Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

We ndio una uchungu sana na uislam? Labda kama we ni mwarabu hapo sawa, ila kama we ni mmatumbi ujue unatetea kitu usichokijua. Uislam una wenyewe, sio wewe mmatumbi wa madongokuinama
Mzee kausome uislam vizuri kisha rudi hapa na kama una bisha lete aya zako namm nilete zangu tuone ukwel upo wap
 
Hawa machoko wa kigalatia wala wasikupe tabu, ingia kwenye hizo na matusi ya kutosha tu mpaka wanaikimbia mada yao, tangu lini upoteze kulumbana na mashoga
sisi wanatukimbia maana mabanzi mwanzo mwisho humuhumu.
Wanatujua humu kila siku wanatutagi tunaingia kuifunga mada na matusi mwanzo mwisho
Asante mkuu lakn angalau wamejua wasije sema hatukuwaambia
 
Wa kwanza ni wa kwanza tu.
Heshima iwepo.

Wakristo hatuna shida na Waislam.
Na tunawaheshimu.

Shida na chokochoko huwa wanaanza wao kwa kuona Wakristo wamepotea.

Na kwamba wao ndio dini sahihi.
Kitu ambacho sio kweli na hakuna mkristo atakubali.

Ni kweli kama ulivyosema.
Busara ni wao wanyamaze .
Na Hakutakuwa na nywi nywi nywi.
 
Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Kumekuwa na watu wengi kuupinga uislam kwa nguvu zote ila nasema hili na najua wengi litawafikia "mara Mia ufanye mambo yako kuliko kuingilia mambo ya dini ya kiislam na mbaya hauna uhakika wa chochote mnachosema sasa basi we nyamazenu tuuu msirundike maneno yoyote kwa namna yoyote ni ushauri tu msije sema hatukuwaambia

Kwa sababu mada zipo nyingi
Wakristo Wana chuki kubwa na uislam,,hata mada nyingi humu ni za kuuponda uislam,kero yao kubwa ni kwanini wanawake wa kiislam wanajiifadhi kimavazi, na kwanini waruhusiwe kuoa mke zaidi ya mmoja, wanatamani wanawake wa kiislam watembee uchi Hadi msikitini kama wafanyavyo wanawake wa kikristo kwenda uchi kwenye Ibada,
Na pia wanaume wa kiislam wawe na vimada kuliko kuwa na wake wa ndoa......hii dini ya mazuzu !unakuta jitu Lina elimu linatapeliwa na kina kuhani Musso,au na mwampesa
 
Papa amesema Machoko kwa yesu watapata mabwana 72
Iv we unaesema yesu unamjua wewe au unabwabwaja tu mzee msome huyo unaesema ndo mungu wako yesu vzr kisha ukuje kwanza ye mwenyew atawakataa siku ya hukumu atasema walianzisha haya mambo nikiwa tyr nmeondoka dunian pia mjue atarudi kwaiyo akirud atawakataa kuanzia hapa dunian ila nna wasiwasi kipindi hiicho hutokuwepo mzee pili mnajingamba sana kuhusu yesu ye mwnyw kasema kuwa alikuja kwa ajili ya wana wa Israel 🇮🇱 tu sasa niambie ww Israel unaijua hata kwa sura😅 au ndo ivo kujipendekeza hahaha haya bhan ila usiwe utan we ni mtu mzima bila shaka eb kaufuate uislam uuusome na usome huo ukrist wako afu kaa pembeni jiangalie linganisha uone ukwel upo wap kisha urudi hapa nikusilimishe
 
Wakristo Wana chuki kubwa na uislam,,hata mada nyingi humu ni za kuuponda uislam,kero yao kubwa ni kwanini wanawake wa kiislam wanajiifadhi kimavazi, na kwanini waruhusiwe kuoa mke zaidi ya mmoja, wanatamani wanawake wa kiislam watembee uchi Hadi msikitini kama wafanyavyo wanawake wa kikristo kwenda uchi kwenye Ibada,
Na pia wanaume wa kiislam wawe na vimada kuliko kuwa na wake wa ndoa......hii dini ya mazuzu !unakuta jitu Lina elimu linatapeliwa na kina kuhani Musso,au na mwampesa
Sahihi akhy yan unakuta jitu lina hadi degree ila linadanganywa na lenyewe linatiii tu ujinga ulioje huu
 
Asante mkuu lakn angalau wamejua wasije sema hatukuwaambia

Amesema atafunga mada na matusi 😂😂😂😂.

Naona ndio dhamira yake.
Matusi. Hakuna zaid ya hilo.
Maana Hakuna hoja .

Hatujibi matusi.

Ukibishana na kichaa. Watu watadhan mko vichaa wawili.

Ukijibizana na Mpumbavu . Watu watadhan mko wapumbavu wawili.

Ndio maana anapuuzwa.
 
Wa kwanza ni wa kwanza tu.
Heshima iwepo.

Wakristo hatuna shida na Waislam.
Na tunawaheshimu.

Shida na chokochoko huwa wanaanza wao kwa kuona Wakristo wamepotea.

Na kwamba wao ndio dini sahihi.
Kitu ambacho sio kweli na hakuna mkristo atakubali.

Ni kweli kama ulivyosema.
Busara ni wao wanyamaze .
Na Hakutakuwa na nywi nywi nywi.
Mkuu unawezaje kusema unafuata uongozi wa magufuli wakati saiv kuna samia elewa mada mkuuu
 
Iv we unaesema yesu unamjua wewe au unabwabwaja tu mzee msome huyo unaesema ndo mungu wako yesu vzr kisha ukuje kwanza ye mwenyew atawakataa siku ya hukumu atasema walianzisha haya mambo nikiwa tyr nmeondoka dunian pia mjue atarudi kwaiyo akirud atawakataa kuanzia hapa dunian ila nna wasiwasi kipindi hiicho hutokuwepo mzee pili mnajingamba sana kuhusu yesu ye mwnyw kasema kuwa alikuja kwa ajili ya wana wa Israel 🇮🇱 tu sasa niambie ww Israel unaijua hata kwa sura😅 au ndo ivo kujipendekeza hahaha haya bhan ila usiwe utan we ni mtu mzima bila shaka eb kaufuate uislam uuusome na usome huo ukrist wako afu kaa pembeni jiangalie linganisha uone ukwel upo wap kisha urudi hapa nikusilimishe

Mkristo kupotea ww ina kuuma nini?.

Ww huujui Uislam.
Umekariri kwa juu juu.

Dini yenu imeikuta Ukristo.
Acha iwe hivyo. Usiforce kufanana wala kujinasaba na wakristo. Waache.
 
Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Kumekuwa na watu wengi kuupinga uislam kwa nguvu zote ila nasema hili na najua wengi litawafikia "mara Mia ufanye mambo yako kuliko kuingilia mambo ya dini ya kiislam na mbaya hauna uhakika wa chochote mnachosema sasa basi we nyamazenu tuuu msirundike maneno yoyote kwa namna yoyote ni ushauri tu msije sema hatukuwaambia

Kwa sababu mada zipo nyingi
Tabia. Mbaya za waarabu zimefanya tuuchukie uislamu
 
Elewa mada mjomba
Unavosema hakufua dafu mda haujafika mzee
Pia mimi nmekuja hapa kukutadharisheni kwakuw mnapinga ushahid wa maneno yote na yapo wazi kweny kitabu kitukufu (Quran) na bado mmeyapinga basi tulieni subirini hukumu ila sio kuleta mada za kijinga kuhusu uislam kwasbb hata mlete mada kias gan uislam ulikuja mpya na utaondoka ukiwa mpya na bado hata mjiteteee kivipi ukwel mnaujua ndani ya nafsi zenu kwaiyo kama unajua kabisa wewe umeshindwa kuamini uislam kaa tulia subiri hukum yako ila sio kuongeza chuki juu ya uislam kwani hutoongeza zaid bali utakuwa ni kama unautangaza zaidi
Tofautisha kati ya chuki na spana,nyie vipedo zamani zile mlikua mnajifanya wajanja sana kuandaa vimihadhara na maandiko uchwara ya matusi kwa ukristo na wakristo wakawa wapole tu,naona sasa kibao kimegeuka Wakristo wameamka na kuisoma Quran na kugundua ni kichekesho ndio maana saa hizi mnalia lia maana spana mnazopigwa ni VIP na hamna hoja za kujibu zaidi ya kujihami na vitisho uchwara!
😁😁
 
Mkristo kupotea ww ina kuuma nini?.

Ww huujui Uislam.
Umekariri kwa juu juu.

Dini yenu imeikuta Ukristo.
Acha iwe hivyo. Usiforce kufanana wala kujinasaba na wakristo. Waache.
Sjakataaa mkuu ila naomb nikwambie tu yesu mwenyw kasema

Injili ya Yohana 16:7–8
“Ni vema niondoke, kwa maana nisipoondoka Msaidizi hatakuja… naye atakuja na kuuhukumu ulimwengu.”

Injili ya Yohana 16:12–13
“Ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa. Lakini huyo Roho wa kweli atakapokuja, atawaongoza katika kweli yote.”

Qur’an 5:3

“Leo nimewakamilishieni dini yenu, na nimewatimizieni neema Yangu, na nimeridhia Uislamu uwe dini yenu.” sasa naomba naww hoja zako kwa aya ili twende sawaa
 
Tofautisha kati ya chuki na spana,nyie vipedo zamani zile mlikua mnajifanya wajanja sana kuandaa vimihadhara na maandiko uchwara ya matusi kwa ukristo na wakristo wakawa wapole tu,naona sasa kibao kimegeuka Wakristo wameamka na kuisoma Quran na kugundua ni kichekesho ndio maana saa hizi mnalia lia maana spana mnazopigwa ni VIP na hamna hoja za kujibu zaidi ya kujihami na vitisho uchwara!
😁😁
Spana gani mkuu lete mezani tuchambue tuache maneno
 
Tabia. Mbaya za waarabu zimefanya tuuchukie uislamu
Samaki 1 akioza unamtoa mzee pili unavosema waarabu wamefany uuchukie uislam hao ni watu tu zingatia tu kitabu cha Mungu kinasema vipi na je unayofanya katka jamii yako ni sahihi kwa sbb mabadiliko yanaanzia kwa mtu mmojammoja
 
Sjakataaa mkuu ila naomb nikwambie tu yesu mwenyw kasema

Injili ya Yohana 16:7–8
“Ni vema niondoke, kwa maana nisipoondoka Msaidizi hatakuja… naye atakuja na kuuhukumu ulimwengu.”

Injili ya Yohana 16:12–13
“Ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa. Lakini huyo Roho wa kweli atakapokuja, atawaongoza katika kweli yote.”

Qur’an 5:3

“Leo nimewakamilishieni dini yenu, na nimewatimizieni neema Yangu, na nimeridhia Uislamu uwe dini yenu.” sasa naomba naww hoja zako kwa aya ili twende sawaa

Dah!

Kwahiyo Mohamed ndio hiyo Roho?.
 
Back
Top Bottom