Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Muislam wa Kilwa masoko anasema mpira ni haramu ila Saudia Arabia wenye Macca na Madina yao wana ligi ya mpira kabisa 😂
Dini yetu haiangalii watu na ndio maana Wanazuoni wote wa Saudia wanasema mpira haramu.

Shida hamna akili, mara ngapi watu wanajua kitu fulani ni dhambi na wanakifanya ?

Mmekuwa na chuki dhidi ya Waislamu mpaka mmekuwa wajinga.

Nani asiyejua ya kuwa wizi au uzinifu ni jambo baya, na watu wanafanya ?

Dini yetu sisi haiwategemei Wasaudia, wala waarabu wowote, Bali dini yetu sisi ni Qur'an, Sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia.
 
unabwabwaja tu mzee msome huyo unaesema ndo mungu wako yesu vzr kisha ukuje kwanza ye mwenyew atawakataa siku ya hukumu
Moja ya kitu sikubaliani nacho ni hiki kutisha watu siku ya hukumu.

Mmejenga misingi ya kutisha watu ili waamini kile mnachoamini. Huyo hata Kama angemkataa yesu na kumfuata Muhammad, ikiwa matendo yake ni ya hovyo bado ni kazi bure.
Mfano wewe ni muislam na unasema uislam ndio dini ya kweli ya Mungu, je matendo yako yanasadifu? Si mzinzi? Si muongo? So mwizi? Si mnafki?

Kuwa muislam ni kazi bure ikiwa maisha yako ya kila siku yamejaa dhambi.
 
We ndio una uchungu sana na uislam? Labda kama we ni mwarabu hapo sawa, ila kama we ni mmatumbi ujue unatetea kitu usichokijua. Uislam una wenyewe, sio wewe mmatumbi wa madongokuinama
Mnafikiri Uislamu ndio kama ukafiri wenu ambao ni WA watu fulani kuanzia mavazi mpaka vyeo ? Kwanini hapajawahi kuwa na papa Muafrika yaani mtu mweusi ?

Au kwanini viongozi wenu kwenye I ada wanavaa mavazi tofauti na waumini ? Halafu bado hapo mnadai Kuna dini au Kuna Imani ?

Akili hamna, halafu mnakuja kuwazulia Waislamu ambao mavazi ya Mwanachuoni ni hayo hayo ambayo wewe raia unavaa bali wanawazuoni weusi wako wengi. Halafu unadai Uislamu una wenyewe ?
 
Wa kwanza ni wa kwanza tu.
Heshima iwepo.

Wakristo hatuna shida na Waislam.
Na tunawaheshimu.

Shida na chokochoko huwa wanaanza wao kwa kuona Wakristo wamepotea.

Na kwamba wao ndio dini sahihi.
Kitu ambacho sio kweli na hakuna mkristo atakubali.

Ni kweli kama ulivyosema.
Busara ni wao wanyamaze .
Na Hakutakuwa na nywi nywi nywi.
Kwahiyo kama Ukristo ni upotevu tusiwaambie ? Hili halibadilishi chochote hata tukikaa kimya.

Ukristo ni UKAFIRI na ni UPOTEVU, akubali atakaye kubali na achukiye atakaye chukia.
 
Spana ya kwanza ni nyie makafiri kuikataa Biblia kua ni fake na bado mkiitumia hiyo hiyo fake kujenga hoja zenu za kwenye Quran mfano ni comment yako hapo juu umeqote injili ya Yohana 16:7 Yesu anasema ataondoka na kuacha msaidizi amabaye ni roho Mtakatifu na hapo lengo lako useme huyo msaidizi ni Muhammad Hahaha mnahangaika nyie!
😅😅
Kijana usijifariji, tamko ukafiri ni tamko maalumu kwa wale wote wanao ukataa Uislamu.

Kwahiyo unapoteza muda kulitumia hilo tamko kwa Waislamu au kwenye Uislamu.
 
Mnafikiri Uislamu ndio kama ukafiri wenu ambao ni WA watu fulani kuanzia mavazi mpaka vyeo ? Kwanini hapajawahi kuwa na papa Muafrika yaani mtu mweusi ?

Au kwanini viongozi wenu kwenye I ada wanavaa mavazi tofauti na waumini ? Halafu bado hapo mnadai Kuna dini au Kuna Imani ?

Akili hamna, halafu mnakuja kuwazulia Waislamu ambao mavazi ya Mwanachuoni ni hayo hayo ambayo wewe raia unavaa bali wanawazuoni weusi wako wengi. Halafu unadai Uislamu una wenyewe ?
Papa mweusi wamewahi kuwepo. Hivyo hii hoja yako si ya kweli

Kuhusu viongozi kuvaa mavazi tofauti wakati wa ibada. Huu ni utaratibu ulioamriwa kuendesha ibada
 
Nimekuambia, hakuna dini hata moja ambayo nimewahi kusikia kuwa inahamasisha waumini wake wavae mavazi yasiyo ya heshima. Kama ipo, niambie ni ipi.
Kama jibu ni hivyo kinyume chake ni sahihi. Je wanakemea waumini wake kutovaa mavazi ya heshima ?

Kama wanakemea wanachukua hatua gani pindi waumini wake wakienda nusu uchi ?

Shida dini yenu ina mapungufu mengi sana, haielezei stara ya Mwanamke ikoje wala stara ya mwanaume ikoje.
 
Dini yetu haiangalii watu na ndio maana Wanazuoni wote wa Saudia wanasema mpira haramu.

Shida hamna akili, mara ngapi watu wanajua kitu fulani ni dhambi na wanakifanya ?

Mmekuwa na chuki dhidi ya Waislamu mpaka mmekuwa wajinga.

Nani asiyejua ya kuwa wizi au uzinifu ni jambo baya, na watu wanafanya ?

Dini yetu sisi haiwategemei Wasaudia, wala waarabu wowote, Bali dini yetu sisi ni Qur'an, Sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia.
Uislam hautegemei wasaudia? Mkuu kwani Quran iliandikwa na nani?
 
Kama jibu ni hivyo kinyume chake ni sahihi. Je wanakemea waumini wake kutovaa mavazi ya heshima ?

Kama wanakemea wanachukua hatua gani pindi waumini wake wakienda nusu uchi ?

Shida dini yenu ina mapungufu mengi sana, haielezei stara ya Mwanamke ikoje wala stara ya mwanaume ikoje.
Wanawake wanaovaa vibaya huwa wanarudishwa.

Mkuu uislam huwa hautambui maulid, lakini kwa nn wapo mamilion ya waislam bado husheherekea maulid na kufanya ibada ya maulid? Hii maana yake uislam una mapungufu?

Huwa mnasema qaswida ni Haram, mbona bado zinafanyika? Hamzipigi marufuku?
 
Wanawake wanaovaa vibaya huwa wanarudishwa.

Mkuu uislam huwa hautambui maulid, lakini kwa nn wapo mamilion ya waislam bado husheherekea maulid na kufanya ibada ya maulid? Hii maana yake uislam una mapungufu?

Huwa mnasema qaswida ni Haram, mbona bado zinafanyika? Hamzipigi marufuku?
Maana yake unakubali ya kuwa kuleta uhusiano wa Uislamu ma waarabu mnakosea au mpoa sahihi ? Maana mnadai Uislamu una una wenyewe.

Ushawahi kuona Wanawake wa Kiislamu wanaenda uchi hata hao wanaosehrehekea maulidi ? Jibu ni hapana.

Unalo andiko lolote ambalo linaelezea mavazi ya Mwanamke yanatakiwa yawe vipi kwenye Ukristo na mavazi ya wanaume yanatakiwa yawe vipi ?

Ama kuhusu Maulidi, na Qasida kwetu sisi hakuna andiko hata Moja linalohimiza watu wafanye maulidi au waimbe Qaswida. Hivi ni vitu viwili tofauti.
 
Maana yake unakubali ya kuwa kuleta uhusiano wa Uislamu ma waarabu mnakosea au mpoa sahihi ? Maana mnadai Uislamu una una wenyewe.

Ushawahi kuona Wanawake wa Kiislamu wanaenda uchi hata hao wanaosehrehekea maulidi ? Jibu ni hapana.

Unalo andiko lolote ambalo linaelezea mavazi ya Mwanamke yanatakiwa yawe vipi kwenye Ukristo na mavazi ya wanaume yanatakiwa yawe vipi ?

Ama kuhusu Maulidi, na Qasida kwetu sisi hakuna andiko hata Moja linalohimiza watu wafanye maulidi au waimbe Qaswida. Hivi ni vitu viwili tofauti.
Mkuu unawezaje kutenganisha uhusiano wa uislamu na uarabu? Msingi wa uislam ni Quran, Quran iliandikwa na nani?
Wao walioandika Quran unawezaje kujitenganisha na kile walichokiandika?

Swali langu lilikua ikiwa maulid na Qaswida ni Haram, kwa nn bado mnaendelea nazo huko kwenye ibada?
 
Swali langu lilikua ikiwa maulid na Qaswida ni Haram, kwa nn bado mnaendelea nazo huko kwenye ibada?
Wanaendelea nazo kwenye ibada gani ? Niambie hizo ibada ni zipi ? Usichanganye mambo.
Mkuu unawezaje kutenganisha uhusiano wa uislamu na uarabu? Msingi wa uislam ni Quran, Quran iliandikwa na nani?
Wao walioanika Quran unawezaje kujitenganisha na kile walichokiandika?
Kuna uarabu na waarabu, elewa maneno yupo mwenzako alisema alisema Uislamu una wenyewe kwa maana Uislamu wa Waarabu.
 
SWALI: je uislam ni dini au ni harakati za ksiasa? ni kwann kuenezwa kwake huwa ni kwa vita na kupndua serikali ya kiraia na kuweka ya kidini? kwani bila kutawala hauwez kuenezwa? mbona dunian kuna dini kongwe kbs kuliko uislam na bdo hazna mambo ya kupgana ili zienee wala hakuna mission za kupndua serikali why ni uislam?
 
Wanaendelea nazo kwenye ibada gani ? Niambie hizo ibada ni zipi ? Usichanganye mambo.

Kuna uarabu na waarabu, elewa maneno yupo mwenzako alisema alisema Uislamu una wenyewe kwa maana Uislamu wa Waarabu.
Mnaendelea kusheherekea sikukuu ya maulid na huwa mnafanya ibada. Hapa hujaelewa kipi?

Huyo aliyesema uislam una wenyewe, alikosea. Mm nimejibu kile wewe ulichoandika maana ulitaka kuutenga uislam na uarabu, ndio maana nikakumbusha utautenga vipi uoslam n uarabu ikiwa waarabu ndio walioandika Quran
 
SWALI LA 2: ni kwanini huyo aitwaye allah mungu wa waislam anapganiwa na wanadamu wafuasi wake, yeye ni mungu gn wa kupganiwa na watu? je hana nguvu za kujpgania ili kuonyesha nguvu na uwezo wake?
 
Mnafikiri Uislamu ndio kama ukafiri wenu ambao ni WA watu fulani kuanzia mavazi mpaka vyeo ? Kwanini hapajawahi kuwa na papa Muafrika yaani mtu mweusi ?

Au kwanini viongozi wenu kwenye I ada wanavaa mavazi tofauti na waumini ? Halafu bado hapo mnadai Kuna dini au Kuna Imani ?

Akili hamna, halafu mnakuja kuwazulia Waislamu ambao mavazi ya Mwanachuoni ni hayo hayo ambayo wewe raia unavaa bali wanawazuoni weusi wako wengi. Halafu unadai Uislamu una wenyewe ?
jamaa ni lijinga sn ww, hujui mavaz ya kanzu, ijabu nk ni utamaduni wa middle east na wala ahusiani na dini ya uislam na utambue wny dini yao waarabu walileta dini yao wakaleta na tamaduni zao ndani ya dini, hujui hata wakristo na wasio na dini huko middle east wanavaa mavazi yanayofanana wote kataa sasa, wayahudi wanavaa kanzu toka enzi na enzi na si waislam sbb huo ni utamaduni wa huko hauna cha dini, msengerema wewe, ni kheri niwe shetani kuliko kuwa muislam dini ya harakati za ksiasa.
 
Dini yetu haiangalii watu na ndio maana Wanazuoni wote wa Saudia wanasema mpira haramu.

Shida hamna akili, mara ngapi watu wanajua kitu fulani ni dhambi na wanakifanya ?

Mmekuwa na chuki dhidi ya Waislamu mpaka mmekuwa wajinga.

Nani asiyejua ya kuwa wizi au uzinifu ni jambo baya, na watu wanafanya ?

Dini yetu sisi haiwategemei Wasaudia, wala waarabu wowote, Bali dini yetu sisi ni Qur'an, Sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia.
fala wa macca wewe kama unajua dini ni daftari lenu kuran ni kwann mnahusisha mambo ya papa sjui ushoga na ukristo wkt BIBLI KITABU KITAKATIFU hakuna sura wala neno lolote linalounga mkono ushoga kama lipo lete hapa, sa kama mtu kaamua kuwa choko mwnyw vinahusiana vp na ukristo. Nipo tyr mimi ndiye niwe shetani na shetani asamehewe kuliko kuwa muislam.
 
Kwahiyo kama Ukristo ni upotevu tusiwaambie ? Hili halibadilishi chochote hata tukikaa kimya.

Ukristo ni UKAFIRI na ni UPOTEVU, akubali atakaye kubali na achukiye atakaye chukia.

Umeombwa?.
Unajipendekeza pendekeza ya nin?

Yaan mchukue visa vya biblia.
Mmtaje Yesu na kumpa sifa lukuki kuliko yoyote kwenye Quran.

Mkijua kwa kufanya hivyo mtawachota akili wakristo.

Kamwe haiwez tokea.
Ndio maana tunawashangaa.

Kwahiyo mkitugusa na sisi tunakuja na hoja zilizo dhabiti kuthibitisha kuwa yule kijana aliyeoa mshangazi akiwa na miaka 25. Na akafika miaka 40 aliwahadaa wazi wazi.
Ana akili tu ya kuchota wapumbavu.
Mwelevu hawez akachotwa.
 
Mnaendelea kusheherekea sikukuu ya maulid na huwa mnafanya ibada. Hapa hujaelewa kipi?

Huyo aliyesema uislam una wenyewe, alikosea. Mm nimejibu kile wewe ulichoandika maana ulitaka kuutenga uislam na uarabu, ndio maana nikakumbusha utautenga vipi uoslam n uarabu ikiwa waarabu ndio walioandika Quran

Hauwezi kuutenga.

Kabla ya Quran.

Waarabu walikuwa
  • wanasali.
  • Wanafunga mwez wa ramadhan na ashura.
  • walikuwa wanaenda Kaaba.

Waarabu wakuresh (wapagani) walikuwa wanaabudu miungu 360 na kufanya hayo yote matatu kabla hata ya Uslam.

Mtume alivyoleta dini yake akayabeba yote hayo akaingiza kwenye Uislam.
Alichobadili ni kusema Mungu ni mmoja anaitwa allah.
Tu. Hiko tu kimoja. Alichobuni yeye.

Vingne vyote
  • kabeba kutoka kwa Wakristo.
  • kabeba kutoka kwa Wapagan wa Kikuresh.

Na akapata wafuasi wa kiarabu weng.
 
Back
Top Bottom