Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,617
- 2,745
Naona mawazo mengi ya upande mmoja tu
Comments za wadada sizioni kabsaaa
Comments za wadada sizioni kabsaaa
Mkuu siyo lazima ushawishike...ndiyo maana tukapewa akili na utashi ku-control mihemko na tamaa.Mkuu ni sawa haunywi pombe afu unaenda bar una expect nn?? Siku utashawishika tu mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naona mawazo mengi ya upande mmoja tu
Comments za wadada sizioni kabsaaa
Naona mawazo mengi ya upande mmoja tu
Comments za wadada sizioni kabsaaa
Mkuu siyo lazima ushawishike...ndiyo maana tukapewa akili na utashi ku-control mihemko na tamaa.
Sasa si utakuwa unashawishika na kila kitu? Mfano, Mimi binafsi sinywi pombe na all of my friends wanakunywa na bar tunaenda ila sijawahi tamani pombe....kushawishika au kutoshawishika inategemea na akili ya mtu na tabia....ukiona mtu anasema ameshawishika basi anapenda . hiyo kushawishika anaitumia kama excuse tu.
Mbona wadada tupo wengi tu hapa?
Aya unaizungumziaje kwanza dogstyle?Mbona wadada tupo wengi tu hapa?
NdiyoMmh kumbe we dada??
Sent from my iPhone using JamiiForums
NimeshalizungumziaAya unaizungumziaje kwanza dogstyle?
Wanaliwa na kina nani wakati walaji tuko huku?Hawawez comment coz weng wao wanaliwa saiv
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uzuri mtu ukiwa unajielewa na unatumia akili huwezi Fanya kitu ambacho unàona kabisa kwa akili yako si kizuriHapana hapo unamfuata shetan alipo what do you expect??? Siku utakunywa tu shaur ako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wanaliwa na kina nani wakati walaji tuko huku?
Chanzo cha tamaa ni moyo then macho mwisho mwili,,,Mnaosema hii style inashawishi kufanya kinyume ndo walewale
Kwa nini ushawishike?
Uzuri mtu ukiwa unajielewa na unatumia akili huwezi Fanya kitu ambacho unàona kabisa kwa akili yako si kizuri
Siwezi kunywa pombe kisa tu naenda bar.
Kwa hio ww ni mlaj wa kule??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sema kwakuw wewe n mtt wa kike kwako easy ila sisi wanaume hapana[emoji119][emoji119]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna cha mtoto wa kike wala wa kiume...kila kitu kinawezekena sema tu huwa mnajiendekeza.
Unaweka au unawekwa style hii???
Mnajiendekeza tu... Hivi unajua kwa nini Mungu alimpa mwanadamu utashi?No ni Facts
Sent from my iPhone using JamiiForums