Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Kama we ni kijana wa kisasa GEN Z unashangaza kuamini uislam na hadithi zake ila kama ni mzee mpuuzi endelea kuamini upuuzi huo maana uliishaoshwa akili zako asilia za kimatumbi ukaingiziwa akilili za kiislam ili utawaliwe vema kwa utamaduni wa kiarabu. Quran inakuhusu nini mwafrika mweusi mtanganyika wa kigoma ujiji kama si ujinga kuaminishwa mentality za utumwa? Ukikutana na gen z aliyezaliwa na wazazi waisla anakuambia huo uzombi uishie kwa wazazi wake, yeye hawezi kuamini ujinga huo
Kweli kabisa madogo wengi wa kiislamu naona wameupiga chini kabisa uislam

Lakin pia midaharo ambayo walianisha wao wenyewe waislam imesaidia sana watu kuujua utapeli na mudy
 
Alianza na wana wa Israel na baadae kwa watu wa mataifa yote.

Mathayo 28:18–20
18 Yesu akaja, akawaambia: “Nimepewa nguvu zote mbinguni na duniani.”

19 Kwa hiyo nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabaptiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu,

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Yohana 10 :16 ndo inamaliza kila kitu
 
Unasema waarabu kabla walikua wanaua Watoto wa kike Ila uislamu ukaja kukataza jambo hilo? Hata uislamu usingekuwepo hilo jambo lisingeendelea miaka yote
Umejauje kama lingeendelea wakati ni ada yao ? Unaweza kuthibitisha ya kuwa lisingeendelea miaka yote ?
 
Huku mababu zetu walikua wakitembea uchi na wengine kuvaa magome ya miti, wakoloni wakaleta nguo. Hii maana yake ukoloni ni mzuri?
Soma Historia kijana usiwe unaandika mambo ambayo huna elimu nayo. Hao wazungu wenyewe wameanza hivi karibuni kuandika historia yao, huku wakitegemea marejeo kutoka kwa Waarabu

Wakoloni wamekuja wamewakuta Waswahili tayari wameshastaarabika. Soma Historia ya Kilwa, soma Historia ya Waswahili. Ndio maana nakwambia mifano unayo itoa ni mfu sababu ni ya uongo na haiendani na uhalisia.
 
Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Kumekuwa na watu wengi kuupinga uislam kwa nguvu zote ila nasema hili na najua wengi litawafikia "mara Mia ufanye mambo yako kuliko kuingilia mambo ya dini ya kiislam na mbaya hauna uhakika wa chochote mnachosema sasa basi we nyamazenu tuuu msirundike maneno yoyote kwa namna yoyote ni ushauri tu msije sema hatukuwaambia

Kwa sababu mada zipo nyingi
Wewe bado uko karne ya 7 wakati wa paedophile wenu! Hakuna mtu anajisumbua kuupinga uislam, bali kupanuka kwa elimu kutokana na internet watu tunapata kujua kuwa Quran imejaa uongo na chuki. Na ndiyo hicho watu wanakifichua. Allah, the devil ni muongo- quran yasema "the best of deceivers"; Muhammad ni muongo na mzinzi mkubwa; masheikh ni waongo na quran imejaa contradictions tupu
 

A “Yesu alianza na Israeli, baadaye ujumbe ukapanuliwa”​


Hii hoja ina tatizo kubwa la maandiko.

1. Yesu mwenyewe aliweka mipaka WAZI​


Si tu Mathayo 15:24. Pia:

  • Mathayo 10:5–6
Hapa:
  • Hakusema “kwa muda”
  • Hakusema “kwa hatua ya kwanza”
  • Alikataza wazi kwenda kwa mataifa
Kama Yesu alikuwa anajua mapema kuwa ujumbe ni wa ulimwengu wote:

Kwa nini awazuie mitume wake kabisa?

Hoja ya “darasa la 1 hadi 7” ni tafsiri ya baadaye, si maneno ya Yesu.

2. “Baada ya kufufuka, ujumbe ukapanuliwa” – Tatizo​


Hii hoja inategemea maandishi yanayobishaniwa:
  • Mathayo 28:19 → ina mjadala mkubwa wa kihistoria (mf. formula ya Utatu)
  • Luka na Matendo → yaliandikwa baada ya Yesu, si maneno yake ya moja kwa moja
  • Hakuna ushahidi Yesu alisema wazi akiwa hai: “Dini hii ni ya mataifa yote”

Kwetu sisi waislamu ni kuwa



Manabii wote:
  • Nuhu → watu wake
  • Hud, Swaleh, Shuʿayb → makabila yao
  • Musa → Bani Israil
  • Yesu → Bani Israil
  • Muhammad ﷺ → wanadamu wote (Qur’an 34:28)

Hapa ndipo penye tofauti .

B. Marko 16:9–20 – Tatizo si Marko peke yake​


Wewe unasema:




Lakini hoja yangu si hiyo tu.

Hakuna injili hata moja iliyoandikwa na Yesu au chini ya uangalizi wake.

  • Mathayo → haijulikani mwandishi halisi
  • Marko → si mtume
  • Luka → si mtume
  • Yohana → mjadala mkubwa wa uandishi

Kwa hiyo:




Katika Uislamu:
  • Qur’an → ilihifadhiwa kwa hifdh na maandishi wakati wa Mtume ﷺ
  • Injili → ziliandikwa miongo kadhaa baadaye
Hili ni pengo kubwa la kihistoria.

C. Paulo: “Mpokeaji wa mapokeo” au mbadilishaji wa ujumbe?​


Ndiyo, Paulo anasema:



Lakini swali ni:

Alipokea kutoka kwa nani, na lini?

Ukweli mchungu​

  • Paulo hakumwona Yesu
  • Hakusikia Injili kutoka kwa Yesu
  • Alidai ufunuo binafsi (Wagalatia 1:12)
Katika historia ya manabii:



Ndiyo maana:

  • Yakobo (ndugu wa Yesu) → alibaki na sheria ya Taurati
  • Petro → alisita sana kwenda kwa mataifa
  • Paulo → alifuta sheria (tohara, chakula, n.k.)
Matokeo:

👉 Ukristo wa leo unafuata Paulo zaidi kuliko Yesu

Yesu:



Paulo:



Huu ni mgongano, si mwendelezo.

D. “Kufufuka = imani ya awali kabisa”​

Ndiyo, ilikuwa imani ya mapema.
Lakini imani ya mapema si ukweli wa kihistoria.

1. Watu hufa kwa kile wanachoamini, hata kama si kweli​

  • Mashahidi wa Yehova
  • Magaidi wa kujitoa mhanga
  • Wafuasi wa dini potofu

Hoja ya:



👉 Inathibitisha imani, si uhakika wa tukio

2. Hakuna shahidi huru asiye Mkristo​


Hakuna Myahudi aliyeona kufufuka
Hakuna Mrumi aliyeshuhudia
Hakuna rekodi ya mahakama au serikali

Ni Wakristo tu wanaosimulia tukio.


Katika historia:






Usilinganishe Biblia na hiyo takataka Quran. Ukiizungumzia Biblia, zungumzia Biblia, japo kiuhalisia hakuna haja kwa sababu haikuhusu.

Ukiizungumzia hiyo Quran iliyoandika na Mud na kundi lake kuwahadaa waarabu ili waingie kwenye vita dhidi ya wayahudi bila ya woga, ongelea hiyo pekee.

Usilinganishe vitu visivyowianika!

Biblia inahusu ufalme wa Mungu, Quran ufalme wa shetani (Allah the best deceiver), halafu unataka kulinganisha!!

Kwa akili yako unaamini kwa hizi mbwembwe zenu, ni hizi makala za kipuuzi ndiyo zitawafanya watu wote wageuke na kumwabudu shetani?
 
Wewe bado uko karne ya 7 wakati wa paedophile wenu! Hakuna mtu anajisumbua kuupinga uislam, bali kupanuka kwa elimu kutokana na internet watu tunapata kujua kuwa Quran imejaa uongo na chuki. Na ndiyo hicho watu wanakifichua. Allah, the devil ni muongo- quran yasema "the best of deceivers"; Muhammad ni muongo na mzinzi mkubwa; masheikh ni waongo na quran imejaa contradictions tupu

Hakuna mtu anayemtafuta Mungu wa kweli, Mungu aliyejaa upendo, ukweli wa ahadi, aliye Mtakatifu mkuu, halafu ukaishie kwenye uislam, ambao kwa dhahiri kabisa umejaa mafundisho ya dhambi tupu: mauaji, uzinzi, chuki, uwongo, vitisho na hadaa. Ni afadhali ukaabudu mizimu kuliko huyo allah anayetajwa kuwa ni mfalme wa ulimwengu na best deceiver.
 
Acha upotoshaji Mitume Wayahudi walikuwa 15 tu uwe unaongea kwa ushahidi sio kujiamulia tu

Na Kwa faida pia ya mdogo wangu Makebo

Inawekezana Wayahudi wakawa 15.

Naweka manabii na Mitume walioko kwenye Quran ambao 21 wametajwa kwenye Biblia.

Ina maana mmewachukua kwa Biblia. Maana waliandikwa miaka 600 kabla ya Uislam.
(Aaah Jibril alimuotesha Mohamed 😁😁😁😁)

Wa kiarabu ni 4. (Wako kwa mabano)

1. Adamu
2. Enock (Idrisi)
3. Nuhu
4. Hudi (muarabu)
5. Swaleh(muarabu)
6. Ibrahimu
7. Luti
8. Ismaili
9. Isaka
10. Yakobo
11. Yusufu
12. Ayubu
13. Shuaibu (muarabu)
14. Musa
15. Haruni
16. Daudi
17. Suleiman
18. Elia (Ilyasi)
19. Elisha ( Al-Yasa)
20. Ezekiel (Dhūl-Kifl)
21.Yona (Yunus)
22. Zakaria
23. Yohana mbatizaji (Yahya)
24. Yesu (nabii Isa)
25. Mohamed (muarabu)

Au kuna ambaye ni jamii ya kiarabu hapo juu hajawekwa kwenye mabano?.
 
Hakuna mwenye dhamira ya kumtafuta Mungu wa kweli, Mungu aliyejaa utakatifu, Mungu wa Upendo, Mungu wa ukweli, Mungu wa huruma na Msamaha, Mungu aliyemwaminifu kwa Ahadi zake, halafu akaishia kwenye Uislam! Uislam unamwabudu allah aliyebingwa wa hadaa na uwongo (Allah the best deceiver), mtawala wa ulimwengu ambaye kwa mafundisho ya mud, anashadadia uzinzi, ubakaji, mauaji, chuki na uwongo. Ni aheri ukaabudu mizimu kuliko hiyo dini ya chuki, inayowafundisha watu wake kuwa watamfikia allah na kuzawadiwa kundi la wanawake, kwa kuwaua wasioungana nao katika mafundisho hayo ovu, mafundisho ambayo hata maadili ya kawaida, yanakataa.

Siyo maneno yangu:
"Muhammad Raped countless women by massacring their families and tribes, legalised rape"
 
Hakuna mtu anayemtafuta Mungu wa kweli, Mungu aliyejaa upendo, ukweli wa ahadi, aliye Mtakatifu mkuu, halafu ukaishie kwenye uislam, ambao kwa dhahiri kabisa umejaa mafundisho ya dhambi tupu: mauaji, uzinzi, chuki, uwongo, vitisho na hadaa. Ni afadhali ukaabudu mizimu kuliko huyo allah anayetajwa kuwa ni mfalme wa ulimwengu na best deceiver.

Umeandika ,

Usilinganishe Biblia na hiyo takataka Quran. Ukiizungumzia Biblia, zungumzia Biblia, japo kiuhalisia hakuna haja kwa sababu haikuhusu

Majibu

Sorry, Mimi sijalinganisha biblia yako ya QUEEN JAMES VERSION, Hizo nyengine hazijaandikwa ni mali ya nani , mtu yeyote anaweza kuzisoma

Kwa kumalizia lete hoja ya kupinga hichi nilichowaandikia , nakuwekea tena , usituletee CHIPWI , hilo chipwi peleka huko kanisani kwenu

A “Yesu alianza na Israeli, baadaye ujumbe ukapanuliwa”​


Hii hoja ina tatizo kubwa la maandiko.



Si tu Mathayo 15:24. Pia:


  • Mathayo 10:5–6

    “Msiende kwa mataifa wala msiingie katika mji wa Wasamaria, bali enendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.”
Hapa:

  • Hakusema “kwa muda”
  • Hakusema “kwa hatua ya kwanza”
  • Alikataza wazi kwenda kwa mataifa
Kama Yesu alikuwa anajua mapema kuwa ujumbe ni wa ulimwengu wote:

Kwa nini awazuie mitume wake kabisa?

Hoja ya “darasa la 1 hadi 7” ni tafsiri ya baadaye, si maneno ya Yesu.



Hii hoja inategemea maandishi yanayobishaniwa:

  • Mathayo 28:19 → ina mjadala mkubwa wa kihistoria (mf. formula ya Utatu)
  • Luka na Matendo → yaliandikwa baada ya Yesu, si maneno yake ya moja kwa moja
  • Hakuna ushahidi Yesu alisema wazi akiwa hai: “Dini hii ni ya mataifa yote”

Kwetu sisi waislamu ni kuwa


Nabii wa Mungu habadilishi wito wa ujumbe wake baada ya kufa.

Manabii wote:

  • Nuhu → watu wake
  • Hud, Swaleh, Shuʿayb → makabila yao
  • Musa → Bani Israil
  • Yesu → Bani Israil
  • Muhammad ﷺ → wanadamu wote (Qur’an 34:28)

Hapa ndipo penye tofauti .



Wewe unasema:



“Hata tukiondoa Marko, ujumbe bado upo.”

Lakini hoja yangu si hiyo tu.

Hakuna injili hata moja iliyoandikwa na Yesu au chini ya uangalizi wake.


  • Mathayo → haijulikani mwandishi halisi
  • Marko → si mtume
  • Luka → si mtume
  • Yohana → mjadala mkubwa wa uandishi

Kwa hiyo:



“Yesu alisema…” = mapokeo ya baadaye, si ushahidi wa moja kwa moja

Katika Uislamu:

  • Qur’an → ilihifadhiwa kwa hifdh na maandishi wakati wa Mtume ﷺ
  • Injili → ziliandikwa miongo kadhaa baadaye
Hili ni pengo kubwa la kihistoria.


Ndiyo, Paulo anasema:


“niliyoyapokea…”

Lakini swali ni:

Alipokea kutoka kwa nani, na lini?


  • Paulo hakumwona Yesu
  • Hakusikia Injili kutoka kwa Yesu
  • Alidai ufunuo binafsi (Wagalatia 1:12)
Katika historia ya manabii:


Ufunuo binafsi unaopingana na manabii waliomtangulia = hatari

Ndiyo maana:


  • Yakobo (ndugu wa Yesu) → alibaki na sheria ya Taurati
  • Petro → alisita sana kwenda kwa mataifa
  • Paulo → alifuta sheria (tohara, chakula, n.k.)
Matokeo:

👉 Ukristo wa leo unafuata Paulo zaidi kuliko Yesu

Yesu:


“Nimekuja kutimiza sheria, si kuibatilisha.” (Mathayo 5:17)

Paulo:


“Hamko chini ya sheria.” (Warumi 6:14)

Huu ni mgongano, si mwendelezo.

Ndiyo, ilikuwa imani ya mapema.
Lakini imani ya mapema si ukweli wa kihistoria.


  • Mashahidi wa Yehova
  • Magaidi wa kujitoa mhanga
  • Wafuasi wa dini potofu

Hoja ya:


“hawangekufa kwa uongo”

👉 Inathibitisha imani, si uhakika wa tukio



Hakuna Myahudi aliyeona kufufuka
Hakuna Mrumi aliyeshuhudia
Hakuna rekodi ya mahakama au serikali

Ni Wakristo tu wanaosimulia tukio.


Katika historia:



Tukio kubwa bila ushahidi huru = madai, si ukweli thabiti
 
Wewe bado uko karne ya 7 wakati wa paedophile wenu! Hakuna mtu anajisumbua kuupinga uislam, bali kupanuka kwa elimu kutokana na internet watu tunapata kujua kuwa Quran imejaa uongo na chuki. Na ndiyo hicho watu wanakifichua. Allah, the devil ni muongo- quran yasema "the best of deceivers"; Muhammad ni muongo na mzinzi mkubwa; masheikh ni waongo na quran imejaa contradictions tupu

Matusi na kejeli si hoja.

Kama una hoja za kielimu kuhusu Qur’an au Uislamu, ziwasilishe kwa ushahidi na muktadha, si kwa lugha ya chuki.

Kuhusu mada ya “contradictions”, wanazuoni wa dini na historia wamezijadili kwa karne nyingi, na madai mengi hutokana na tafsiri za juu juu au kukata aya nje ya muktadha wake wa lugha na historia.

Qur’an haifundishi chuki; inahimiza haki, maadili na kuwajibika.

Kama unataka mjadala wa heshima na ushahidi, tuko tayari. La sivyo, matusi hayabadilishi ukweli.
 
Hakuna mwenye dhamira ya kumtafuta Mungu wa kweli, Mungu aliyejaa utakatifu, Mungu wa Upendo, Mungu wa ukweli, Mungu wa huruma na Msamaha, Mungu aliyemwaminifu kwa Ahadi zake, halafu akaishia kwenye Uislam! Uislam unamwabudu allah aliyebingwa wa hadaa na uwongo (Allah the best deceiver), mtawala wa ulimwengu ambaye kwa mafundisho ya mud, anashadadia uzinzi, ubakaji, mauaji, chuki na uwongo. Ni aheri ukaabudu mizimu kuliko hiyo dini ya chuki, inayowafundisha watu wake kuwa watamfikia allah na kuzawadiwa kundi la wanawake, kwa kuwaua wasioungana nao katika mafundisho hayo ovu, mafundisho ambayo hata maadili ya kawaida, yanakataa.

Siyo maneno yangu:
"Muhammad Raped countless women by massacring their families and tribes, legalised rape"


Kaangalie biblia yako inasema nini kuhusu deceiver na raping,

1 Wafalme 22:19–23


“BWANA alisema, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu…?’ … BWANA akasema, ‘Utamshawishi.’ … BWANA ameweka roho ya uongo katika vinywa vya manabii hawa wote.”


Ezekieli 14:9


“Kama nabii akidanganywa naye akanena neno, mimi BWANA nimemdanganya nabii huyo.”


Yeremia 4:10


“Ee Bwana MUNGU! Hakika umewadanganya sana watu hawa na Yerusalemu…”


2 Wathesalonike 2:11


“Kwa sababu hiyo Mungu anawapelekea upotovu wenye nguvu, wapate kuamini uongo.”


Ayubu 12:16


“Kwake yeye kuna nguvu na hekima; aliyedanganywa na mdanganyaji wote ni wake.”


  • Mwanzo 34:1–2 – Dina anabakwa na Shekemu.
  • Waamuzi 19:22–26 – Mwanamke anabakwa usiku kucha hadi kufa.
  • 2 Samweli 13:11–14 – Amnoni anambaka dada yake Tamari.
  • Zekaria 14:2 – Wanawake wanabakwa wakati wa uvamizi wa Yerusalemu.
  • Kumbukumbu la Torati 21:10–14 – Mwanamke wa vita achukuliwe awe mke (hutajwa sana kwenye mjadala wa unyanyasaji).
  • Hesabu 31:17–18 – Wasichana wanaokolewa baada ya vita (hutumiwa vibaya na wakosoaji).
 
Hakuna mwenye dhamira ya kumtafuta Mungu wa kweli, Mungu aliyejaa utakatifu, Mungu wa Upendo, Mungu wa ukweli, Mungu wa huruma na Msamaha, Mungu aliyemwaminifu kwa Ahadi zake, halafu akaishia kwenye Uislam! Uislam unamwabudu allah aliyebingwa wa hadaa na uwongo (Allah the best deceiver), mtawala wa ulimwengu ambaye kwa mafundisho ya mud, anashadadia uzinzi, ubakaji, mauaji, chuki na uwongo. Ni aheri ukaabudu mizimu kuliko hiyo dini ya chuki, inayowafundisha watu wake kuwa watamfikia allah na kuzawadiwa kundi la wanawake, kwa kuwaua wasioungana nao katika mafundisho hayo ovu, mafundisho ambayo hata maadili ya kawaida, yanakataa.

Siyo maneno yangu:
"Muhammad Raped countless women by massacring their families and tribes, legalised rape"

Nukuu za Yesu zinazothibitisha kwamba alidanganya: Otherwise Tuone TEC isiandike matamko .

Au Omba leo CCM ife tuone


  1. Yesu akajibu akawaambia, “Amin, nawaambia, ikiwa mna imani wala hamna shaka, hamtafanya tu jambo lililofanywa kwa mtini, bali hata mkiliambia mlima huu, ‘Ng’olewa ukatupwe baharini,’ litafanyika. Nanyi mkiomba lolote kwa sala, mkiamini, mtalipokea.” (Mathayo 21:21–22 NAS)
  2. Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa. Kwa maana kila aombaye hupokea; atafutaye hupata; naye abishaye hufunguliwa. (Mathayo 7:7–8 NAB)
  3. Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu wakipatana duniani katika jambo lolote watakaloomba, watatendewa na Baba yangu aliye mbinguni. Kwa maana walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo hapo katikati yao. (Mathayo 18:19–20 NAS)
  4. Amin, nawaambia, mtu yeyote akiuambia mlima huu, ‘Inuliwa ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba analosema litatokea, litamtendekea. Kwa hiyo nawaambia, yote mnayoomba katika sala, aminini kwamba mmepokea, nayo yatakuwa yenu. (Marko 11:24–25 NAB)
  5. Nami nawaambia, ombeni nanyi mtapokea; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa. Kwa maana kila aombaye hupokea; atafutaye hupata; naye abishaye hufunguliwa. (Luka 11:9–13 NAB)
  6. Na chochote mtakachoomba kwa jina langu, nitafanya, ili Baba atukuzwe katika Mwana. Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitafanya. (Yohana 14:13–14 NAB)
  7. Mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lo lote mtakalo nanyi mtatendewa. (Yohana 15:7 NAB)
  8. Si ninyi mlionichagua mimi, bali mimi niliwachagua ninyi na kuwaweka mpate kwenda mkazae matunda, na matunda yenu yadumu, ili chochote mtakachoomba kwa Baba kwa jina langu awape. (Yohana 15:16 NAB)
  9. Siku hiyo hamtaniuliza chochote. Amin, amin, nawaambia, chochote mtakachoomba kwa Baba kwa jina langu atawapa. Hata sasa hamjaomba chochote kwa jina langu; ombeni nanyi mtapokea, ili furaha yenu itimie. (Yohana 16:23–24 NAB)
 
Matusi na kejeli si hoja.

Kama una hoja za kielimu kuhusu Qur’an au Uislamu, ziwasilishe kwa ushahidi na muktadha, si kwa lugha ya chuki.

Kuhusu mada ya “contradictions”, wanazuoni wa dini na historia wamezijadili kwa karne nyingi, na madai mengi hutokana na tafsiri za juu juu au kukata aya nje ya muktadha wake wa lugha na historia.

Qur’an haifundishi chuki; inahimiza haki, maadili na kuwajibika.

Kama unataka mjadala wa heshima na ushahidi, tuko tayari. La sivyo, matusi hayabadilishi ukweli.
Safi sana akhy Allah akujaze maarifa zaidi in shaa Allah nachojua mwenye macho kaona mwenye akili kaona na kilichobaki ni maamzi sasa unajua watu wanashindwa kusoma ndo maana wanatafuta loophole penye makosa ya mtu binafsi ndo wanaichukulia kama dini ilivo bas ingekuwa ivo kusongekuw na ukamilifu kwa popote zaidi kwasbb kila mwanadamu anafanya makosa ila mbora wa wakosaji ni yule mwenye kuomba toba kwa mola wake

Juzi hapa kuna padre mmoja mzuri sana kapewa kazi assume quran aichambue nie ndani atafute makosa ili waitumie kama udhaifu dhidi yao ila cha ajabu huyohuyo alopecia hizo kazi kasoma ila mwisho wa siku kasilimu kwa sababu aliona ukwel wote shida hatusomi ndo maana mtu anaishia kuleta hoja za nguoni lete aya tubishane kwa aya na sio kwa porojo

Laiti watu wangejua lulu iliyopo kweny uislam,upendo ,heshima,utiifu,na mambo mengi ambayo hayana ukomo wangekimbia kwa namna yote kuingia katika uislam dini isiyokuwa na shaka ndani yake wahyi wote umepokelewa na mtume (Muhammad Sallallah alyhy wasssallam) hakuna jambo linalofanyika dunian isipokuwa lipo katika uislam sasa niambie kila kitu kipo katima biblia? Mtabisha kwa nguvu zote ila ukwel utabaki kuwa ukwel
 
Ukweli mchungu ni kwamba: Waislamu ndio watu pekee duniani ambao wanaifuata mafundisho ya dini yao katika maisha yao ya kila siku. Na watu wa dini zingine wao hawafuati mafundisho ya dini zao na mafundisho hayo yamebaki kwenye makaratasi.

Na hili ndio jambo linalowachukiza wengi wasio waislamu duniani kote.
Ni kama vile wanataka tuwe nao sawasawa. Na wakimuona muislamu anakunywa pombe au anafanya maasi mengine basi huyo ndio wanampenda.

Ni bure kabisa mnajisumbua hizo kelele zenu hazitufanyi tukaacha kuifuata dini yetu
 
Back
Top Bottom