu kupitiliza. Aje huku sisi hatuna mambo mengi. Ni kuwachapa nao tu akina faiza foxy na huyu somebody anna bella mwanzo mwisho. Hakuna kulala.
Nami nasema ni aheri kitojihusisha na ngono ungali hai ilikusudi ukifika peponi mabikra 72 wawe halili yako. Hii ndiyo sababu Mimi nanyetuka tu katika kipindi chote Cha maisha yangu hapa duniani.
Tangu December 2025 nilianza kufanya mazoezi ya kegel ili kujiweka fiti kwa ajili ya kutoana jasho na mabikra 72 walioandaliwa kwa ajili yangu.Bro SECRETARY BIRD ww piga zoez ili ukawakaze vizur wanawake wa peponi.
Hili hapa shoga limejiletawanakimbiaga machoko wenzako, lini mwerevu alimkimbia kobozi kwa matusi yake? Unatetea kitu usichokijua we mswahili wa kibongo, kula kitimoto upate afya
Punga hilo tako lako halichomoki lazima libarikiwe hata kama humtaki papahuyo ni papa wako we kobazi choko
Hata kichwa cha mgalatia mimi nafyekaUkiona mwanaume anajisifia kua anajua kutukana, ujue kuna walakini.....
ModeratorHata kichwa cha mgalatia mimi nafyeka
Mbona juzi kati tumepukitisha wengi sana
Kwahiyo ukiwaita hao ili iweje
Machoko wamejazana misikitini tena wameoa kabisa mfano mzuri afande Rama msijifanye mmemsahau piq mtoto wa bi msumi amekiri kufirwa na majiniPapa amesema Machoko kwa yesu watapata mabwana 72
Pinga hoja kwa hoja usizuie watu kutoa hoja.Dokezo kuhusu Dini ya Uislam
Kumekuwa na watu wengi kuupinga uislam kwa nguvu zote ila nasema hili na najua wengi litawafikia "mara Mia ufanye mambo yako kuliko kuingilia mambo ya dini ya kiislam na mbaya hauna uhakika wa chochote mnachosema sasa basi we nyamazenu tuuu msirundike maneno yoyote kwa namna yoyote ni ushauri tu msije sema hatukuwaambia
Kwa sababu mada zipo nyingi
Unajibu kujifurahusha na vistori vya kichokoMachoko wamejazana misikitini tena wameoa kabisa mfano mzuri afande Rama msijifanye mmemsahau piq mtoto wa bi msumi amekiri kufirwa na majini
Kote kote naona hali hiyo hiyo. Wanaotapeliwa na kuhani mussa hawana tofauti na wanaotapeliwa na kina sheikh Kishk.Wakristo Wana chuki kubwa na uislam,,hata mada nyingi humu ni za kuuponda uislam,kero yao kubwa ni kwanini wanawake wa kiislam wanajiifadhi kimavazi, na kwanini waruhusiwe kuoa mke zaidi ya mmoja, wanatamani wanawake wa kiislam watembee uchi Hadi msikitini kama wafanyavyo wanawake wa kikristo kwenda uchi kwenye Ibada,
Na pia wanaume wa kiislam wawe na vimada kuliko kuwa na wake wa ndoa......hii dini ya mazuzu !unakuta jitu Lina elimu linatapeliwa na kina kuhani Musso,au na mwampesa
Umeandika jambo zuri, sioni sababu ya kuchukua dini ya mwingine.Elewa mada mjomba
Unavosema hakufua dafu mda haujafika mzee
Pia mimi nmekuja hapa kukutadharisheni kwakuw mnapinga ushahid wa maneno yote na yapo wazi kweny kitabu kitukufu (Quran) na bado mmeyapinga basi tulieni subirini hukumu ila sio kuleta mada za kijinga kuhusu uislam kwasbb hata mlete mada kias gan uislam ulikuja mpya na utaondoka ukiwa mpya na bado hata mjiteteee kivipi ukwel mnaujua ndani ya nafsi zenu kwaiyo kama unajua kabisa wewe umeshindwa kuamini uislam kaa tulia subiri hukum yako ila sio kuongeza chuki juu ya uislam kwani hutoongeza zaid bali utakuwa ni kama unautangaza zaidi
Uislamu umekuja kwa ajili ya watu wote, ndio maana tunambiwa mbora wenu ni Mchamungu.We ndio una uchungu sana na uislam? Labda kama we ni mwarabu hapo sawa, ila kama we ni mmatumbi ujue unatetea kitu usichokijua. Uislam una wenyewe, sio wewe mmatumbi wa madongokuinama